‘Serikali irekebishe sheria mabaraza ya kata’
SERIKALI imeombwa kuifanya marekebisho sheria ya mabaraza ya kata ya mwaka 1985, kutokana na kuwepo kwa changamoto wakati wa kutoa usuluhishi. Akizungumza na Tanzania Daima mwishoni mwa wiki baada ya mafunzo ya sheria...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Sheria mabaraza ya kata zachochea uhalifu
SHERIA ya mabaraza ya kata ya mwaka 1985, imekua mwiba katika maeneo mbalimbali nchini kutokana na baadhi ya vifungu vyake kutofanyiwa marekebisho. Kutokana na hali hiyo, baadhi ya wadau wameiomba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-owg8IX5lSyw/XuN5MAfuC5I/AAAAAAALtk4/e8Pdax4BZnAMbTvBWg3vvtXlqSFmv3mwQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_7847AAA-768x512.jpg)
DC CHONGOLO AWATAKA WAJUMBE MABARAZA YA KATA MANISPAA YA KINONDONI KUSIMAMIA SHERIA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-owg8IX5lSyw/XuN5MAfuC5I/AAAAAAALtk4/e8Pdax4BZnAMbTvBWg3vvtXlqSFmv3mwQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_7847AAA-768x512.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akizungumza na wajumbe wa Mabaraza ya Kata ya Halmashauri hiyo jana wakati wa kikao cha kujadili changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo. Wa kwanza kushito ni Katibu Tawala Bi. Stella Msofe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC_7869AAA-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC_7871AA-1024x683.jpg)
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Usuluhishi wa mgogoro wa ardhi kwenye mabaraza ya kata
11 years ago
Habarileo19 Dec
Sheria yaja kudhibiti mabaraza ya ardhi
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amesema katika kudhibiti na kushughulikia malalamiko dhidi ya wenyeviti wa Mabaraza ya Ardhi, wako kwenye mchakato wa kuandaa kanuni zitakazodhibiti utendaji wao.
5 years ago
CCM BlogUWT KATA YA MAKONGO WAFANYA SHEREHE KUWAPONGEZA KINA MAMA 13 WALIOZOA VITI VYOTE KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KATIKA KATA HIYO MWAKA JANA
MAKONGO, Dar es Salaam
Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya...
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
NEC irekebishe kasoro hizi BVR
JANA, wananchi wa Dar es Salaam walianza kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu na mingine inayokuja miaka ijayo.
Hata hivyo, tumesikitishwa na baadhi ya matukio yaliyotokea katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam jana kutokana na kasoro kadhaa zilizojitokeza na kusababisha usumbufu na madhara yasiyo na sababu.
Kwanza, kumekuwapo na matatizo ya vifaa vyenyewe vya kuandikishia ambapo kuna watu walifika vituoni mapema na...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Serikali iboreshe shule za kata
SUALA la elimu hapa nchini linapaswa kutazamwa kiundani ili kuwa na elimu bora nchini. Elimu ipewe kipaumbele kwa kuweka miundombinu rafiki na hatimaye kuwa mkombozi kwa maisha ya Watanzania wote....
11 years ago
Habarileo04 May
Serikali kushusha neema shule za Kata
SERIKALI imesema imejipanga kuongeza uwekezaji katika Shule za Sekondari za Kata nchini ili kuongeza kiwango cha ufaulu ambapo pia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa katika sekta ya elimu umesaidia kuinua kiwango cha ufaulu kidato cha nne ambacho kilitetereka kwa miaka mitatu mfululizo.
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Serikali yashauriwa kufuta ada shule za kata
KAIMU Ofisa wa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Pwani, Dismas Chuwalo, ameishauri serikali kufuta ada ya shule za sekondari za Kata ili wahitimu wote wanaochaguliwa waweze kujiunga na shule hizo....