Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katiba ije na sheria ya Bunge kuidhinisha mikataba yote

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Cecilia Paresso, ameshauri kuingizwa kifungu katika rasimu ya Katiba ambacho kitalazimisha Serikali kuifikisha bungeni mikataba yote ya kimataifa ili kuridhiwa bungeni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

LHRC yataka Katiba ije na Sheria ya Ardhi

Wananchi wa Kijiji cha Msangamkuu Mtwara vijijini mkoani hapa wameitaka Serikali kuunda Sheria ya Ardhi inayoweka wazi suala nzima la umiliki wa rasilimali hiyo kwa lengo la kupunguza migogoro katika jamii.

 

10 years ago

Mwananchi

Nahodha: Mikataba yote ipitishwe na Bunge

Waziri Kiongozi mstaafu wa Awamu ya Sita, Shamsi Vuai Nahodha amesema tatizo la kuingia mikataba mibovu nchini litaisha kwa kuanzishwa utaratibu wa mikataba yote kuidhinishwa na Bunge, baada ya kuipitia na kuona kama ina tija kwa taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Isingekuwa sheria hii, mambo yangevurugika Bunge la Katiba

Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, ibara ya 26 kifungu kidogo cha pili kwa sasa inatajwa kuwa kikwazo kikubwa kilichowekwa kwa kundi lenye wafuasi wengi kuamua kila kitu bungeni.

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Katiba,sheria na Utawala yaridhishwa na miradi ya TASAF Mbarali

 Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba,Sheria na Utawala wamefanya ziara katika wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya kuona utekelezaji wa shughuli za Mfuko wa Maendeleo ya jamii(TASAF) na kukutana na walengwa wa Mpango wa Kunusuru kaya Masikini unaotekelezwa na mfuko huo.
Wakizungumza na walengwa hao katika kijiji cha Madabaga wabunge hao wameonyesha kuridhishwa na mafanikio makubwa yaliyoanza kupatikana baada ya walengwa kupata fedha chini ya utaratibu wa uhawilishaji fedha...

 

11 years ago

Michuzi

Ziara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora yatinga Makao makuu ya TASAF

Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora Mh. Abdallah Sallehe Ahmed akifuatilia kwa makini taarifa iliyokuwa ikitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF BW. Ladislaus Mwamanga (hayupo pichani).
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora imefanya ziara ya kikazi katika Makao makuu ya TASAF jijini Dar es Salaam ili kupata taarifa za utekelezaji wa Mpango wa Kuzinusuru Kaya Maskini na zilizo katika Mazingira hatarishi unaotekelezwa chini ya TASAF...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA YAPOKEA NA KUJADILI TAARIFA YA BAJETI OFISI YA WAZIRI MKUU JIJINI DODOMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, Mhe. Angella Kairuki akijibu hoja za Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria wakati walipowasilisha taarifa ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 pamoja na Makadirio ya mapato na matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021 kwa Mafungu sita (6) yaliyochini ya Ofisi hiyo leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, Mhe. Asha Abdalla Juma akizungumza...

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto: Hakuna sheria ya usiri wa mikataba

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Zitto Kabwe amesema kuwa uwazi wa mikataba ya rasilimali za nchi ni suala la msingi na hakuna sheria wala sera inayokumbatia usiri wa namna hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta: Sheria ya gesi itadhibiti mikataba mibovu

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amesema sheria ya gesi inayotarajiwa kufikishwa bungeni mwishoni mwa mwaka huu itakuwa nguzo katika usimamizi wa mikataba yote ya nishati hiyo ili kulinufaisha taifa.

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

 Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa.  Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani