MELI MPYA YA MV. MAPINDUZI II YAWASILI BANDARI KUU YA ZANZIBAR.
Baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Miundombinu waliofika Bandari Kuu ya Zanzibar kushuhudia kuwasili kwa Meli mpya ya MV. MAPINDUZI II ikitokea Korea kusini.
Meli mpya ya MV. MAPINDUZI II ikiwa nje kidogo ya Bandari ya Zanzibar kabla ya kufunga gati Bandarini hapo.
Waziri wa Fedha Omar Yussuf Mzee akitoa maelezo kwa waandishi wa Habari juu ya matumizi ya gharama zilizotumika mara baada ya kuwasili kwa Meli ya MV. MAPINDUZI II Mjini Zanzibar.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sXxjfIdoOWY/Vmwv0zLl-YI/AAAAAAAIL5I/6ij-Vs8GeJ8/s72-c/DSC_3734.jpg)
UZINDUZI WA MELI MPYA YA MV MAPINDUZI II MJINI ZANZIBAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-sXxjfIdoOWY/Vmwv0zLl-YI/AAAAAAAIL5I/6ij-Vs8GeJ8/s640/DSC_3734.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Uvd6nY8fLSQ/VmwwL61DJ-I/AAAAAAAIL5Y/idQIbCd-9sM/s640/DSC_3788.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gF-TyVJ7sCc/VmwwP047XeI/AAAAAAAIL5o/-h2r_BV5sgU/s640/DSC_3817.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2pq6Wx7OwCc/VHVYQDC78AI/AAAAAAAGzck/6LxWKmN8CnE/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
MAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI MPYA ZIWA NYASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2pq6Wx7OwCc/VHVYQDC78AI/AAAAAAAGzck/6LxWKmN8CnE/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6Lo2LyK2Wcs/VHVYNtCTW9I/AAAAAAAGzbk/fl6mz5DcyDE/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ciOEscgBYB4/VHVYNIkGfEI/AAAAAAAGzbc/R9SokN-5kPw/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
9 years ago
Habarileo03 Dec
Meli mpya Mv Mapinduzi II yatua Z’bar
MELI mpya ya Mv Mapinduzi (II) imewasili katika Bandari ya Zanzibar jana kwa ajili ya kuanza safari zake baada ya kukamilika kwa ujenzi wake nchini Korea Kusini.
9 years ago
Habarileo14 Dec
Zanzibar kununua meli mpya 2
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein alizindua meli mpya ya kisasa mv Mapinduzi II juzi. Akizungumza katika uzinduzi huo amesema meli hiyo ni hatua muhimu ya utekelezaji wa dhamira ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ya kuimarisha usafiri wa baharini.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsrsc*mOXX94vujBWlYBlyNuh4eNNd3G0hhmUNDUos02e4vjGEyQOmNiUbVTp7uyonO3ctM3z8qTvtp563qPrnih/12.jpg?width=650)
KAMATI KUU CCM YAWAPONGEZA WATANZANIA KWA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jtgsmtn_9dw/Vl7ZVVxvZPI/AAAAAAAIJvs/uUqc4U6rB04/s72-c/index1.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA BANDARI MPYA YA MPIGADURI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jtgsmtn_9dw/Vl7ZVVxvZPI/AAAAAAAIJvs/uUqc4U6rB04/s640/index1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nW10XhWZKbo/Vl7ZVnhzf2I/AAAAAAAIJvw/-ibpvDZy578/s640/index2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Bandari kudhibiti meli za uvuvi yaja
WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ipo mbioni kujenga bandari ili kuhakikisha meli zinazofanya uvuvi nchini zinakaguliwa na kufuata sheria zote za uvuvi. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es...
10 years ago
VijimamboMAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI ZIWA NYASA
Kufuatia adha ya usafiri wa majini inayowakabili wakazi waishio katika fukwe za Ziwa Nyasa, Mamlaka ya Bandari Tanzania kupitia kituo chake cha Kyela ipo mbioni kujenga meli ya abiria na mizigo ili kuwahudumia wakazi hao.
Hayo yaliwekwa bayana na Mkuu wa Bandari ya Kyela, Bw. Percival Ntetema wakati timu wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Tume ya Mipango ilipotembelea na kukagua bandari za Itungi na Kiwira zilizopo wilaya ya Kyela, mkoani Mbeya.
Bw....
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.
Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.
Balozi wa Malawi...