Boti yazama na watu 36 DRC
Mashua moja iliyokuwa imebeba bidhaa na abiria imezama na karibu watu 36.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGH-M7BibdEKRLU4BhTcwoN8oVX*I7llx6rQTQJzQAogxKbilKOOkiWArUaVQCSF85RtGlsO*evgmxxENkTchhAJ/BREAKINGNEWS.gif)
BOTI YAZAMA NA KUUA WAKIMBIZI
MIILI 25 imepatikana Ziwa Albert baada ya boti iliyokuwa imebeba wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuzama. Wakimbizi hao walikuwa wakitoroka kutoka kambi ya wakimbizi ya Kyangwali wilayani Hoima magharibi mwa Uganda, wakirejea kwao. Kwa sasa Jeshi la polisi linaendelea na jitihada za kutafuta miili zaidi. Kamanda wa polisi wa eneo hilo John Ojukuna amesema watu 43 wameokolewa. Boti iliyozama inadhaniwa kuwa ilikuwa...
10 years ago
Habarileo13 Oct
Boti yazama, yaua 3, maharusi waokolewa
WATU watatu wamekufa na wengine zaidi ya 70 wameokolewa wakiwemo bwana na bibi harusi ambao walitoka kufunga ndoa muda mfupi kabla ya tukio hilo kufuatia boti waliyokuwa wakisafiria kugonga mwamba na kuzama ndani ya Ziwa Tanganyika.
10 years ago
BBCSwahili11 Oct
Mashua yazama na kuwaua watu 9 Guinea
Mashua moja imezama kwenye mto moja nchini Guinea ambapo watu tisa wameaga dunia huku wengine kadha wakiwa hawajulikani waliko.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70uFBCAEekLv7awgoVQQfivl61jCvobbp95qm4HzEhNnTZ0AiVQW2krSioY0oqqy7sa52xPvDXVayMUkGXVZmnFT/CHINA2.jpg?width=650)
MELI ILIYOKUWA NA WATU ZAIDI YA 450 YAZAMA NCHINI CHINA
Meli ya Dongfangzhixing iliyozama. Shughuli za uokoaji zikifanyika. Kikosi cha Uokoaji kikiwa kazini.…
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Mafuriko yaua watu 15 DRC
Watu kumi na tano wamekufa katika kijiji cha Kimino huko Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo
10 years ago
BBCSwahili02 Nov
Watu wa Beni, DRC, waandamana
Watu wa Beni, mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo, waandamana kutaka wapewe ulinzi zaidi baada ya mauaji kutokea huko
10 years ago
BBCSwahili14 May
DRC:Watu 23 wadaiwa kuuawa na waasi wa UG
Maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanasema kuwa watu ishirini na watatu wameuawa kikatili na wanaodaiwa kuwa waasi wa Uganda.
11 years ago
BBCSwahili26 Dec
Watu 40 wauawa Mashariki mwa DRC
Ripoti kutoka Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinasema kuwa raia 40 wameuawa kwenye mapigano mjini Kamango
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Watu Congo Brazaville wakimbilia DRC
Wakimbizi kutoka Congo Brazaville wanakimbilia Congo Kinshasa. Kunani?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania