Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boti yazama, yaua 3, maharusi waokolewa

WATU watatu wamekufa na wengine zaidi ya 70 wameokolewa wakiwemo bwana na bibi harusi ambao walitoka kufunga ndoa muda mfupi kabla ya tukio hilo kufuatia boti waliyokuwa wakisafiria kugonga mwamba na kuzama ndani ya Ziwa Tanganyika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Boti yazama na watu 36 DRC

Mashua moja iliyokuwa imebeba bidhaa na abiria imezama na karibu watu 36.

 

11 years ago

GPL

BOTI YAZAMA NA KUUA WAKIMBIZI

MIILI 25 imepatikana Ziwa Albert baada ya boti iliyokuwa imebeba wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuzama. Wakimbizi hao walikuwa wakitoroka kutoka kambi ya wakimbizi ya Kyangwali wilayani Hoima magharibi mwa Uganda, wakirejea kwao. Kwa sasa Jeshi la polisi linaendelea na jitihada za kutafuta miili zaidi. Kamanda wa polisi wa eneo hilo John Ojukuna amesema watu 43 wameokolewa. Boti iliyozama inadhaniwa kuwa ilikuwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Dar yazama

mvuamvua 2Jonas Mushi na Hadia Hamisi, Dar es Salaam
MVUA kubwa iliyonyesha tangu juzi imesababisha maafa makubwa katika Jiji la Dar es Salaam, huku watu wawili wakipoteza maisha baada ya kuzidiwa na maji katika maeneo tofauti jana.
Mbali ya vifo hivyo, wakazi wengi wa jiji hilo wameachwa bila makazi kutokana na nyumba zao kujaa maji.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova alisema mvua hiyo imesababisha kifo cha mtu mmoja katika eneo la...

 

9 years ago

Habarileo

Coastal Union yazama 1-0

TIMU ya soka ya Coastal Union ya Tanga jana imeshindwa kuutumia vyema uwanja wake wa Mkwakwani baada ya kufungwa bao 1-0 na Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara Septemba 12, mwaka huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ferry yazama Korea

Ferry moja yazama ikiwa na abiria 467 Korea Kusini

 

10 years ago

Vijimambo

Meli yazama, 13 wahofiwa kufa

Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma, Jafari Mohamed.
Watu 13 wanasadikiwa kufa maji katika Ziwa Tanganyika, baada ya meli ya Mv Mbaga kuzama katika ziwa hilo usiku wa kuamkia Jumapili.

Tukio hilo lilitokea katika kijiji cha Kala, kilichopo mkoani Rukwa wakati meli hiyo ikitokea Mpulungu, Zambia kuelekea Burundi.

Mwakilishi wa meli hiyo mkoani Kigoma, Juliana Zakenda, alisema meli hiyo ilikuwa imebeba wafanyakazi 14 na tani 437 za mahindi.

Alisema kati ya wafanyakazi hao, ni mmoja tu alieokolewa ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Meli ya uvuvi ya Urusi yazama

Boti ya uvuvi ya Urusi imezama katika visiwa vya Kamchatka,ikiwa na mabaharia wapatao hamsini na wanne ambao wamekufa maji wote.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Powertiller’ sasa zabeba maharusi

Kwa mara nyingine, jitihada za Serikali kuboresha sekta ya kilimo nchini zinaelekea kugonga mwamba baada ya sera na mpango wake kupitia ununuzi wa treka kubwa na ndogo(powertiller), kutumika kwa matumizi mengine ikiwamo kubebea maharusi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashua yazama na kuwaua watu 9 Guinea

Mashua moja imezama kwenye mto moja nchini Guinea ambapo watu tisa wameaga dunia huku wengine kadha wakiwa hawajulikani waliko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani