MWIGULU AKUTANA NA WATUMISHI WIZARANI KWAKE "NAHITAJI MAJAWABU SIO MAJIBU"
Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mh.Mwigulu Nchemba akisalimiana na watumishi wa wizara yake mapema hii leo alipowasili ofisini kwaajili ya kuzungumza na watumishi wa wizara hiyo.
Mh.Mwigulu Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa zira ya Kilimo,Uvuvi na Mifugo hii leo.
Waziri na Naibu waziri Mh.Ole Nasha wa Wizara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi wakisaini vitabu vya wageni wakati wa kufahamiana na watumishi wa wizara hiyo hii leo.
Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mh.Mwigulu...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 May
Membe aaga wizarani kwake
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameaga rasmi katika wizara hiyo na kujivunia kuweza kuwarudisha nchini maofisa na mabalozi wote waliostaafu nje ya nchi huku akiahidi kujaza nafasi za walioshika nafasi hizo kabla hajaondoka katika wizara hiyo.
5 years ago
MichuziPROF. KABUDI ATEMBELEA IDARA NA VITENGO WIZARANI AZUNGUMZA NA WATUMISHI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (wa kwanza kulia) akizungumza na watumishi wa Idara ya Ulaya na Amerika wakati alipowatembelea na kujadililiana nao masuala mbalimbali ya utendaji kazi wa Idara hiyo kwenye ofisi za Wizara zilizopo Chuo Kikuu cha Dodoma, tarehe 31 Machi 2020
Mhe. Waziri Prof. Kabudi akimsikiliza mmoja wa watumishi wa Idara ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakitoa ufafanuzi kuhusiana na...
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPOKEA RASMI WAZIRI CHARLES KITWANGA, WIZARANI LEO
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Balozi Mulamula akutana na Wageni mbalimbali Wizarani
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Katibu Mkuu akutana kwa mazungumzo na wageni mbalimbali waliotembelea Wizarani
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-rSmW9sdQNww/VN7cfQvBmEI/AAAAAAAAoTo/_JXXxBt_fdI/s72-c/MUTUZ.jpg)
Le Mutuz Anatafuta Mke 'Kwa Kweli Nahitaji WIFE Baby U Know Nahitaji Bonge la Mke, Niombeeni '
![](http://3.bp.blogspot.com/-rSmW9sdQNww/VN7cfQvBmEI/AAAAAAAAoTo/_JXXxBt_fdI/s640/MUTUZ.jpg)
9 years ago
MichuziKatibu Mkuu Wizara ya mambo ya nje akutana kwa mazungumzo na wageni mbalimbali waliotembelea Wizarani
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Mlata awaonya watumishi wa Serikali mkoani Singida wasio waaminifu kutumbuliwa majibu!
Mbunge wa viti maalum mkoani Singida, Martha Mosses Mlata, akikabidhi msaada wa vifaa mbalimbali wenye thamani ya zaidi ya shilingi 6.3 milioni kwa uongozi wa Chuo cha wasioona cha mjini hapa. Msaada huo ni sehemu ya maadhimisho ya sherehe za Uhuru kutimiza miaka 54.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MBUNGE wa viti maalum (CCM) mkoani Singida, Martha Mosses Mlata, amewatahadharisha watumishi wa umma kuacha mara moja kujihusisha na vitendo vya ubadhirifu wa rasilimali ya...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Panga la Mwigulu Nchemba limewakuta watumishi wengine Mkoa wa Pwani leo !!
Jumamosi ilikuwa na stori yenye kichwa cha habari cha ziara za Mawaziri watatu wa Rais Magufuli, hapo alikuwepo Mwigulu Nchemba, Dk. Hamisi Kigwangalla na George Simbachawene walifanya ziara katika soko la Vingunguti na kufanya maamuzi ya kusimamisha baadhi ya watumishi kwa tuhuma za ubadhirifu. Ziara nyingine imeendelea leo mkoa wa Pwani, Waziri Mwigulu Nchemba kafanya maamuzi […]
The post Panga la Mwigulu Nchemba limewakuta watumishi wengine Mkoa wa Pwani leo !! appeared first on...