Dar yazama
Jonas Mushi na Hadia Hamisi, Dar es Salaam
MVUA kubwa iliyonyesha tangu juzi imesababisha maafa makubwa katika Jiji la Dar es Salaam, huku watu wawili wakipoteza maisha baada ya kuzidiwa na maji katika maeneo tofauti jana.
Mbali ya vifo hivyo, wakazi wengi wa jiji hilo wameachwa bila makazi kutokana na nyumba zao kujaa maji.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova alisema mvua hiyo imesababisha kifo cha mtu mmoja katika eneo la...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili16 Apr
9 years ago
Habarileo02 Sep
Coastal Union yazama 1-0
TIMU ya soka ya Coastal Union ya Tanga jana imeshindwa kuutumia vyema uwanja wake wa Mkwakwani baada ya kufungwa bao 1-0 na Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara Septemba 12, mwaka huu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGH-M7BibdEKRLU4BhTcwoN8oVX*I7llx6rQTQJzQAogxKbilKOOkiWArUaVQCSF85RtGlsO*evgmxxENkTchhAJ/BREAKINGNEWS.gif)
BOTI YAZAMA NA KUUA WAKIMBIZI
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Meli ya uvuvi ya Urusi yazama
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Boti yazama na watu 36 DRC
10 years ago
Vijimambo15 Jan
Meli yazama, 13 wahofiwa kufa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/jafary-15Jan2015.jpg)
Watu 13 wanasadikiwa kufa maji katika Ziwa Tanganyika, baada ya meli ya Mv Mbaga kuzama katika ziwa hilo usiku wa kuamkia Jumapili.
Tukio hilo lilitokea katika kijiji cha Kala, kilichopo mkoani Rukwa wakati meli hiyo ikitokea Mpulungu, Zambia kuelekea Burundi.
Mwakilishi wa meli hiyo mkoani Kigoma, Juliana Zakenda, alisema meli hiyo ilikuwa imebeba wafanyakazi 14 na tani 437 za mahindi.
Alisema kati ya wafanyakazi hao, ni mmoja tu alieokolewa ...
10 years ago
BBCSwahili11 Oct
Mashua yazama na kuwaua watu 9 Guinea
10 years ago
Habarileo13 Oct
Boti yazama, yaua 3, maharusi waokolewa
WATU watatu wamekufa na wengine zaidi ya 70 wameokolewa wakiwemo bwana na bibi harusi ambao walitoka kufunga ndoa muda mfupi kabla ya tukio hilo kufuatia boti waliyokuwa wakisafiria kugonga mwamba na kuzama ndani ya Ziwa Tanganyika.
11 years ago
GPLMELI YA MIZIGO MV MERCI II YAZAMA KILWA MASOKO