Katibu Mkuu Wizara ya mambo ya nje akutana kwa mazungumzo na wageni mbalimbali waliotembelea Wizarani
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akiwa katika mazungumzo na Mwakilishi Maalum wa Serikali ya China katika masuala ya Afrika, Balozi Zhong Jianhua alipotembelea Wizarani tarehe 17 Novemba, 2015.
Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Samuel Shelukindo kwa pamoja na Afisa Mambo ya Nje, Bw. Medard Ngaiza wakifuatilia mazungumzo kati ya Balozi Mulamula na Balozi Zhong Jianhua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Katibu Mkuu akutana kwa mazungumzo na wageni mbalimbali waliotembelea Wizarani
10 years ago
Vijimambo21 Jan
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje akutana na Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia
10 years ago
MichuziKatibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana kwa mazungumzo na Mwakilishi wa IFAD nchini
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AKUTANA KWA MARA YA KWANZA NA WATUMISHI WOTE WA WIZARA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Libarata Mulamula akizungumza katika kikao chake cha kwanza na Watumishi wote wa Wizara tangu alipoteuliwa na Rais hivi karibuni kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Mkutano huo ulifanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Juni, 2015. Pamoja na mambo mengine Balozi Mulamula aliwahimiza Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje...
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Balozi Mulamula akutana na Wageni mbalimbali Wizarani
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6nvdS6M7Zv0/U1wfFOEOZII/AAAAAAAFdM4/KiW-stou4Ko/s72-c/unnamed+(30).jpg)
WAZIRI WA ARDHI AFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU WA WIZARA YA MAMBO YA NJE YA USHELISHELI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6nvdS6M7Zv0/U1wfFOEOZII/AAAAAAAFdM4/KiW-stou4Ko/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cIacJ5tT0K0/U1wfZ5QxUgI/AAAAAAAFdNA/BStOaemtSoc/s1600/unnamed+(31).jpg)
10 years ago
MichuziKatibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Norway nchini
Picha na Reginald Philip.
10 years ago
VijimamboBALOZI WA CHINA AMTEMBELEA KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NJE.
Balozi wa China hapa nchini, Mhe.Lu Youqing akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula.
11 years ago
MichuziKatibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje atembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia