Bandari kudhibiti meli za uvuvi yaja
WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ipo mbioni kujenga bandari ili kuhakikisha meli zinazofanya uvuvi nchini zinakaguliwa na kufuata sheria zote za uvuvi. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Meli ya uvuvi ya Urusi yazama
10 years ago
VijimamboMAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI ZIWA NYASA
Kufuatia adha ya usafiri wa majini inayowakabili wakazi waishio katika fukwe za Ziwa Nyasa, Mamlaka ya Bandari Tanzania kupitia kituo chake cha Kyela ipo mbioni kujenga meli ya abiria na mizigo ili kuwahudumia wakazi hao.
Hayo yaliwekwa bayana na Mkuu wa Bandari ya Kyela, Bw. Percival Ntetema wakati timu wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Tume ya Mipango ilipotembelea na kukagua bandari za Itungi na Kiwira zilizopo wilaya ya Kyela, mkoani Mbeya.
Bw....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lbvHldS1BNM/VPjBv9RqyyI/AAAAAAAHH9w/7D32J16jvYY/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
MH. KAMANI AKAMILISHA ZIARA NCHINI UFARANSA KWA KUTEMBELEA BANDARI YA UVUVI
![](http://3.bp.blogspot.com/-lbvHldS1BNM/VPjBv9RqyyI/AAAAAAAHH9w/7D32J16jvYY/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-N5m2UPjkTT4/VPjBvid1S9I/AAAAAAAHH90/0ys0yUz70dU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-E9fxvNbb1DQ/VPjBvm3dbuI/AAAAAAAHH9s/XDpctXBbmeQ/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
HP yaja na teknolojia kudhibiti bidhaa bandia
WATU wengi hawana ufahamu wa kutosha kuhusu ununuzi wa bidhaa zilizotengenezwa chini ya kiwango. Watanzania wamekuwa wateja wakubwa wa bidhaa hizo kutokana na kuangalia unafuu wa bei. Licha ya mamlaka...
10 years ago
Vijimambo28 Mar
MISWAADA KUDHIBITI MATUMIZI YA SIMU YAJA
![](http://dunialeo.com/my/data/posts/1427354023-makambabunge_300_257.png)
Serikali ya Tanzania imesema mnamo mapema mwakani iyapeleka bungeni miswada mitatu ya sheria za usalama wa mtandao yenye lengo la kuongeza usalama wa matumizi ya huduma za kimtandao.Aidha, kumekuwa na jumla ya matukio ya makosa mbalimbali ya kimtandao yaliyoripotiwa Polisi kati ya 2012 hadi 2014, huku kesi 212 zenye watuhumiwa 132 zikifikishwa mahakamani.
Naibu Waziri wa Mawasilino,Sayansi na Teknolojia, January Makamba aliyasema hayo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge...
11 years ago
Habarileo19 Dec
Sheria yaja kudhibiti mabaraza ya ardhi
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amesema katika kudhibiti na kushughulikia malalamiko dhidi ya wenyeviti wa Mabaraza ya Ardhi, wako kwenye mchakato wa kuandaa kanuni zitakazodhibiti utendaji wao.
9 years ago
MichuziMELI MPYA YA MV. MAPINDUZI II YAWASILI BANDARI KUU YA ZANZIBAR.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2pq6Wx7OwCc/VHVYQDC78AI/AAAAAAAGzck/6LxWKmN8CnE/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
MAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI MPYA ZIWA NYASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2pq6Wx7OwCc/VHVYQDC78AI/AAAAAAAGzck/6LxWKmN8CnE/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6Lo2LyK2Wcs/VHVYNtCTW9I/AAAAAAAGzbk/fl6mz5DcyDE/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ciOEscgBYB4/VHVYNIkGfEI/AAAAAAAGzbc/R9SokN-5kPw/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
Habarileo08 Nov
Sheria mpya kudhibiti dawa za kulevya yaja
SERIKALI imetunga Sheria mpya kali zaidi itakayoondoa changamoto zilizokuwa zikijitokeza wakati wa matumizi ya Sheria ya Kuzuia Biashara Haramu ya Dawa za Kulevya Namba 9 ya mwaka 1995 inayotumika sasa.