Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marquez nahodha fainali 4

Beki wa Mexico, Rafael Marquez juzi Ijumaa aliweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kuwa nahodha wa nchi yake katika fainali nne za Kombe la Dunia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

How is Colombia writer Marquez relevant to East Africa?

Over 40 years ago when I was at Ilboru Secondary School, teachers encouraged learning in various ways. Take Mr Hopland from Norway. During my Form Two year, he offered weekly prizes for those who read the highest number of books.

 

9 years ago

Dewji Blog

Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali

Capital-One-Cup-1

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.

Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;

Everton 2 – 0 Middlesbrough

Manchester City 4 – 1 Hull City

Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday

Southampton 1 – 6 Liverpool

Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nahodha wa Bafanabafana auawa

Nahodha ambaye pia ni golikipa wa timu ya soka ya taifa la Afrika kusini Senzo Meyiwa amefariki dunia baada ya kupigwa risasi.

 

10 years ago

Mwananchi

Nahodha afunguka Zanzibar

 Wakati Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), ikitimiza miaka minne, Waziri Kiongozi Mstaafu wa awamu ya sita, Shamsi Vuai Nahodha amesema ipo haja ya kuendelea kuwa na umoja huo kwa vile sababu zilizofanya kuundwa kwa Serikali shirikishi ya vyama vya CCM na CUF bado zipo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nahodha azomewa bungeni

HARAKATI za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuzima hoja za wapinzani jana nusura ziligharimu Bunge, baada ya Mwenyekiti wa Kamati namba tano ya Bunge Maalumu la Katiba, Shamsi Vuai Nahodha,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nahodha wa SpringBoks astaafu

Nahodha wa kikosi cha mpira wa Raga nchini Afrika Kusini Jean de Villiers amestaafu katika raga ya kimataifa baada ya kuambiwa kwamba hatoweza kucheza tena katika mechi za kombe la dunia kutokana na jeraha la taya.

 

11 years ago

GPL

WATOTO 15 WATINGA FAINALI ZA SHINDANO LA "MO KIDS GOT TALENT 2013", FAINALI KUFANYIKA LEO JIONI LEDGER PLAZA - BAHARI BEACH‏

Lango kuu la kuingilia kwenye Hoteli ya Ledger Plaza Bahari Beach jijini Dar panapofanyika shindano kali la kusaka kipaji cha SUPA STAA wa watoto na vijana! la "MO Kids Got Talent 2013" Chief Judge wa Shindano la vipaji vya watoto na vijana wadogo la “MO Kids Got Talent”, Salma Mziray, akitoa maoni yake kwa baadhi ya washiriki walioingia semi finals za shindano hilo linalofanyika kwenye hotel ya Ledger Plaza...

 

10 years ago

GPL

ROONEY NAHODHA MPYA ENGLAND

KOCHA wa England, Roy Hodgson amemteua mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney kuwa nahodha mpya wa timu hiyo ya taifa. Rooney mwenye miaka 28 amechukua mikoba iliyoachwa na kiungo wa Liverpool, Steven Gerrard aliyestaafu. Rooney aliwahi kuvaa kitambaa cha unahodha akiiongoza England kwenye mechi ya kufuzu kucheza Kombe la Dunia dhidi ya San Marino, Oktoba 2012. Staa huyo amewapiku wachezaji wenzake kipa Joe Hart na beki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani