Rais Kikwete aitaka Jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha malengo ya milenia yanatekelezwa kwa ukamilifu hata baada ya kuisha muda uliowekwa
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog29 May
JK aitaka jumuiya ya kimataifa kutekeleza malengo ya milenia kikamilifu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameitaka Jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha kuwa malengo ya milenia yanatekelezwa kwa ukamilifu hata baada ya kuisha muda uliowekwa wa kuyatimiza, kabla ya kuweka malengo mengine duniani.
Rais Kikwete ametoa ushauri huo tarehe 28 Mei,2014 mwanzoni mwa mkutano wa kimataifa unaohusu Afya ya Mama na Mtoto jijini Toronto Canada, ambapo alikuwa akijibu maswali kuhusu matokeo ya malengo ya milenia kuelekea mwisho wa muda wa kuyatekeleza mwakani 2015.
“Tukamilishe...
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Bilal mgeni rasmi majadiliano ya Vijana Malengo ya Milenia baada ya 2015
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dr. Mohamed Gharib Bilal.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dr. Mohamed Gharib Bilal ataungana na taasisi ya ONE pamoja na Restless Development katika majadiliano na vijana walio na miaka 15 ikiwa na lengo la kuwapa nafasi vijana kutoa mawazo yao kwa watunga sera namna ambavyo wanatarajia vipaumbele vyao vya maendeleo viwe ili wawe na ustawi mzuri ifikapo mwaka 2030.
Majadiliano hayo ambayo ni sehemu ya ‘action2015’, ikiwa ni msukumo kutoka kwa wananchi unaoendeshwa...
10 years ago
Mwananchi25 Dec
TRA: Pikipiki zisajiliwe kwa muda uliowekwa
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Je kwa nini Afrika imeshindwa kufikia Malengo ya milenia?
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Malengo ya Milenia:TZ
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Wadau wakosoa Malengo ya Milenia
11 years ago
Habarileo09 Jan
SMZ yavuka malengo ya milenia
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar tayari imesema imefanikiwa kuyafikia Malengo ya Milenia ya kuimarisha na kusambaza huduma za Elimu hadi vijijini ambapo kwa sasa hakuna mwanafunzi anayetembea kilomita nne kutafuta elimu.
11 years ago
Mwananchi08 Mar
SIKU YA WANAWAKE: Malengo ya milenia yamefikiwa?
11 years ago
Habarileo30 May
JK ataka Malengo ya Milenia kuendelea kutekelezwa
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka Jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha kuwa Malengo ya Milenia yanatekelezwa kwa ukamilifu hata baada ya kuisha muda uliowekwa wa kuyatimiza, kabla ya kuweka malengo mengine duniani.