Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PRAMPRAM PALLBEARERS KUPANDISHA BEI BAADA YA CORONA KUISHA


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MITANDAO mingi  ya kijamii ikiwemo Facebook, WhatsApp na TikTok, inaongelea video zao, ni kundi linalofanya shughuli za mazishi kutoka nchini Ghana linalojulikana kama Prampram Pallbearers  ambalo kwa sasa limekua maarufu zaidi ulimwenguni kote.
Video la kundi hilo zinawaonesha wanaume watano waliovalia nguo nyeusi, miwani nyeusi wakiwa wamebeba jeneza wakisindikizwa na kibao cha "Astronomia" wimbo ulioimbwa na Tony Igy.
 Mwanzilishi wa kundi hilo Benjamin...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Marufuku kupandisha bei ya ‘gesti’ Bunge maalumu

MWENYEKITI wa chama cha wamiliki wa nyumba za kulala wageni mkoani Dodoma, Chavala Taratibu amesema hakuna mfanyabiashara wa nyumba hizo atakayeruhusiwa kupandisha bei wakati wa Bunge la Maalumu la Katiba litakapoanza mapema wiki ijayo.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI UMMY: CORONA YAENDELEA KUISHA NCHINI

Na WAJMW-DOMWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa Corona unaelekea kuisha nchini ambapo mikoa zaidi ya 15 haijaripoti mgonjwa yeyote wa Corona kwa zaidi ya wiki.
Waziri Ummy amesema hayo leo wakati alipotembelea kituo cha afya cha Mkonze kilichotengwa kwa ajili ya kuwahudumia watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Corona jijini Dodoma na kukuta vitanda vikiwa tupu bila kuwa na mgonjwa yeyote kwa zaidi ya wiki.
Waziri Ummy amesema...

 

5 years ago

Michuzi

UGONJWA WA CORONA UNAELEKEA KUISHA NCHINI-WAZIRI UMMY

Na WAJMW-DOM
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa Corona unaelekea kuisha nchini ambapo mikoa zaidi ya 15 haijaripoti mgonjwa yeyote wa Corona kwa zaidi ya wiki.

Waziri Ummy amesema hayo leo wakati alipotembelea kituo cha afya cha Mkonze kilichotengwa kwa ajili ya kuwahudumia watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Corona jijini Dodoma na kukuta vitanda vikiwa tupu bila kuwa na mgonjwa yeyote kwa zaidi ya wiki.

Waziri Ummy amesema...

 

9 years ago

Vijimambo

Maalim Seif aahidi kupandisha bei ya zao la mwani pindipo akichaguliwa kuwa Rais



Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wananchi wa Tumbe alipotembelea eneo hilo.
Na Khamis Haji , OMKR
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaahidi wakulima wa zao la mwani Zanzibar kuwa atapandisha bei ya zao hilo mara moja, iwap atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwezi ujao.

Maalim Seif alisema bei wanayolipwa wakulima ya shilingi 700 na 800 hivi sasa ni ndogo na hailingani na...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WATOA MAONI JUU YA MUWSA KUOMBA KUPANDISHA BEI YA UTOLEWAJI WA HUDUMA YA MAJI KATIKA MJI WA MOSHI

Viongozi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa mazingira mjini Moshi,MUWSA wakifuatilia hotuba iliyokuwa ikitolewa na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama (hayupo pichani) wakati wa utolewaji wa maoni juu ya bei mpya ya huduma ya maji.
Mkuu wa mkoa a Kilimanjaro,Leonidas Gama akizungumza katika mkutano huo ulioandaliwa na EWURA.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama akiteta jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi (MUWSA)...

 

10 years ago

Mwananchi

Mafanikio ya Shule ya Sekondari Shemsanga baada kupandisha ada

“Siku Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi, Abdallah Bulembo alipofanya ziara katika shule yetu na kuamuru tupandishe ada, wengi hatukumwelewa, tulidhani ndiyo mwisho wa shule yetu.”

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Madereva 25 kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na corona.

Katika mkutano wake na wanahabari naibu waziri wa Afya Rashid Aman amesema kwamba maabara 2 za kuhama hama zitazinduliwa katika mpaka wa Namanga ili kuimarisha upimaji wa wagonjwa wapya.

 

5 years ago

BBC

Coronavirus: Ghana's dancing pallbearers become Covid-19 meme

Social media users have adopted the troupe as a dark-humoured symbol of death in the time of Covid-19.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani