Mafanikio ya Shule ya Sekondari Shemsanga baada kupandisha ada
“Siku Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi, Abdallah Bulembo alipofanya ziara katika shule yetu na kuamuru tupandishe ada, wengi hatukumwelewa, tulidhani ndiyo mwisho wa shule yetu.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Shule binafsi zapigwa marufuku kupandisha ada
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SERIKALI imepiga marufuku wamiliki wa shule binafsi kupandisha ada kuanzia Januari mwakani.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Serikali kutoa tamko la kufuta ada na michango mbalimbali kwa shule zake za msingi na sekondari.
Taarifa ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, profesa Sifuni Mchome, imepiga marufuku shule hizo kuongeza ada kwa mwaka wa masomo unaoanzia Januari 2016 hadi hapo...
10 years ago
GPLBAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28
9 years ago
Habarileo23 Dec
Maombi ya kupandisha ada yatinga wizarani
SHULE nyingi za msingi na sekondari zisizo za Serikali, zimetuma maombi kwa Kamishna Mkuu wa Elimu nchini kuomba kibali cha kupandisha ada katika mwaka ujao wa masomo.
10 years ago
Mwananchi27 Aug
JK: Tunafikiria kufuta ada sekondari
10 years ago
Habarileo14 Feb
Kikwete afuta ada sekondari
HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete ametimiza ahadi yake aliyoitoa Agosti mwaka jana katika Chuo Kikuu cha Mzumbe cha Morogoro, kwamba amekusudia kufuta ada ya shule za sekondari nchi nzima.
10 years ago
Habarileo27 Aug
Ada sekondari sasa kufutwa
SERIKALI inajipanga kufuta ada za sekondari, ili elimu kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne, itolewe bure.
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
JK:Tunafikiria kufuta ada sekondari
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa Serikali inaangalia uwezekano wa kufuta ada katika shule zake za sekondari, kama namna ya kuboresha Sera ya Elimu na kuhakikisha kila mwanafunzi anayeanza darasa kwanza...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-tknbYmhIceA/U_2j-pSBZJI/AAAAAAAABkE/LxTfuzPX150/s72-c/kikwete-new-748393.jpg)
Serikali kufuta ada sekondari
Lengo kuwa na elimu bure hadi kidato cha nne JK asema ni mkakati wa kuboresha elimu nchini
NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kuwa serikali inaangalia uwezekano wa kufuta ada katika shule zake za sekondari.
Hatua hiyo inalenga kuboresha Sera ya Elimu na kuhakikisha kila mwanafunzi anayeanza darasa kwanza anamaliza kidato cha nne.
Rais Kikwete alikuwa akizungumza jana na wanajumuia ya Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro na wakazi wa vijiji vya jirani na chuo hicho ikiwa sehemu ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RwK51kHwoJM/XqRESsHGmpI/AAAAAAALoLc/RjM598BI54QlrAPQJaUjofg_QJuwvhRMQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_5575.jpeg)
PRAMPRAM PALLBEARERS KUPANDISHA BEI BAADA YA CORONA KUISHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RwK51kHwoJM/XqRESsHGmpI/AAAAAAALoLc/RjM598BI54QlrAPQJaUjofg_QJuwvhRMQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_5575.jpeg)
MITANDAO mingi ya kijamii ikiwemo Facebook, WhatsApp na TikTok, inaongelea video zao, ni kundi linalofanya shughuli za mazishi kutoka nchini Ghana linalojulikana kama Prampram Pallbearers ambalo kwa sasa limekua maarufu zaidi ulimwenguni kote.
Video la kundi hilo zinawaonesha wanaume watano waliovalia nguo nyeusi, miwani nyeusi wakiwa wamebeba jeneza wakisindikizwa na kibao cha "Astronomia" wimbo ulioimbwa na Tony Igy.
Mwanzilishi wa kundi hilo Benjamin...