Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maombi ya kupandisha ada yatinga wizarani

SHULE nyingi za msingi na sekondari zisizo za Serikali, zimetuma maombi kwa Kamishna Mkuu wa Elimu nchini kuomba kibali cha kupandisha ada katika mwaka ujao wa masomo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Shule binafsi zapigwa marufuku kupandisha ada

Prof-MchomeNa Fredy Azzah, Dar es Salaam

SERIKALI imepiga marufuku wamiliki wa shule binafsi kupandisha ada kuanzia Januari mwakani.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Serikali kutoa tamko la kufuta ada na michango mbalimbali kwa shule zake za msingi na sekondari.

Taarifa ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, profesa Sifuni Mchome, imepiga marufuku shule hizo kuongeza ada kwa mwaka wa masomo unaoanzia  Januari 2016 hadi hapo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mafanikio ya Shule ya Sekondari Shemsanga baada kupandisha ada

“Siku Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi, Abdallah Bulembo alipofanya ziara katika shule yetu na kuamuru tupandishe ada, wengi hatukumwelewa, tulidhani ndiyo mwisho wa shule yetu.”

 

11 years ago

Mwananchi

Umeme kupandisha gharama

Wachumi mbalimbali wamebashiri kuibuka kwa mfumuko wa bei wa vitu mbalimbali, kutokana na kupanda kwa bei ya umeme inayoanza leo.

 

11 years ago

Mwananchi

Membe aikaribisha Takukuru wizarani

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema ataipa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) jukumu la kuchunguza ufisadi wa mamilioni ya fedha katika ununuzi wa tiketi za safari za nje za wizara yake.

 

10 years ago

Habarileo

Membe aaga wizarani kwake

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe.WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameaga rasmi katika wizara hiyo na kujivunia kuweza kuwarudisha nchini maofisa na mabalozi wote waliostaafu nje ya nchi huku akiahidi kujaza nafasi za walioshika nafasi hizo kabla hajaondoka katika wizara hiyo.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Arusha kupandisha kiwango cha ufaulu

NA LILIAN JOEL ARUSHA
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha kupitia mpango wa matokeo makubwa (BRN), inatarajia kupandisha kiwango cha ufaulu kwa mwaka 2014, hadi kufikia asilimia 92  kwa elimu ya msingi.
Takwimu zinaonyesha katika matokeo ya mwaka jana, ufaulu ulikuwa asilimia 85.
Hayo yalisemwa juzi na Ofisa ElimuTaaluma wa Shule za Msingi katika halmashauri ya Jiji hilo, Mbwana Juma, alipokuwa akizungumza wakati wa mafunzo ya  mbinu za kufundisha masomo ya hisabati na sayansi.
Alisema  kupitia BRN...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mama Kikwete atoa mbinu kupandisha ufaulu

MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete, ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi  (NEC-CCM) kupitia Wilaya ya Lindi Mjini, amewataka wazazi na walimu kushirikiana ili  kuhakikisha...

 

11 years ago

Habarileo

Marufuku kupandisha bei ya ‘gesti’ Bunge maalumu

MWENYEKITI wa chama cha wamiliki wa nyumba za kulala wageni mkoani Dodoma, Chavala Taratibu amesema hakuna mfanyabiashara wa nyumba hizo atakayeruhusiwa kupandisha bei wakati wa Bunge la Maalumu la Katiba litakapoanza mapema wiki ijayo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Balozi Mulamula akutana na Wageni mbalimbali Wizarani

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula (kulia) na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi Mhe. Alain Aime Nyamitwe, walikutana jana na kufanya mazungumzo hapa Wizarani, Mazungumzo yao yalijikita katika kukuza na kuimarisha Ushirikiano kati ya Tanzania na Burundi katika sekta mbalimbali Balozi wa Tanzania nchini Burundi, Mhe. Rajab Gamah (wa kwanza kushoto), Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Samweli Shelukindo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani