Emirates yatoa punguzo maalumu la bei za tiketi kwa Watanzania wanaokwenda Chicago, Marekani
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZpRIe3oJKi4/U5Fq86Rn3WI/AAAAAAACi5s/ex7u4_etMb0/s72-c/emirates.jpg)
Wasilisha ombi la tiketi kabla ya Agosti 5 kwa safari za hadi Novemba 30, 2014
Shirika la Ndege la Emirates, linalosifika kwa kutoa huduma bora za usafiri wa anga kwa abiria kwa mataifa mbalimbali, limetangaza ofa maalumu kwa Watanzania watakaokwenda Chicago nchini Marekani, kupitia Dubai wakitokea Dar es Salaam. Punguzo hilo au ofa hiyo maalumu ni kwa madaraja ya abiria wa kawaida yaani Economy Class na daraja la wafanyabiashara ‘Business Class’.
Emirates ilitangaza ofa hiyo mapema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Dec
Fastjet yatoa punguzo la bei kwa wateja wanaokwenda kuhudhuria Lohana Sports and Cultural Festival Uganda
Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akiongea na Bw. Navin Kanabar (kushoto) na Bw. Manish Rughani (katikati) ambao ni wateja wa fastjet waliopata tiketi za punguzo la bei kwenda Entebe Uganda kuhudhuria tamasha la 33 la michezo na Utamaduni lijulikanalo kama Lohana Festival, kampuni ya Fastjet ilitoa punguzo la bei kwa kundi la wateja 150 walionunua tiketi nyingi.
Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akimkabidhi Bi. Nishita Davda tiketi ya kwenda...
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
LG yatoa punguzo kabambe la bei ya bidhaa zake kipindi hiki cha Ramadhani na Sabasaba
Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya MeTL Group, Bi. Fatema Dewji-Jaffer akipokea taarifa ya shughuli mbalimbali zinazoendelea kwenye maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa maarufu kama “Sabasaba” kwa mmoja wa maafisa wa kampuni ya bidhaa za LG Tanzania ambapo kampuni ya Mohammed Enterprises Limited Tanzania (MeTL) ndio msambazaji rasmi wa bidhaa hiyo nchini kabla ya hafla fupi ya uzinduzi wa friji mpya ya LG yenye milango pacha aina ya “Velvet Gardenia na Coral Irish”.
Mmoja wa...
11 years ago
Michuzi10 May
Punguzo la bei ya umeme mwiba kwa washindani-IPTL
Chanzo cha uhakika kutoka Wizara ya Nishati na Madini kimetoa taarifa hiyo kwa gazeti hili jana kuwa kwa zaidi ya muongo mmoja, kampuni za kigeni zimekuwa zikipata faida kubwa kwa kuzalisha umeme na kuuza kwa bei ya juu nchini.
Kampuni ya IPTL ambayo inamilikiwa na kampuni ya...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Pata punguzo la tiketi za Diamond Dar Live
Mwandishi wetu
KAMPUNI ya simu za mkononi, Airtel kupitia huduma yao ya kijanja kimawasiliano ya Airtel Money Tap Tap wanakuletea punguzo la bei za tiketi za kumshuhudia staa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Krimasi (kesho) ndani ya Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem jijini Dar.
Akizungumza na Amani, Meneja Huduma wa Airtel, Moses James alisema kuwa mteja anatakiwa kununua laini yake ya Airtel kisha kujiunga na huduma ya Airtel Money Tap Tap na baada ya hapo atakabidhiwa namba ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aXr9LcHzar0/VHgTY0miF2I/AAAAAAAARgo/CMKb_rR84dY/s72-c/THANKS%2BGIVING%2BFRIDAY.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--e9xOTlK4zc/VHpGFUP5YEI/AAAAAAADJKQ/-gr84CUFl5Q/s72-c/scan0001.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuReydXw8a2PhmF2*RsiwTUO0oy2HI3G9QqwQqHtvGkeX5xdEHUZEE7O1q5*JeBMUA4LWWPBPJa9jmOtCrlDCB*Lj/SACHQUESBIGSALE222DONE.jpg?width=600)
PUNGUZO KUBWA LA BEI ZA NGUO ZA KIKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-307gtfge5FA/XsZ_EUi9ktI/AAAAAAALrIM/zkfyYneA05M5bXcIE2O03YCxZ9aPNc7AwCLcBGAsYHQ/s72-c/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
RC MAKONDA ATANGAZA PUNGUZO LA BEI HADI 80% KWENYE MADUKA MAKUBWA YA NGUO DAR.
![](https://1.bp.blogspot.com/-307gtfge5FA/XsZ_EUi9ktI/AAAAAAALrIM/zkfyYneA05M5bXcIE2O03YCxZ9aPNc7AwCLcBGAsYHQ/s640/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
RC Makonda amesema Miongoni mwa Maduka Makubwa yaliyoamua kutoa punguzo la bei ni pamoja na Mr. Price na Red Tag ya Mlimani city, Vunja Bei, Maduka yaliyopo City Mall pamoja na...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HijiaNRxHiA/default.jpg)