Mashua yazama na kuwaua watu 9 Guinea
Mashua moja imezama kwenye mto moja nchini Guinea ambapo watu tisa wameaga dunia huku wengine kadha wakiwa hawajulikani waliko.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Boti yazama na watu 36 DRC
Mashua moja iliyokuwa imebeba bidhaa na abiria imezama na karibu watu 36.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70uFBCAEekLv7awgoVQQfivl61jCvobbp95qm4HzEhNnTZ0AiVQW2krSioY0oqqy7sa52xPvDXVayMUkGXVZmnFT/CHINA2.jpg?width=650)
MELI ILIYOKUWA NA WATU ZAIDI YA 450 YAZAMA NCHINI CHINA
Meli ya Dongfangzhixing iliyozama. Shughuli za uokoaji zikifanyika. Kikosi cha Uokoaji kikiwa kazini.…
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
Akiri kuwaua watu 42 nchini Brazil
Polisi nchini Brazil wamemkamata mwanaume aliyekiri kuwaua watu 42 katika kipindi cha miaka kumi mjini Rio de Janeiro kwa sababu alipenda kuua
10 years ago
BBCSwahili13 Sep
Jengo laporomoka na kuwaua watu Nigeria
Watu kadhaa wahofiwa kufariki mjini Lagos Nigeria baada ya jengo moja linalohusishwa na muhubiri mashuhuri kuanguka.
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Waasi wa ADF wadaiwa kuwaua watu 20 DRC
watu wanaokisiwa kuwa wanachama wa kundi la waasi kutoka Uganda wamefanya mashambulizi nchini DRC na kuwaua watu 20
11 years ago
BBCSwahili13 Apr
Boko Haram ladaiwa kuwaua watu laki moja
Sasa imebainika kuwa wanamgambo wa kiislamu kazkazini mwa Nigeria waliwaua zaidi ya watu laki moja katika jimbo la Borno.
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Malaria yaua watu Guinea
Watafiti wa magonjwa wanasema,janga la ugonjwa wa ebola nchini Guinea linaongeza idadi ya vifo wanaofariki Kwa malaria .
10 years ago
BBCSwahili26 May
Watu sita wawekwa karantini jela Guinea
Watu sita wamewekwa Karantini jela nchini Guinea baada ya kukutwa na mwili wa Mtu ndani ya Taxi aliyebainika kufa kwa Ebola
10 years ago
BBCSwahili18 May
Mashua za wahamiaji kuharibiwa
Mawaziri wa nchi za muungano wa Ulaya wanakutana leo kuidhinisha mipango ya kuharibu mashua zinazotumiwa kusafirisha wahamiaji kwenda Ulaya kutoka nchini Libya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania