Waziri Mwakyembe awapongeza FastJet kwa huduma nzuri kwa wateja
Wafanyakazi wa kampuni ya FastJet wakipita mbele ya mgeni rasmi ambae ni Waziri wa Uchukuzi Mh.Harrison Mwakyembe wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani.
Waziri wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe akizungumza na wafanyakzi wa kampuni ya ndege ya FastJet wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani ambapo aliipongeza kampuni hiyo kwa kutoa huduma kwa bei rahisi kwa wasafiri pembeni yake ni Mwenyekiti wa Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba.
Waziri wa Uchukuzi HarrisonMwakyembe...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja
![IMG_5004](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5004.jpg)
![IMG_4911](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_4911.jpg)
![IMG_5035](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5035.jpg)
![picha 02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/picha-02.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yEci79ZZZgM/VOX3vJhhV0I/AAAAAAAHEjs/RKHTFn4LFlc/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
Waziri Mkuu Pinda Awapongeza NMB kwa Ubunifu wa Huduma zao
Mh Pinda aliyasema hayo alipotembelea banda la NMB katika hoteli ya St. Gasper ya mkoani Dodoma ambapo PSPF wanafanya mkutano wao na NMB kama mdau mkubwa ameshiriki na kuweka mabanda ya huduma mbalimbali zikiwemo za NMB Wakala, NMB E- statement na Chap Chap Instant Account kwaajili ya washiriki wa mkutano huo.
Akaunti za...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ikqw4Ki8TM8/XmsVs-NNCfI/AAAAAAALi4E/WpIFwI78vYEbIw5PBEttoapE81t5vuDZwCLcBGAsYHQ/s72-c/31f7a3a4-ae26-4a89-b549-3cdf97247d1a.jpg)
RC NJOMBE AWAPONGEZA WALIMU WAWILI LUDEWA KWA KAZI NZURI
Na Shukrani Kawogo, Njombe.
Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amewapongeza walimu wawili wa shule ya msingi Nindi iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe kwa juhudi wanazofanya kwa kuwafundisha wanafunzi wa shule hiyo kwa moyo wote bila kujali upungufu wa walimu walionao.
Walimu hao waliofahamika kwa majina ya Rebeca Mhagama Pamoja na Judith Kayombo wamekuwa wakifundisha wawili tu katika mikondo kumi na moja huku jumla ya wanafunzi wote ikiwa ni 308 wa shule ya msingi na 42 wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f2SQy1S606g/VnY-mGpNf5I/AAAAAAAINbw/p1ij0jlwUeU/s72-c/097e0525-05e1-478b-8c00-02f672a850fb.jpg)
WAZIRI KITWANGA, DKT. MWAKYEMBE WATEMBELEA MAGEREZA MAKUU JIJINI DAR ES SALAAM, WAAHIDI KUBORESHA HUDUMA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU
![](http://3.bp.blogspot.com/-f2SQy1S606g/VnY-mGpNf5I/AAAAAAAINbw/p1ij0jlwUeU/s640/097e0525-05e1-478b-8c00-02f672a850fb.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oMX4SAEKjL0/VnY-mSPJAKI/AAAAAAAINbs/6Sat9yN0u10/s640/88b9a5e9-2bd0-455b-9776-6e6a62081bc3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
TTCL Wazinduwa Wiki ya Huduma kwa Wateja, Kuwatembelea Wateja Popote
![](http://1.bp.blogspot.com/-dlrEaJEiGjs/VhuTRuXF7AI/AAAAAAAAEx4/Xj0wS4Xecqc/s640/IMG_0167.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bHxVCTgy67o/VhuTQUJueRI/AAAAAAAAExk/9kWiFZBnIRc/s640/IMG_0153.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BIjxrzCuWio/VNyLgPRUDbI/AAAAAAAAGXY/cAkgel_AFqA/s72-c/IMG_4645.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA AONANA NA VIONGOZI NA WAJUMBE WA MFUKO WA CHANGAMOTO ZA MILLENIA (MCAT), AWAPONGEZA KWA KAZI NZURI YA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-BIjxrzCuWio/VNyLgPRUDbI/AAAAAAAAGXY/cAkgel_AFqA/s1600/IMG_4645.jpg)
10 years ago
Michuzi06 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ciAqQ6as-gU/VDKRTv8bnbI/AAAAAAAGoT4/4JsfcNG5ZBE/s72-c/pic%2B7.jpg)
AIRTEL YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA STAILI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ciAqQ6as-gU/VDKRTv8bnbI/AAAAAAAGoT4/4JsfcNG5ZBE/s1600/pic%2B7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYCXPbeOV0s/VDKRYU_la7I/AAAAAAAGoUg/Iwew-LcUoV0/s1600/pic4.jpg)