Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boti yazama na watu 36 DRC

Mashua moja iliyokuwa imebeba bidhaa na abiria imezama na karibu watu 36.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BOTI YAZAMA NA KUUA WAKIMBIZI

MIILI 25 imepatikana Ziwa Albert baada ya boti iliyokuwa imebeba wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuzama. Wakimbizi hao walikuwa wakitoroka kutoka kambi ya wakimbizi ya Kyangwali wilayani Hoima magharibi mwa Uganda, wakirejea kwao. Kwa sasa Jeshi la polisi linaendelea na jitihada za kutafuta miili zaidi. Kamanda wa polisi wa eneo hilo John Ojukuna amesema watu 43 wameokolewa. Boti iliyozama inadhaniwa kuwa ilikuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Boti yazama, yaua 3, maharusi waokolewa

WATU watatu wamekufa na wengine zaidi ya 70 wameokolewa wakiwemo bwana na bibi harusi ambao walitoka kufunga ndoa muda mfupi kabla ya tukio hilo kufuatia boti waliyokuwa wakisafiria kugonga mwamba na kuzama ndani ya Ziwa Tanganyika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashua yazama na kuwaua watu 9 Guinea

Mashua moja imezama kwenye mto moja nchini Guinea ambapo watu tisa wameaga dunia huku wengine kadha wakiwa hawajulikani waliko.

 

10 years ago

GPL

MELI ILIYOKUWA NA WATU ZAIDI YA 450 YAZAMA NCHINI CHINA

Meli ya Dongfangzhixing iliyozama. Shughuli za uokoaji zikifanyika. Kikosi cha Uokoaji kikiwa kazini.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yaua watu 15 DRC

Watu kumi na tano wamekufa katika kijiji cha Kimino huko Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu wa Beni, DRC, waandamana

Watu wa Beni, mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo, waandamana kutaka wapewe ulinzi zaidi baada ya mauaji kutokea huko

 

10 years ago

BBCSwahili

DRC:Watu 23 wadaiwa kuuawa na waasi wa UG

Maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanasema kuwa watu ishirini na watatu wameuawa kikatili na wanaodaiwa kuwa waasi wa Uganda.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 40 wauawa Mashariki mwa DRC

Ripoti kutoka Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinasema kuwa raia 40 wameuawa kwenye mapigano mjini Kamango

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu Congo Brazaville wakimbilia DRC

Wakimbizi kutoka Congo Brazaville wanakimbilia Congo Kinshasa. Kunani?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani