Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Membe aaga wizarani kwake

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe.WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameaga rasmi katika wizara hiyo na kujivunia kuweza kuwarudisha nchini maofisa na mabalozi wote waliostaafu nje ya nchi huku akiahidi kujaza nafasi za walioshika nafasi hizo kabla hajaondoka katika wizara hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Membe aikaribisha Takukuru wizarani

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema ataipa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) jukumu la kuchunguza ufisadi wa mamilioni ya fedha katika ununuzi wa tiketi za safari za nje za wizara yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Membe aaga Mambo ya Nje

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe jana aliwaaga wafanyakazi wa wizara hiyo akisema hatafanya kazi tena wizarani hapo katika uongozi wa awamu ya tano.

 

10 years ago

Habarileo

Membe aaga Bunge rasmi

Waziri wa Mambo ya Nje, Bernad Membe.WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameaga rasmi Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kusema hatasimama tena katika Bunge hilo kwa nafasi hiyo.

 

9 years ago

CCM Blog

MWIGULU AKUTANA NA WATUMISHI WIZARANI KWAKE "NAHITAJI MAJAWABU SIO MAJIBU"


Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mh.Mwigulu Nchemba akisalimiana na watumishi wa wizara yake mapema hii leo alipowasili ofisini kwaajili ya kuzungumza na watumishi wa wizara hiyo.Mh.Mwigulu Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa zira ya Kilimo,Uvuvi na Mifugo hii leo.Waziri na Naibu waziri Mh.Ole Nasha wa Wizara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi wakisaini vitabu vya wageni wakati wa kufahamiana na watumishi wa wizara hiyo hii leo.Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mh.Mwigulu...

 

10 years ago

Mwananchi

Membe aaga wabunge, asema hajui atakuwa na wadhifa gani

Dodoma. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ameliaga rasmi Bunge na kusema kuwa kama atapata nafasi anayoidhamiria basi ataingia kwa mbwembwe ndani ya ukumbi huo.

 

9 years ago

Habarileo

Membe afunga mjadala kugombea kwake urais

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amefunga mjadala kuhusu masuala ya kisiasa, na kubainisha kuwa timu yake aliyokuwa akicheza pamoja na kufanya vizuri katika kuwania nafasi ya Urais kupitia CCM, imeshindwa katika kinyang’anyiro hicho.

 

9 years ago

Habarileo

Maombi ya kupandisha ada yatinga wizarani

SHULE nyingi za msingi na sekondari zisizo za Serikali, zimetuma maombi kwa Kamishna Mkuu wa Elimu nchini kuomba kibali cha kupandisha ada katika mwaka ujao wa masomo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Balozi Mulamula akutana na Wageni mbalimbali Wizarani

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula (kulia) na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi Mhe. Alain Aime Nyamitwe, walikutana jana na kufanya mazungumzo hapa Wizarani, Mazungumzo yao yalijikita katika kukuza na kuimarisha Ushirikiano kati ya Tanzania na Burundi katika sekta mbalimbali Balozi wa Tanzania nchini Burundi, Mhe. Rajab Gamah (wa kwanza kushoto), Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Samweli Shelukindo...

 

5 years ago

Michuzi

MENEJA WA TANROAD MORO AREJESHWE WIZARANI-MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kazi ya ukarabati wa daraja la Kiyegeya lililopo eneo la Gairo ambalo llimesombwa na maji na kusababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara ya barabara kati ya Morogoro na Dodoma, Machi 4, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) .
======   ========  ============
*Ni baada ya kushindwa kukagua madaraja kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani