Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nahodha wa mashua afunguliwa mashtaka

Nahodha wa mashua ambayo ilizama pwani ya Libya siku ya Jumapili ambapo wahamiaji wengi waliangamia amefunguliwa mashtaka

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Justin Bieber afunguliwa mashtaka

Amekaribishwa kituo cha polisi na umati mkubwa wa wapiga picha za televisheni pamoja na 'unyende' wa mashabiki wake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mkurugenzi Ilala afunguliwa mashtaka mengine

ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11, jana walifunguliwa mashitaka mengine katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar...

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa rais wa IAAF afunguliwa mashtaka

Ufaransa imeanzisha uchunguzi dhidi ya aliyekuwa rais wa shirikisho la riadha duniani IAAF,Lamine Diack, kuhusiana na madai ya ufisadi .

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashua za wahamiaji kuharibiwa

Mawaziri wa nchi za muungano wa Ulaya wanakutana leo kuidhinisha mipango ya kuharibu mashua zinazotumiwa kusafirisha wahamiaji kwenda Ulaya kutoka nchini Libya.

 

10 years ago

GPL

MUUMINI AFUNGULIWA KESI YA UTAPELI

Mkurugenzi wa Bendi ya Double M Sound,  Muumini Mwinjuma ‘Kocha wa Dunia’. Shani Ramadhani
MKURUGENZI wa Bendi ya Double M Sound, Mwinjuma Muumini ‘Kocha wa Dunia’, amefunguliwa kesi kwa jalada namba; NJ/RB/4150/2014 madai KUTOKUWEPO ENEO LA TUKIO na kukiuka masharti ya mkataba ya kufanya shoo mkoani Njombe. Mwandaaji wa shoo hiyo iliyofanyikia Ukumbi wa Day to Day, Sylvia Mwakkikufi akizungumza na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Sadiq al-Mahdi afunguliwa Sudan

Mwanasiasa mashuhuri wa Sudan aliyekamatwa mwezi May, aachiliwa huru

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashua yazama na kuwaua watu 9 Guinea

Mashua moja imezama kwenye mto moja nchini Guinea ambapo watu tisa wameaga dunia huku wengine kadha wakiwa hawajulikani waliko.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Sepetu Afunguliwa Apandishwa Kizimbani Leo!!

Mwigizaji wa filamu za kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ anapandishwa kizimbani leo katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar kujibu kesi ya kushambuliwa vijana wawili, Rashid Balazi na Juma Bushiri, wakazi wa jijini Dar, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.

Katika kujibu kesi hiyo, Madam Wema hatakuwa peke yake kwani mpambe wake, Petit Man naye anahusika katika kesi hiyo kwa kuwa ndiye mshtakiwa wa kwanza.

Hivi karibuni kabla Madam Wema hajasafiri kwenda nchini Ghana kufanya...

 

9 years ago

BBCSwahili

FBI yakanusha mashua ya rais wa Maldives ilitegwa bomu

FBI haijapata ushahidi wa kuthibitisha kuwa mlipuko uliotokea kwenye mashua ya rais wa Maldives Abdullah Yameen, mwezi Septemba ulisababishwa na bomu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani