Sheria yaja kudhibiti mabaraza ya ardhi
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amesema katika kudhibiti na kushughulikia malalamiko dhidi ya wenyeviti wa Mabaraza ya Ardhi, wako kwenye mchakato wa kuandaa kanuni zitakazodhibiti utendaji wao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Nov
Sheria mpya kudhibiti dawa za kulevya yaja
SERIKALI imetunga Sheria mpya kali zaidi itakayoondoa changamoto zilizokuwa zikijitokeza wakati wa matumizi ya Sheria ya Kuzuia Biashara Haramu ya Dawa za Kulevya Namba 9 ya mwaka 1995 inayotumika sasa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-owg8IX5lSyw/XuN5MAfuC5I/AAAAAAALtk4/e8Pdax4BZnAMbTvBWg3vvtXlqSFmv3mwQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_7847AAA-768x512.jpg)
DC CHONGOLO AWATAKA WAJUMBE MABARAZA YA KATA MANISPAA YA KINONDONI KUSIMAMIA SHERIA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-owg8IX5lSyw/XuN5MAfuC5I/AAAAAAALtk4/e8Pdax4BZnAMbTvBWg3vvtXlqSFmv3mwQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_7847AAA-768x512.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akizungumza na wajumbe wa Mabaraza ya Kata ya Halmashauri hiyo jana wakati wa kikao cha kujadili changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo. Wa kwanza kushito ni Katibu Tawala Bi. Stella Msofe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC_7869AAA-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC_7871AA-1024x683.jpg)
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU, WIZARA YA ARDHI AFANYA JITIHADA KUBORESHA MABARAZA YA ARDHI NA NYUMBA YA WILAYA
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Usuluhishi wa mgogoro wa ardhi kwenye mabaraza ya kata
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Sheria mabaraza ya kata zachochea uhalifu
SHERIA ya mabaraza ya kata ya mwaka 1985, imekua mwiba katika maeneo mbalimbali nchini kutokana na baadhi ya vifungu vyake kutofanyiwa marekebisho. Kutokana na hali hiyo, baadhi ya wadau wameiomba...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
‘Serikali irekebishe sheria mabaraza ya kata’
SERIKALI imeombwa kuifanya marekebisho sheria ya mabaraza ya kata ya mwaka 1985, kutokana na kuwepo kwa changamoto wakati wa kutoa usuluhishi. Akizungumza na Tanzania Daima mwishoni mwa wiki baada ya mafunzo ya sheria...
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Bandari kudhibiti meli za uvuvi yaja
WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ipo mbioni kujenga bandari ili kuhakikisha meli zinazofanya uvuvi nchini zinakaguliwa na kufuata sheria zote za uvuvi. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es...
10 years ago
Vijimambo28 Mar
MISWAADA KUDHIBITI MATUMIZI YA SIMU YAJA
![](http://dunialeo.com/my/data/posts/1427354023-makambabunge_300_257.png)
Serikali ya Tanzania imesema mnamo mapema mwakani iyapeleka bungeni miswada mitatu ya sheria za usalama wa mtandao yenye lengo la kuongeza usalama wa matumizi ya huduma za kimtandao.Aidha, kumekuwa na jumla ya matukio ya makosa mbalimbali ya kimtandao yaliyoripotiwa Polisi kati ya 2012 hadi 2014, huku kesi 212 zenye watuhumiwa 132 zikifikishwa mahakamani.
Naibu Waziri wa Mawasilino,Sayansi na Teknolojia, January Makamba aliyasema hayo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
HP yaja na teknolojia kudhibiti bidhaa bandia
WATU wengi hawana ufahamu wa kutosha kuhusu ununuzi wa bidhaa zilizotengenezwa chini ya kiwango. Watanzania wamekuwa wateja wakubwa wa bidhaa hizo kutokana na kuangalia unafuu wa bei. Licha ya mamlaka...