PRAMPRAM PALLBEARERS KUPANDISHA BEI BAADA YA CORONA KUISHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RwK51kHwoJM/XqRESsHGmpI/AAAAAAALoLc/RjM598BI54QlrAPQJaUjofg_QJuwvhRMQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_5575.jpeg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MITANDAO mingi ya kijamii ikiwemo Facebook, WhatsApp na TikTok, inaongelea video zao, ni kundi linalofanya shughuli za mazishi kutoka nchini Ghana linalojulikana kama Prampram Pallbearers ambalo kwa sasa limekua maarufu zaidi ulimwenguni kote.
Video la kundi hilo zinawaonesha wanaume watano waliovalia nguo nyeusi, miwani nyeusi wakiwa wamebeba jeneza wakisindikizwa na kibao cha "Astronomia" wimbo ulioimbwa na Tony Igy.
Mwanzilishi wa kundi hilo Benjamin...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Feb
Marufuku kupandisha bei ya ‘gesti’ Bunge maalumu
MWENYEKITI wa chama cha wamiliki wa nyumba za kulala wageni mkoani Dodoma, Chavala Taratibu amesema hakuna mfanyabiashara wa nyumba hizo atakayeruhusiwa kupandisha bei wakati wa Bunge la Maalumu la Katiba litakapoanza mapema wiki ijayo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Aw1dNUQX24M/Xt-p010FckI/AAAAAAAC7Kk/CKasOsnrj6IzVvfCFhsF3lCbfvTLrCMMQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI UMMY: CORONA YAENDELEA KUISHA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Aw1dNUQX24M/Xt-p010FckI/AAAAAAAC7Kk/CKasOsnrj6IzVvfCFhsF3lCbfvTLrCMMQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Waziri Ummy amesema hayo leo wakati alipotembelea kituo cha afya cha Mkonze kilichotengwa kwa ajili ya kuwahudumia watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Corona jijini Dodoma na kukuta vitanda vikiwa tupu bila kuwa na mgonjwa yeyote kwa zaidi ya wiki.
Waziri Ummy amesema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-o--KieRM6No/Xt-v0Xx_3mI/AAAAAAALtNw/3HiRswYFgAkWd4K9BbTRxIj_zkAWUP8lQCLcBGAsYHQ/s72-c/GG.jpg)
UGONJWA WA CORONA UNAELEKEA KUISHA NCHINI-WAZIRI UMMY
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa Corona unaelekea kuisha nchini ambapo mikoa zaidi ya 15 haijaripoti mgonjwa yeyote wa Corona kwa zaidi ya wiki.
Waziri Ummy amesema hayo leo wakati alipotembelea kituo cha afya cha Mkonze kilichotengwa kwa ajili ya kuwahudumia watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Corona jijini Dodoma na kukuta vitanda vikiwa tupu bila kuwa na mgonjwa yeyote kwa zaidi ya wiki.
Waziri Ummy amesema...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s72-c/pix%2Btum.jpg)
Maalim Seif aahidi kupandisha bei ya zao la mwani pindipo akichaguliwa kuwa Rais
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s640/pix%2Btum.jpg)
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wananchi wa Tumbe alipotembelea eneo hilo.
Na Khamis Haji , OMKR
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaahidi wakulima wa zao la mwani Zanzibar kuwa atapandisha bei ya zao hilo mara moja, iwap atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwezi ujao.
Maalim Seif alisema bei wanayolipwa wakulima ya shilingi 700 na 800 hivi sasa ni ndogo na hailingani na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7RNRgTVLAgA/VXPz_EiCHCI/AAAAAAAAQlE/y_K4lcIaHag/s72-c/E86A9565%2B%2528800x533%2529.jpg)
WANANCHI WATOA MAONI JUU YA MUWSA KUOMBA KUPANDISHA BEI YA UTOLEWAJI WA HUDUMA YA MAJI KATIKA MJI WA MOSHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7RNRgTVLAgA/VXPz_EiCHCI/AAAAAAAAQlE/y_K4lcIaHag/s640/E86A9565%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7Wwr1G95cMc/VXP0B6HRTyI/AAAAAAAAQlo/sgAic8fCNzk/s640/E86A9577%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dt5RjbsO1wY/VXP0GdCtSlI/AAAAAAAAQmY/yhPTfJ_gO4U/s640/E86A9601%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Mafanikio ya Shule ya Sekondari Shemsanga baada kupandisha ada
11 years ago
Michuzi29 May
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya Corona: Madereva 25 kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na corona.
5 years ago
BBC04 May
Coronavirus: Ghana's dancing pallbearers become Covid-19 meme