Zanzibar kununua meli mpya 2
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein alizindua meli mpya ya kisasa mv Mapinduzi II juzi. Akizungumza katika uzinduzi huo amesema meli hiyo ni hatua muhimu ya utekelezaji wa dhamira ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ya kuimarisha usafiri wa baharini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo20 Sep
SMZ yapongezwa kununua meli mpya
CHAMA Cha Mapinduzi kimeipongeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) chini ya Dk Ali Mohamed Shein kwa kutekeleza ahadi zake kwa vitendo kwa kununua meli mpya ya abiria na mizigo kwa wananchi wa Zanzibar.
9 years ago
MichuziMELI MPYA YA MV. MAPINDUZI II YAWASILI BANDARI KUU YA ZANZIBAR.
9 years ago
MichuziUZINDUZI WA MELI MPYA YA MV MAPINDUZI II MJINI ZANZIBAR LEO
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Serikali kuleta meli ya kisasa Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar ipo mbioni kuleta meli kubwa na ya kisasa itakayokuwa ikisafirisha abiria kutoka Unguja kwenda Pemba ambayo itakuwa na garantii ya usalama. Naibu Katibu Mkuu wa Chama...
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Apr
Meli Zanzibar kufuatiliwa kwa setilaiti
Na Antar Sangali, Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imezindua mradi wa kufunga vyombo vya mawasiliano ya meli na boti za uvuvi ili kuweza kuziona zikiwa baharini na kufuatiliwa kwa setalaiti kulinda usalama wa abiria pamoja na kupambana na vitendo vya uhalifu, usafirishaji dawa za kulevya, uharamia na ugaidi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi zanzibar, Balozi Seif Ali Idd, alitoa msimamo huo wakati akihudhuria mafunzo ya mradi wa kuviona vyombo baharini vikitoa huduma au...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Dk Shein kulimarisha Shirika la Meli la Zanzibar
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dk Ali Mohamed Shein akihutubia mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu kati ya moja ya majimbo ya Pemba. Na Mwandishi Wetu Pemba. Jumapili, Oktoba 4, 2015 Mgombea urais […]
The post Dk Shein kulimarisha Shirika la Meli la Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Sh9 bilioni kutengeneza meli mpya
9 years ago
Habarileo03 Dec
Meli mpya Mv Mapinduzi II yatua Z’bar
MELI mpya ya Mv Mapinduzi (II) imewasili katika Bandari ya Zanzibar jana kwa ajili ya kuanza safari zake baada ya kukamilika kwa ujenzi wake nchini Korea Kusini.
10 years ago
Michuzi