Marufuku kupandisha bei ya ‘gesti’ Bunge maalumu
MWENYEKITI wa chama cha wamiliki wa nyumba za kulala wageni mkoani Dodoma, Chavala Taratibu amesema hakuna mfanyabiashara wa nyumba hizo atakayeruhusiwa kupandisha bei wakati wa Bunge la Maalumu la Katiba litakapoanza mapema wiki ijayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Shule binafsi zapigwa marufuku kupandisha ada
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SERIKALI imepiga marufuku wamiliki wa shule binafsi kupandisha ada kuanzia Januari mwakani.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Serikali kutoa tamko la kufuta ada na michango mbalimbali kwa shule zake za msingi na sekondari.
Taarifa ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, profesa Sifuni Mchome, imepiga marufuku shule hizo kuongeza ada kwa mwaka wa masomo unaoanzia Januari 2016 hadi hapo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RwK51kHwoJM/XqRESsHGmpI/AAAAAAALoLc/RjM598BI54QlrAPQJaUjofg_QJuwvhRMQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_5575.jpeg)
PRAMPRAM PALLBEARERS KUPANDISHA BEI BAADA YA CORONA KUISHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RwK51kHwoJM/XqRESsHGmpI/AAAAAAALoLc/RjM598BI54QlrAPQJaUjofg_QJuwvhRMQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_5575.jpeg)
MITANDAO mingi ya kijamii ikiwemo Facebook, WhatsApp na TikTok, inaongelea video zao, ni kundi linalofanya shughuli za mazishi kutoka nchini Ghana linalojulikana kama Prampram Pallbearers ambalo kwa sasa limekua maarufu zaidi ulimwenguni kote.
Video la kundi hilo zinawaonesha wanaume watano waliovalia nguo nyeusi, miwani nyeusi wakiwa wamebeba jeneza wakisindikizwa na kibao cha "Astronomia" wimbo ulioimbwa na Tony Igy.
Mwanzilishi wa kundi hilo Benjamin...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s72-c/pix%2Btum.jpg)
Maalim Seif aahidi kupandisha bei ya zao la mwani pindipo akichaguliwa kuwa Rais
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s640/pix%2Btum.jpg)
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wananchi wa Tumbe alipotembelea eneo hilo.
Na Khamis Haji , OMKR
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaahidi wakulima wa zao la mwani Zanzibar kuwa atapandisha bei ya zao hilo mara moja, iwap atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwezi ujao.
Maalim Seif alisema bei wanayolipwa wakulima ya shilingi 700 na 800 hivi sasa ni ndogo na hailingani na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7RNRgTVLAgA/VXPz_EiCHCI/AAAAAAAAQlE/y_K4lcIaHag/s72-c/E86A9565%2B%2528800x533%2529.jpg)
WANANCHI WATOA MAONI JUU YA MUWSA KUOMBA KUPANDISHA BEI YA UTOLEWAJI WA HUDUMA YA MAJI KATIKA MJI WA MOSHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7RNRgTVLAgA/VXPz_EiCHCI/AAAAAAAAQlE/y_K4lcIaHag/s640/E86A9565%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7Wwr1G95cMc/VXP0B6HRTyI/AAAAAAAAQlo/sgAic8fCNzk/s640/E86A9577%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dt5RjbsO1wY/VXP0GdCtSlI/AAAAAAAAQmY/yhPTfJ_gO4U/s640/E86A9601%2B%2528800x533%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7TqmZ_9E_ss/XrvoW85F2iI/AAAAAAALqEc/QBxGMtsZRuk-wEzaH6GEmJpNcmViSpPgwCLcBGAsYHQ/s72-c/PAZURI.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PJWh0QdBBecC1ZEw83YEwg-P1ZhSbReqM-2AKNGAPArarzP78pZ0IauK58oq1Tmb4q0jyhpFVkvVdw37MeBUxXL/mkewamtu.jpg?width=650)
MFANYABIASHARA KARIAKOO AKUTWA GESTI NA SHEMEJIYE GESTI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZpRIe3oJKi4/U5Fq86Rn3WI/AAAAAAACi5s/ex7u4_etMb0/s72-c/emirates.jpg)
Emirates yatoa punguzo maalumu la bei za tiketi kwa Watanzania wanaokwenda Chicago, Marekani
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZpRIe3oJKi4/U5Fq86Rn3WI/AAAAAAACi5s/ex7u4_etMb0/s1600/emirates.jpg)
Shirika la Ndege la Emirates, linalosifika kwa kutoa huduma bora za usafiri wa anga kwa abiria kwa mataifa mbalimbali, limetangaza ofa maalumu kwa Watanzania watakaokwenda Chicago nchini Marekani, kupitia Dubai wakitokea Dar es Salaam. Punguzo hilo au ofa hiyo maalumu ni kwa madaraja ya abiria wa kawaida yaani Economy Class na daraja la wafanyabiashara ‘Business Class’.
Emirates ilitangaza ofa hiyo mapema...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Bunge Maalumu vuluvulu
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kuvutana juu ya kutumika kwa kura ya wazi au ya siri katika maamuzi watakayoyafanya wakati wa kupitia rasimu ya Katiba mpya. Mvutano huo...
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Mgogoro Bunge Maalumu la Katiba