Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fastjet yatoa punguzo la bei kwa wateja wanaokwenda kuhudhuria Lohana Sports and Cultural Festival Uganda

CAPTION 1

Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akiongea na Bw. Navin Kanabar (kushoto) na Bw. Manish Rughani (katikati) ambao ni wateja wa fastjet waliopata tiketi za punguzo la bei kwenda Entebe Uganda kuhudhuria tamasha la 33 la michezo na Utamaduni lijulikanalo kama Lohana Festival, kampuni ya Fastjet  ilitoa punguzo la bei kwa kundi la wateja 150 walionunua tiketi nyingi.

CAPTION 2

Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akimkabidhi Bi. Nishita Davda tiketi ya kwenda...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Emirates yatoa punguzo maalumu la bei za tiketi kwa Watanzania wanaokwenda Chicago, Marekani

Wasilisha ombi la tiketi kabla ya Agosti 5 kwa safari za hadi Novemba 30, 2014

Shirika la Ndege la Emirates, linalosifika kwa kutoa huduma bora za usafiri wa anga kwa abiria kwa mataifa mbalimbali, limetangaza ofa maalumu kwa Watanzania watakaokwenda Chicago nchini Marekani, kupitia Dubai wakitokea Dar es Salaam. Punguzo hilo au ofa hiyo maalumu ni kwa madaraja ya abiria wa kawaida yaani Economy Class na daraja la wafanyabiashara ‘Business Class’.
Emirates ilitangaza ofa hiyo mapema...

 

10 years ago

Vijimambo

KIPINDI HIKI CHA THANKS GIVING "MGAHAWA WA SAFARI WAENDELEA KUWASHUKURU WATEJA WAKE KWA PUNGUZO LA BEI YA VYAKULA -LEO IJUMAA !!

                                                                    KARIBUNI

 

10 years ago

Dewji Blog

LG yatoa punguzo kabambe la bei ya bidhaa zake kipindi hiki cha Ramadhani na Sabasaba

IMG_5470

Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya MeTL Group, Bi. Fatema Dewji-Jaffer akipokea taarifa ya shughuli mbalimbali zinazoendelea kwenye maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa maarufu kama “Sabasaba” kwa mmoja wa maafisa wa kampuni ya bidhaa za LG Tanzania ambapo kampuni ya Mohammed Enterprises Limited Tanzania (MeTL) ndio msambazaji rasmi wa bidhaa hiyo nchini kabla ya hafla fupi ya uzinduzi wa friji mpya ya LG yenye milango pacha aina ya “Velvet Gardenia na Coral Irish”.

2

Mmoja wa...

 

11 years ago

Michuzi

Punguzo la bei ya umeme mwiba kwa washindani-IPTL

Hofu ya kupoteza soko kwa makampuni ya kigeni yanayozalisha umeme dhidi ya makampuni ya kitanzania imetajwa kuwa chanzo cha vita dhidi ya kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).
Chanzo cha uhakika kutoka Wizara ya Nishati na Madini kimetoa taarifa hiyo kwa gazeti hili jana kuwa kwa zaidi ya muongo mmoja, kampuni za kigeni zimekuwa zikipata faida kubwa kwa kuzalisha umeme na kuuza kwa bei ya juu nchini.
Kampuni ya IPTL ambayo inamilikiwa na kampuni ya...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAJA NA HUDUMA MPYA YA KUTOA PUNGUZO KWA WATEJA

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano (katika), akionyesha bango linaloonyesha namna ya kujiunga na huduma hiyo.  Kulia ni Maneja Masoko wa kampuni hiyo, Ravi Kant, akishuhudia zoezi hilo huku Mkurugenzi wa Masoko, Levi Nyakundi, akiwa ameshikilia bango hilo. Singano akitoa mfano kwa kutumia simu yake namna ya kujiunga na huduma hiyo.… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mwakyembe awapongeza FastJet kwa huduma nzuri kwa wateja

Mbili (1)

Wafanyakazi wa kampuni ya FastJet wakipita mbele ya mgeni rasmi ambae ni Waziri wa Uchukuzi Mh.Harrison Mwakyembe wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani.

Moja 1

Waziri wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe akizungumza na wafanyakzi wa kampuni ya ndege  ya FastJet wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani ambapo aliipongeza kampuni hiyo kwa kutoa huduma kwa bei rahisi kwa wasafiri pembeni yake ni Mwenyekiti wa  Bunge ya Miundombinu,  Peter Serukamba.

nne

Waziri wa Uchukuzi HarrisonMwakyembe...

 

11 years ago

GPL

PUNGUZO KUBWA LA BEI ZA NGUO ZA KIKE

PUNGUZO KUBWA LA BEI ZA NGUO ZA KIKE!! Kuna Punguzo la Bei katika duka la Sachques Clothing Store, Blouse, Skirts, Blazers, Trousers - Tshs 10,000/=, Short Dresses- 15,000; Long Dresses & Jump Suit-25,000; Hand Bags, Accessories na Viatu pia vipo kwenye PUNGUZO LA BEI, SIMU NAMBA 0774801316, Tupo Kijitonyama Police Mabati DSM, wa Mikoani tunatuma kwa maBasi. Tembelea www.facebook.com/SachquesClothingStore kuona vitu zaidi… ...

 

10 years ago

TheCitizen

Cultural festival wins revellers’ hearts

Last week, I attended one of the biggest cultural events involving the four popular ethno-linguistic groups in Africa. The Bantu, Khoisan, Nilo-Saharan and the Afro-Asiatic groups met in Haydom town, nearly 290 kms from Arusha to showcase their rich cultural values.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani