Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashua za wahamiaji kuharibiwa

Mawaziri wa nchi za muungano wa Ulaya wanakutana leo kuidhinisha mipango ya kuharibu mashua zinazotumiwa kusafirisha wahamiaji kwenda Ulaya kutoka nchini Libya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAHAMIAJI 900 WAFARIKI DUNIA BAADA YA MASHUA YAO KUZAMA BAHARI YA MEDITERRANEAN

Maiti za wahamiaji waliozama baada ya mashua yao kupinduka nje ya pwani ya Libya siku ya Jumamosi zikiwa katika meli ya Italia katika bandari ya Malta.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Nahodha wa mashua afunguliwa mashtaka

Nahodha wa mashua ambayo ilizama pwani ya Libya siku ya Jumapili ambapo wahamiaji wengi waliangamia amefunguliwa mashtaka

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashua yazama na kuwaua watu 9 Guinea

Mashua moja imezama kwenye mto moja nchini Guinea ambapo watu tisa wameaga dunia huku wengine kadha wakiwa hawajulikani waliko.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbio za mashua za Mercedes Benz Cup 2015 zafana

DSC_0159

Mashua zenye tanga zinazojaza upepo zikichanja mbuga katika mawimbi makali kwenye bahari ya hindi kwenye fukwe za Yatch Club wakati wa mashindano ya mbio za Mashua za Mercedes Benz Cup 2015 yaliyodhaminiwa na kampuni ya CFAO Motors kwa miaka 9 sasa, yaliyomalizika mwishoni mwa juma jijini Dar es Salaam.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Mwandishi wetu

KLABU ya Yatch ya Dar es salaam iliyopo Msasani jijini Dar es salaam inatafuta fedha kuwezesha washiriki wake wanne katika mbio za...

 

9 years ago

BBCSwahili

FBI yakanusha mashua ya rais wa Maldives ilitegwa bomu

FBI haijapata ushahidi wa kuthibitisha kuwa mlipuko uliotokea kwenye mashua ya rais wa Maldives Abdullah Yameen, mwezi Septemba ulisababishwa na bomu

 

9 years ago

GPL

MBIO ZA MASHUA ZA MERCEDES BENZ CUP 2015 ZAFANA‏

Mashua zenye tanga zinazojaza upepo zikichanja mbuga katika mawimbi makali kwenye bahari ya hindi kwenye fukwe za Yatch Club wakati wa mashindano ya mbio za Mashua za Mercedes Benz Cup 2015 yaliyodhaminiwa na kampuni ya CFAO Motors kwa miaka 9 sasa, yaliyomalizika mwishoni mwa juma jijini Dar es Salaam. Washiriki wakipambana na mawimbi wakati wa mashindano ya mbio za mashua za Mercedes Benz Cup 2015 yaliyomalizika mwishoni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashindano ya mashua ya Mercedes Benz Cup 2014 yafana jijini Dar

mashua

Moja ya mashua ikisukumwa kurejeshwa katika eneo lake la hifadhi baada ya kumaliza mashindano hayo.

Na Mwandishi wetu

MICHUANO ya siku 2 mwaka ya waendesha mashua za kisasa kuwania kombe la Mercedes Benz kwa mwaka huu imemalizika juzi jioni kwa waendesha mashua Al Bush akisaidia na  Pugwash wakitwaa ushindi wa jumla na kutwaa kombe la Mercedes Benz.

Waendesha mashua hao yenye jina la Strophic aina ya Hobie Tiger ikiwa na namba 2653 wakikabidhiwa kombe hilo na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani