JK:Tunafikiria kufuta ada sekondari
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa Serikali inaangalia uwezekano wa kufuta ada katika shule zake za sekondari, kama namna ya kuboresha Sera ya Elimu na kuhakikisha kila mwanafunzi anayeanza darasa kwanza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Aug
JK: Tunafikiria kufuta ada sekondari
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-tknbYmhIceA/U_2j-pSBZJI/AAAAAAAABkE/LxTfuzPX150/s72-c/kikwete-new-748393.jpg)
Serikali kufuta ada sekondari
Lengo kuwa na elimu bure hadi kidato cha nne JK asema ni mkakati wa kuboresha elimu nchini
NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kuwa serikali inaangalia uwezekano wa kufuta ada katika shule zake za sekondari.
Hatua hiyo inalenga kuboresha Sera ya Elimu na kuhakikisha kila mwanafunzi anayeanza darasa kwanza anamaliza kidato cha nne.
Rais Kikwete alikuwa akizungumza jana na wanajumuia ya Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro na wakazi wa vijiji vya jirani na chuo hicho ikiwa sehemu ya...
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Kufuta ada sekondari ni sawa na kuwapa keki wanaohitaji mkate
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza kuwa Serikali inafikiria kufuta ada za shule za sekondari ngazi ya chini (O-level) na kuna baadhi ya watu wameshangilia sana. Sijui wanashangilia nini kwa sababu kilichotangazwa...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Serikali yashauriwa kufuta ada shule za kata
KAIMU Ofisa wa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Pwani, Dismas Chuwalo, ameishauri serikali kufuta ada ya shule za sekondari za Kata ili wahitimu wote wanaochaguliwa waweze kujiunga na shule hizo....
10 years ago
Habarileo27 Aug
Ada sekondari sasa kufutwa
SERIKALI inajipanga kufuta ada za sekondari, ili elimu kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne, itolewe bure.
10 years ago
Habarileo14 Feb
Kikwete afuta ada sekondari
HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete ametimiza ahadi yake aliyoitoa Agosti mwaka jana katika Chuo Kikuu cha Mzumbe cha Morogoro, kwamba amekusudia kufuta ada ya shule za sekondari nchi nzima.
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Mafanikio ya Shule ya Sekondari Shemsanga baada kupandisha ada
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mtvGQMaGEL0/VlqYSW9M6SI/AAAAAAAII4U/eUoUCys3Nd8/s72-c/1.png)
Serikali yafuta rasmi ada kwa elimu ya sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne na michango yote katika elimu ya msingi
10 years ago
Vijimambo23 May
HOTUBA YA KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA MWANZA WAKATI WA KUFUNGUA MASHINDANO YA NGAZI YA MKOA YA MICHEZO YA SHULE ZA SEKONDARI TANZANIA (UMISSETA) NSUMBA SEKONDARI TAREHE 23 MEI, 2015
Nimeupokea mwaliko huu kwa furaha kwa vile umenipa fursa ya pekee kuwaona na kuzungumza na hadhara hii ya wanafunzi, Wanamichezo na Walimu wao. Aidha, nitumie fursa hii kuupongeza uongozi wa Nsumba na Jumuia yote kwa maandalizi mazuri ya...