Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nahodha wa Bafanabafana auawa

Nahodha ambaye pia ni golikipa wa timu ya soka ya taifa la Afrika kusini Senzo Meyiwa amefariki dunia baada ya kupigwa risasi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Rais Zuma aomboleza kifo cha nahodha BafanaBafana

Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ametuma salamu za pole kwa familia ya Senzo Meyiwa kutokana na kifo cha nahodha huyo wa Bafana Bafana.

 

11 years ago

Bongo5

Nahodha na mlinda mlango wa Bafana Bafana Senzo Meyiwa auawa na majambazi

Nahodha wa timu ya soka ya Afrika Kusini ambaye pia alikuwa mlinda mlango, Senzo Meyiwa  ameuawa. Klabu yake Orlando Pirates imetangaza kuwa aliuawa kwa kupigwa risasi na jambazi nyumbani kwake maili 20 kusini mwa jiji la Johannesburg usiku wa jana. Meyiwa, 27,  aliuawa nyumbani kwake  Vosloorus. Ripoti ambazo bado hazijathibitishwa zinadai kuwa Meyiwa  alikuwa ndani […]

 

11 years ago

Vijimambo

Nahodha wa Bafana Bafana auawa-BBC

Senzo Meyiwa wakati wa uhai wake
Nahodha ambaye pia ni golikipa wa timu ya soka ya taifa la Afrika kusini Senzo Meyiwa amefariki dunia baada ya kupigwa risasi. Jeshi la polisi la nchi hiyo limesema.

Tukio hilo limeripotiwa kutokea katika nyumba ya mpenzi wake iliyopo katika mji wa Vosloorus kusini mwa Johannesburg.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 aliichezea klabu ya Orlando Pirates na alicheza mechi nne zilizopita za timu yake ya taifa katika mechi za kufuzu za fainali ya mataifa ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Marquez nahodha fainali 4

Beki wa Mexico, Rafael Marquez juzi Ijumaa aliweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kuwa nahodha wa nchi yake katika fainali nne za Kombe la Dunia.

 

11 years ago

Mwananchi

Nahodha afunguka Zanzibar

 Wakati Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), ikitimiza miaka minne, Waziri Kiongozi Mstaafu wa awamu ya sita, Shamsi Vuai Nahodha amesema ipo haja ya kuendelea kuwa na umoja huo kwa vile sababu zilizofanya kuundwa kwa Serikali shirikishi ya vyama vya CCM na CUF bado zipo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nahodha wa SpringBoks astaafu

Nahodha wa kikosi cha mpira wa Raga nchini Afrika Kusini Jean de Villiers amestaafu katika raga ya kimataifa baada ya kuambiwa kwamba hatoweza kucheza tena katika mechi za kombe la dunia kutokana na jeraha la taya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nahodha azomewa bungeni

HARAKATI za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuzima hoja za wapinzani jana nusura ziligharimu Bunge, baada ya Mwenyekiti wa Kamati namba tano ya Bunge Maalumu la Katiba, Shamsi Vuai Nahodha,...

 

11 years ago

Mwananchi

Owino awa nahodha Simba

Kocha wa Simba, Patrick Phiri amemteua beki Joseph Owino kuwa nahodha mpya wa timu hiyo na atasaidiwa na kiungo mkongwe, Shaaban Kisiga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nahodha wa mashua afunguliwa mashtaka

Nahodha wa mashua ambayo ilizama pwani ya Libya siku ya Jumapili ambapo wahamiaji wengi waliangamia amefunguliwa mashtaka

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani