Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Kikwete aitaka Jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha malengo ya milenia yanatekelezwa kwa ukamilifu hata baada ya kuisha muda uliowekwa

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

JK aitaka jumuiya ya kimataifa kutekeleza malengo ya milenia kikamilifu

Jakaya-Kikwete1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameitaka Jumuiya ya Kimataifa  kuhakikisha kuwa malengo ya milenia yanatekelezwa kwa  ukamilifu hata baada ya kuisha muda uliowekwa wa kuyatimiza,  kabla ya kuweka malengo mengine duniani.

Rais Kikwete ametoa ushauri huo  tarehe 28 Mei,2014 mwanzoni mwa  mkutano wa kimataifa unaohusu Afya ya Mama  na Mtoto jijini Toronto Canada, ambapo alikuwa akijibu maswali kuhusu matokeo ya malengo ya milenia kuelekea mwisho wa muda wa kuyatekeleza mwakani 2015.

“Tukamilishe...

 

10 years ago

Dewji Blog

Bilal mgeni rasmi majadiliano ya Vijana Malengo ya Milenia baada ya 2015

Mohamed-Gharib-Bilal

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dr. Mohamed Gharib Bilal.

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dr. Mohamed Gharib Bilal ataungana na taasisi ya ONE pamoja na Restless Development katika majadiliano na vijana walio na miaka 15 ikiwa na lengo la kuwapa nafasi vijana kutoa mawazo yao kwa watunga sera namna ambavyo  wanatarajia vipaumbele vyao vya maendeleo viwe ili wawe na ustawi mzuri ifikapo mwaka 2030.

Majadiliano hayo ambayo ni sehemu ya ‘action2015’, ikiwa ni msukumo kutoka kwa wananchi unaoendeshwa...

 

10 years ago

Mwananchi

TRA: Pikipiki zisajiliwe kwa muda uliowekwa

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Kagera imewataka wamiliki wa pikipiki kuhakikisha wanasajili vyombo hivyo kwa muda unaotakiwa, vinginevyo watachukuliwa hatua za kisheria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je kwa nini Afrika imeshindwa kufikia Malengo ya milenia?

Miaka 15 sasa tangu viongozi wa dunia walipoidhinisha malengo 8 ya Milenia bara la Afrika limeshindwa kuafikia malengo hayo

 

10 years ago

BBCSwahili

Malengo ya Milenia:TZ

Tanzania imefanikiwa kutimiza lengo namba 4 la malengo ya maendeleo ya milenia.

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau wakosoa Malengo ya Milenia

Baadhi ya wadau wa maendeleo wamekosoa ripoti ya Malengo ya Milenia iliyotolewa na mwakilishi wa Wizara ya Fedha katika mjadala ulioandaliwa na Taasisi ya Policy Forum jijini Dar es Salaam jana.

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yavuka malengo ya milenia

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar tayari imesema imefanikiwa kuyafikia Malengo ya Milenia ya kuimarisha na kusambaza huduma za Elimu hadi vijijini ambapo kwa sasa hakuna mwanafunzi anayetembea kilomita nne kutafuta elimu.

 

11 years ago

Mwananchi

SIKU YA WANAWAKE: Malengo ya milenia yamefikiwa?

>“Chochea Mabadiliko Kuleta Usawa wa Kijinsia,” hii ni kaulimbiu ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa Mwaka 2014. Hata hivyo, leo wakati wanawake duniani kote wakisherehekea siku hii muhimu kwao, ni mwaka mmoja mmoja umebakia ili kutimiza malengo ya milenia.

 

11 years ago

Habarileo

JK ataka Malengo ya Milenia kuendelea kutekelezwa

RAIS Jakaya Kikwete ameitaka Jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha kuwa Malengo ya Milenia yanatekelezwa kwa ukamilifu hata baada ya kuisha muda uliowekwa wa kuyatimiza, kabla ya kuweka malengo mengine duniani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani