Meli ya uvuvi ya Urusi yazama
Boti ya uvuvi ya Urusi imezama katika visiwa vya Kamchatka,ikiwa na mabaharia wapatao hamsini na wanne ambao wamekufa maji wote.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Jan
Meli yazama, 13 wahofiwa kufa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/jafary-15Jan2015.jpg)
Watu 13 wanasadikiwa kufa maji katika Ziwa Tanganyika, baada ya meli ya Mv Mbaga kuzama katika ziwa hilo usiku wa kuamkia Jumapili.
Tukio hilo lilitokea katika kijiji cha Kala, kilichopo mkoani Rukwa wakati meli hiyo ikitokea Mpulungu, Zambia kuelekea Burundi.
Mwakilishi wa meli hiyo mkoani Kigoma, Juliana Zakenda, alisema meli hiyo ilikuwa imebeba wafanyakazi 14 na tani 437 za mahindi.
Alisema kati ya wafanyakazi hao, ni mmoja tu alieokolewa ...
11 years ago
GPLMELI YA MIZIGO MV MERCI II YAZAMA KILWA MASOKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70uFBCAEekLv7awgoVQQfivl61jCvobbp95qm4HzEhNnTZ0AiVQW2krSioY0oqqy7sa52xPvDXVayMUkGXVZmnFT/CHINA2.jpg?width=650)
MELI ILIYOKUWA NA WATU ZAIDI YA 450 YAZAMA NCHINI CHINA
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Bandari kudhibiti meli za uvuvi yaja
WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ipo mbioni kujenga bandari ili kuhakikisha meli zinazofanya uvuvi nchini zinakaguliwa na kufuata sheria zote za uvuvi. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es...
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Uvuvi haramu unazorotesha sekta ya uvuvi ziwa Nyasa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6p9VYUh4v3k/XlDq1Ua71gI/AAAAAAALezE/cXIO1UF_YGcew-JChxGT3Iy2wxThsb8GACLcBGAsYHQ/s72-c/AA-7-1024x576.jpg)
NAIBU WAZIRI ULEGA AWATAKA MAAFISA UVUVI KUSIMAMIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU ZA SEKTA YA UVUVI
![](https://1.bp.blogspot.com/-6p9VYUh4v3k/XlDq1Ua71gI/AAAAAAALezE/cXIO1UF_YGcew-JChxGT3Iy2wxThsb8GACLcBGAsYHQ/s640/AA-7-1024x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/AA-8-1024x576.jpg)
10 years ago
Mtanzania08 May
Dar yazama
Jonas Mushi na Hadia Hamisi, Dar es Salaam
MVUA kubwa iliyonyesha tangu juzi imesababisha maafa makubwa katika Jiji la Dar es Salaam, huku watu wawili wakipoteza maisha baada ya kuzidiwa na maji katika maeneo tofauti jana.
Mbali ya vifo hivyo, wakazi wengi wa jiji hilo wameachwa bila makazi kutokana na nyumba zao kujaa maji.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova alisema mvua hiyo imesababisha kifo cha mtu mmoja katika eneo la...
11 years ago
BBCSwahili16 Apr
9 years ago
Habarileo02 Sep
Coastal Union yazama 1-0
TIMU ya soka ya Coastal Union ya Tanga jana imeshindwa kuutumia vyema uwanja wake wa Mkwakwani baada ya kufungwa bao 1-0 na Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara Septemba 12, mwaka huu.