KONGAMANO NA MAONESHO YA TATU YA MAFUTA NA GESI ASILIA TANZANIA
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
Taasisi ya UONGOZI yaandaa warsha ya wadau wa Serikali katika usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Johansen Bukwali akisoma hotuba ya ufunguzi wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia kwa niaba ya mgeni rasmi Waziri wa Nchi -TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia katika ukumbi wa hoteli ya NAF Beach mkoani Mtwara.
Mkuu wa Idara ya Utafiti na Sera kutoka Taasisi ya UONGOZI Bw. Dennis Rweyemamu akizungumza kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI Profesa Joseph Semboja wakati wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-eOpWTgt6Pkg/VSwL8oS-M-I/AAAAAAABrt4/jDmuF7Zo0nc/s72-c/picha%2B(smz).jpg)
Maafisa waandamizi wakiwa China katika mafunzo ya muda mfupi ya maendeleo ya mafuta na gesi asilia.
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOpWTgt6Pkg/VSwL8oS-M-I/AAAAAAABrt4/jDmuF7Zo0nc/s640/picha%2B(smz).jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/CH2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4vD_nUhc8WI/U1qP4mb39vI/AAAAAAAFdCM/tEd9c8kGBhg/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Viongozi wa Dini Mikoa ya Lindi na Mtwara kuhudhuria mafunzo ya gesi asilia na mafuta nchini Thailand
Jumla ya Viongozi 19 wa Dini kutoka Mikoa ya Lindi na Mtwara wanatarajia kwenda nchini Thailand kuanzia tarehe 26 Aprili mwaka huu kwa ajili ya ziara ya mafunzo katika masuala ya gesi asilia na mafuta.
Ziara hiyo inatokana na juhudi za serikali katika kuhakisha elimu kuhusu masuala ya gesi asilia na mafuta inatolewa kwa wananchi wa kada mbalimbali ili waweze kufahamu mchakato mzima wa upatikanaji wa gesi asilia na mafuta, faida zake katika nyanja za ...
10 years ago
Dewji Blog06 May
Balozi Sefue azindua timu ya wataalam wa serikali wa kufanya mazungumzo katika mikataba ya gesi asilia na mafuta
Afisa Mtendaji Mkuu wa UONGOZI Institute...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-asRrm_nWMI4/U1oWnq5_J_I/AAAAAAAFc9w/ytAtTNgkYLA/s72-c/unnamed+(34).jpg)
Prof. Muhongo kuongoza kongamano la mafuta na gesi Ujerumani
Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano litakalofanyika kesho Berlin nchini Ujerumani ambapo atawasilisha mada kuhusiana na fursa za uwekezaji nchini Tanzania hususan katika sekta ya mafuta na gesi.
Kongamano hilo litakaloshirikisha wasomi mbalimbali litaenda sambamba na maonesho yatakayooneshwa na wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini kama moja ya maadhimisho ya jubilee ya miaka 50 ya...
9 years ago
Michuzi01 Oct
TAASISI YA UONGOZI YAANDAA WARSHA YA NAFASI YA WADAU WA NGAZI YA MKOA, WILAYA NA HALMASHAURI KATIKA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA MAFUTA NA GESI ASILIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b8bK2UAAHgs/VUsWwt7jYQI/AAAAAAAHV0o/WIeSq-jwVto/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue azindua timu ya wataalam wa serikali wa kufanya mazungumzo katika mikataba ya gesi asilia na mafuta
11 years ago
MichuziPROF. MUHONGO AZINDUA RASMI KONGAMANO LA MAFUTA NA GESI BERLIN, UJERUMANI