PROF. MUHONGO AZINDUA RASMI KONGAMANO LA MAFUTA NA GESI BERLIN, UJERUMANI
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mb.) (kushoto) akisalimiana na mmoja wa wajumbe anayewakilisha wafanyabiashara kabla ya kufungua kongamano la mafuta na gesi linaloendelea huko Ujerumani kama moja ya maadhimisho ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Mtaalamu kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) Bi Venosa Ngowi (kulia) akimweleza Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (mwenye suti nyeusi) shughuli zinazofanywa na shirika hilo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-asRrm_nWMI4/U1oWnq5_J_I/AAAAAAAFc9w/ytAtTNgkYLA/s72-c/unnamed+(34).jpg)
Prof. Muhongo kuongoza kongamano la mafuta na gesi Ujerumani
Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano litakalofanyika kesho Berlin nchini Ujerumani ambapo atawasilisha mada kuhusiana na fursa za uwekezaji nchini Tanzania hususan katika sekta ya mafuta na gesi.
Kongamano hilo litakaloshirikisha wasomi mbalimbali litaenda sambamba na maonesho yatakayooneshwa na wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini kama moja ya maadhimisho ya jubilee ya miaka 50 ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HGmU-en4ZtA/U0rA-Mquj5I/AAAAAAAFagk/jV9iHuOByz4/s72-c/images+(4).jpg)
KARIBUNI WOTE KATIKA KONGAMANO LA BIASHARA MJINI BERLIN, UJERUMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-HGmU-en4ZtA/U0rA-Mquj5I/AAAAAAAFagk/jV9iHuOByz4/s1600/images+(4).jpg)
Tanzania nchini Ujerumani Kama mnavyofahamu kuwa siku ya tarehe 26 Aprili, 2014 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka hamsini (50), kwa lugha nyingine ni “Golden Jubilee”. Katika kuadhimisha sherehe hii kubwa na muhimu, Ubalozi umeamua kuandaa Kongamano la Biashara (Investment Forum) kwa siku ya tarehe 25 Aprili, 2014 pamoja na siku ya terehe 26 Aprili, 2014 kuwa siku ya mdahalo (Scholars' day) mjini Berlin, Ujerumani. Madhumuni makubwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5R45XxdsA3k/VPc-e06sdyI/AAAAAAAHHvk/9rC1AUTuHPw/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
MAONESHO YA UTALII YA ITB YAANZA RASMI BERLIN, UJERUMANI
10 years ago
Michuzi13 Oct
10 years ago
Michuzi17 Apr
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eRHOmNEnxEk/U1wpBFn_ROI/AAAAAAAFdNY/KPpSzQGGGTM/s72-c/unnamed+(19).jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANA UJERUMANI, PROFESA MUHONGO MGENI RASMI
![](http://3.bp.blogspot.com/-eRHOmNEnxEk/U1wpBFn_ROI/AAAAAAAFdNY/KPpSzQGGGTM/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O0DMTGxay18/U1wpBAJ6VqI/AAAAAAAFdNg/0GCOzNN6YxE/s1600/unnamed+(20).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q58iCw9Vf58/U1wpBPtzSwI/AAAAAAAFdNc/uSoWgqjTlv4/s1600/unnamed+(21).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KHFJrlEbL80/U-i8ZWTpc0I/AAAAAAAF-co/0lIfalBv8FU/s72-c/unnamed1.jpg)
Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala yakaribishwa rasmi Soko la Hisa la Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-KHFJrlEbL80/U-i8ZWTpc0I/AAAAAAAF-co/0lIfalBv8FU/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xRbKGCbj9xg/U-i8ZhQh4EI/AAAAAAAF-cw/ZNaruklvA4Q/s1600/unnamed2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TLFi5FYUa3Q/U-i8ZAplE7I/AAAAAAAF-ck/VWc11NI2EYg/s1600/unnamed3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 May
Balozi Sefue azindua timu ya wataalam wa serikali wa kufanya mazungumzo katika mikataba ya gesi asilia na mafuta
Afisa Mtendaji Mkuu wa UONGOZI Institute...
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala yakaribishwa rasmi Soko la Hisa la Dar es Salaam
![2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/26.jpg)
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala Bw. David Mestres akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa sherehe za kukaribishwa rasmi kwa kampuni ya Swala kwenye soko la Hisa la Dar Es Salaam.
Mwenyekiti wa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala Bw. Ernest...