Nahodha: Mikataba yote ipitishwe na Bunge
Waziri Kiongozi mstaafu wa Awamu ya Sita, Shamsi Vuai Nahodha amesema tatizo la kuingia mikataba mibovu nchini litaisha kwa kuanzishwa utaratibu wa mikataba yote kuidhinishwa na Bunge, baada ya kuipitia na kuona kama ina tija kwa taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Katiba ije na sheria ya Bunge kuidhinisha mikataba yote
Mjumbe wa Bunge la Katiba, Cecilia Paresso, ameshauri kuingizwa kifungu katika rasimu ya Katiba ambacho kitalazimisha Serikali kuifikisha bungeni mikataba yote ya kimataifa ili kuridhiwa bungeni.
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Bunge laitaka TPDC kukabidhi mikataba 26
Ofisi ya Bunge imeutaka uongozi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwasilisha mikataba 26 kwa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) leo saa 4:00 asubuhi.
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Bunge: Zitto kulipwa mafao yake yote
Ikiwa ni siku moja tangu Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kutangaza kung’atuka katika nafasi yake ya ubunge, Bunge limeeleza kuwa mbunge huyo atapata mafao yake yote kama wabunge wengine.
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Nahodha wa Bafanabafana auawa
Nahodha ambaye pia ni golikipa wa timu ya soka ya taifa la Afrika kusini Senzo Meyiwa amefariki dunia baada ya kupigwa risasi.
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Nahodha wa SpringBoks astaafu
Nahodha wa kikosi cha mpira wa Raga nchini Afrika Kusini Jean de Villiers amestaafu katika raga ya kimataifa baada ya kuambiwa kwamba hatoweza kucheza tena katika mechi za kombe la dunia kutokana na jeraha la taya.
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Nahodha azomewa bungeni
HARAKATI za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuzima hoja za wapinzani jana nusura ziligharimu Bunge, baada ya Mwenyekiti wa Kamati namba tano ya Bunge Maalumu la Katiba, Shamsi Vuai Nahodha,...
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Nahodha afunguka Zanzibar
 Wakati Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), ikitimiza miaka minne, Waziri Kiongozi Mstaafu wa awamu ya sita, Shamsi Vuai Nahodha amesema ipo haja ya kuendelea kuwa na umoja huo kwa vile sababu zilizofanya kuundwa kwa Serikali shirikishi ya vyama vya CCM na CUF bado zipo.
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Marquez nahodha fainali 4
Beki wa Mexico, Rafael Marquez juzi Ijumaa aliweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kuwa nahodha wa nchi yake katika fainali nne za Kombe la Dunia.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSpSuzQ0ZUta1TTiWrvGToE14Nyv-UDi5b02jpyD5pivXkj50ZLVxOopXEkvDOmh195sXpBC-CXix8n8QyUYiZ43/WayneRooneyinactionforEngland.jpg?width=650)
ROONEY NAHODHA MPYA ENGLAND
KOCHA wa England, Roy Hodgson amemteua mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney kuwa nahodha mpya wa timu hiyo ya taifa. Rooney mwenye miaka 28 amechukua mikoba iliyoachwa na kiungo wa Liverpool, Steven Gerrard aliyestaafu. Rooney aliwahi kuvaa kitambaa cha unahodha akiiongoza England kwenye mechi ya kufuzu kucheza Kombe la Dunia dhidi ya San Marino, Oktoba 2012. Staa huyo amewapiku wachezaji wenzake kipa Joe Hart na beki...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania