Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje atembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Bw. John Haule (kulia anayeangalia nyaraka) akipata taarifa kutoka kwa Bw. Gration Kamugisha, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kitengo cha Miradi Hazina (U.T.T) kuhusu mikakati ya kuboresha nyumba zinazomilikiwa na Ubalozi, Lusaka- Zambia kwa kuingia ubiya na UTT, kulia kwa Bw. Haule ni Katibu Mkuu wa Hazina, Bw. Servacius Likwelile wa kwanza kushoto akisikiliza. Kikao hiki kilifanyika Ofisini kwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA MHE. BALOZI LIBERATA MULAMULA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC.

Mhe. Katibu Mkuu Balozi Liberata Mulamula akisalimiana na watumishi wa Ubalozi wa Tanzania Washington DC mara baada ya kuwasili Ubalozi. ( TANZANIA HOUSE). Mhe. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya  Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Liberata Mulamula akisaini kitabu cha wageni Ubalozini Washington DC.
 Mhe Katibu Mkuu akiwa pamoja na Mkuu wa Utawala wa Ubalozi wa Tanzania Washington DC Bi. Swahiba H. Mndeme.

Mhe. Katibu Mkuu akiwa katika kikao na wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania,...

 

9 years ago

Michuzi

ZIARA YA KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA BALOZI LIBERATA MULAMULA KATIKA OFISI YA UBALOZI WA TANZANIA OTTAWA-CANADA, OKTOBA 1-3, 2015


 Mhe.  Balozi Liberata Mulamula, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwasili kwenye Ofisi za Ubalozi wa Tanzania, Ottawa – Canada, akiongozana na mwenyeji wake Mhe. Balozi Jack M.  Zoka, tayari kuanza kazi alizozipanga kufanya katika ziara hiyo.
 Mhe. Balozi Liberata Mulamula akisaini kitabu cha wageni hapo Ubalozini. Pembeni ni mwenyeji wake Mhe. Balozi M.  Zoka.
 Picha ya Pamoja ya wafanyakazi wa Ubalozi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NCHI ZA NJE BALOZI LIBERATA MULAMULA AAGANA RASMI NA WAFANYAKAZI WA UBALOZI WASHINGTON DC.

 Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje Balozi Liberata Mulamula aagana rasmi na wafanyakazi wake wa ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.
 Baadhi ya wafanyakazi wakisikiliza kwa makini mawaidha kutoka kwa Balozi Liberata Mulamula pichani kuanzia kushoto ni Afisa Swahiba Mndeme akifuatiwa na Yacob Kinyemi wa dawati la Diaspora na mwisho ni Edward Taji msimazi wa kitengo cha visa.
 Mhe .Balozi Liberata Mulamula alipata fursa ya kumpongeza na kumpa cheti John Anbiah kama mfanyakazi bora wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje akutana na Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha (mwenye tai) akisalimiana na Balozi wa Italia nchini Tanzania, Mhe. Luigi Scotto alipotembelea Wizarani leo.Balozi Gamaha akisalimiana na Kansela Raffaele De Benedictis kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia ambaye alifuatana na Balozi Scotto walipotembelea Wizara ya Mambo ya Nje leo. Balozi wa Italia (katikati) akimtambulisha Kansela Benedictis kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia kwa Kaimu...

 

10 years ago

Vijimambo

KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA BALOZI LIBERATA MULAMULA AONDOKA RASMI MAREKANI KURUDI TANZANIA.

 Balozi Liberata Mulamula kwenye picha ya pamoja  na baadhi ya Wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania Washington DC walipokwenda kumuaga nyumbani kwake Bethesda Maryland.

                               Safari ya kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Dulles ikianza.
 Mhe Balozi Liberata Mulamula akisalimiana na Agnes Mutta Mke wa Mwambata wa Jeshi wa Ubalozi wa Tanzania Washington DC.
Mhe Balozi Liberata Mulamula pamoja na Mkuu wa Utawala Lily Munanka wakibadilishana mawazo pamoja na familia...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkuu wa Mkoa wa Arusha atembelea Wizara ya Mambo ya Nje

Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Irene Kasyanju (kulia) akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Filex Daud Ntibenda, walipo kutana ofisini kwa Balozi leo. Wawili hao walijadili maendeleo ya ujenzi wa miundombinu katika eneo la lakilaki jijini Arusha ambalo limetengwa kwa ajili ya ujenzi wa Taasisi za Kimataifa. Wakwanza kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Balozi Hassan Simba Yahaya akifuatilia mazungumzo. Mkurugenzi...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU MKUU, NAIBU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE NA BALOZI WA TANZANIA SAUDIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha  Balozi Liberata Mulamula kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Balozi Mulamula anakuwa Katibu Mkuu wa kwanza mwanamke kuongoza Wizara hiyo na kabla ya uteuzi huo alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Marekani. Hafla hiyo fupi ya uapisho imefanyika Ikulu tarehe 27 Mei, 2015.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Balozi Hassan Simba Yahya  kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI WA CHINA AMTEMBELEA KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NJE.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akimkaribisha Balozi wa China hapa nchini, Mhe.Lu Youquig alipomtembelea Wizarani kwa mazungumzo ya kudumisha ushirikiano wa nchi hizi mbili.Mkalimani wa Balozi wa China Bi.Wang Fang akisalimiana na Katibu Mkuu
Balozi wa China hapa nchini, Mhe.Lu Youqing akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula.Katibu Mkuu, Balozi Mulamula...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU.

 Mkurugenzi  wa  Idara  ya Wakimbizi  kutoka  Wizara    ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke (kushoto) akizungumza  na watumishi wa mashirika  mbalimbali yaliyoko katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma (hawapo pichani) wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (kulia) aliyetembelea kambi hiyo jana.  Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwaki l(katikati), akiongozana na Mkuu wa Kambi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani