Serikali yashauriwa kufuta ada shule za kata
KAIMU Ofisa wa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Pwani, Dismas Chuwalo, ameishauri serikali kufuta ada ya shule za sekondari za Kata ili wahitimu wote wanaochaguliwa waweze kujiunga na shule hizo....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Oct
Serikali yashauriwa kufuta Jiji la Mwanza
KAMATI ya Bunge inayoshughulikia Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeishauri Serikali kuifuta Halmashauri ya Jiji la Mwanza baada ya kubaini upotevu wa zaidi ya Sh bilioni 40. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Rajab Mohammed Mbarouk alishauri hayo jana wakati wa kikao cha kupitia taarifa ya CAG ambapo alisema ubadhirifu huo ni wa kati ya mwaka 2010 hadi 2013.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-tknbYmhIceA/U_2j-pSBZJI/AAAAAAAABkE/LxTfuzPX150/s72-c/kikwete-new-748393.jpg)
Serikali kufuta ada sekondari
Lengo kuwa na elimu bure hadi kidato cha nne JK asema ni mkakati wa kuboresha elimu nchini
NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kuwa serikali inaangalia uwezekano wa kufuta ada katika shule zake za sekondari.
Hatua hiyo inalenga kuboresha Sera ya Elimu na kuhakikisha kila mwanafunzi anayeanza darasa kwanza anamaliza kidato cha nne.
Rais Kikwete alikuwa akizungumza jana na wanajumuia ya Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro na wakazi wa vijiji vya jirani na chuo hicho ikiwa sehemu ya...
9 years ago
StarTV17 Nov
 Serikali yashauriwa kuangalia upya kodi kwa shule binafsi
Wadau wa sekta ya elimu nchini,wameishauri serikali kuangalia upya sera yake katika masuala ya kodi kwa shule binafsi ambazo zinakwaza mendeleo ya sekta hiyo huku mzigo mkubwa ukibaki kuzielemea shule hizo pamoja na wazazi.
Wakizungumzia maendeleo ya elimu kwa shule binafsi wadau hao wamesema kazi inayofanyika ni kwa niaba ya serikali kwa kuwasomesha watoto wa watanzania na kuondoa dhana ya kwamba ni eneo la kujitengenezea faida.
Wadau hao akiwemo Mkurugenzi wa taasisi ya kielimu ya THE...
11 years ago
Habarileo14 Mar
Serikali kutaja bei elekezi ada shule za msingi
KILIO cha siku nyingi cha wazazi kuhusu ada za shule za msingi na sekondari, kimesikika na hivi karibuni Serikali itakuja na jibu la kudhibiti ada hizo. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, amesema hayo jana wakati alipozindua mfumo wa ada elekezi kwa vyuo vya elimu ya juu nchini. Amesema kwa sasa Serikali iko katika mchakato wa kuja na bei elekezi ya ada kwa ajili ya shule za msingi na sekondari.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oxJhsLVQpGg/XvXB1NB4bSI/AAAAAAAAW4k/z_tWpg4bEyUbTn3x-CALNSciO1nQ_9adwCLcBGAsYHQ/s72-c/ndalichako%252Bpic.jpg)
SERIKALI YATOA MAELEKEZO YA ULIPAJI ADA KWA SHULE ZA PRIVATE
![](https://1.bp.blogspot.com/-oxJhsLVQpGg/XvXB1NB4bSI/AAAAAAAAW4k/z_tWpg4bEyUbTn3x-CALNSciO1nQ_9adwCLcBGAsYHQ/s400/ndalichako%252Bpic.jpg)
Maelekezo ya Ulipaji Ada kwa shule zisizo za Serikali baada ya Janga la Corona.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-agRf4ZvQ2Zc/XvXvZ9B-psI/AAAAAAALvjw/hHlNlQLEOA4kU1OBMkC7y-ALI1CcDPU2gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Aug
JK: Tunafikiria kufuta ada sekondari
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
JK:Tunafikiria kufuta ada sekondari
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa Serikali inaangalia uwezekano wa kufuta ada katika shule zake za sekondari, kama namna ya kuboresha Sera ya Elimu na kuhakikisha kila mwanafunzi anayeanza darasa kwanza...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Serikali iboreshe shule za kata
SUALA la elimu hapa nchini linapaswa kutazamwa kiundani ili kuwa na elimu bora nchini. Elimu ipewe kipaumbele kwa kuweka miundombinu rafiki na hatimaye kuwa mkombozi kwa maisha ya Watanzania wote....