PROF. KABUDI ATEMBELEA IDARA NA VITENGO WIZARANI AZUNGUMZA NA WATUMISHI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (wa kwanza kulia) akizungumza na watumishi wa Idara ya Ulaya na Amerika wakati alipowatembelea na kujadililiana nao masuala mbalimbali ya utendaji kazi wa Idara hiyo kwenye ofisi za Wizara zilizopo Chuo Kikuu cha Dodoma, tarehe 31 Machi 2020
Mhe. Waziri Prof. Kabudi akimsikiliza mmoja wa watumishi wa Idara ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakitoa ufafanuzi kuhusiana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Aug
Mkurugenzi Idara ya Habari( MAELEZO) atembelea vitengo vya Mawasiliano Serikalini
![](https://3.bp.blogspot.com/-sD8ZVd9p_Mo/U-ttQWIoc8I/AAAAAAABsQY/sDcpjk4WrhI/s1600/IMG_9656.jpg)
Afisa Habari wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Bw. Dennis Kiilu akimueleza jambo Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene (hayupo pichani) wakati wa Ziara ya Mkurugenzi huyo katika Vitengo vya Mawasiliano Serikalini yenye lengo la kuangalia utendaji kazi na ufanisi wa vitengo hivyo katika utekelezaji wa majukumu yake ya kila siku leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Habari wa Wizara hiyo Bi. Fatuma Malende
![](https://1.bp.blogspot.com/-rQwCcA4ydH8/U-ttaXvmYHI/AAAAAAABsQg/dHC8rdvO8WA/s1600/IMG_9678.jpg)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Watumishi 11 vitengo dawa za kulevya matatani
WATUMISHI 11 wa vitengo vya kuthibiti dawa za kulevya wamekamatwa ama kuhusishwa na biashara ya dawa za kulevya kati ya mwaka 2012 na 2013. Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa...
10 years ago
Dewji Blog14 Nov
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) afanya ziara kwenye vitengo vya Mawasiliano Serikalini
Katibu, Ofisi ya Rais Sekretariet ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Exavier Daudi (kushoto) akimkaribisha ofisini kwake Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene wakati alipotembelea ofisi hiyo kwa lengo la kuangalia utendaji kazi wa kitengo cha mawasiliano.
Katibu, Ofisi ya Rais Sekretariet ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Exavier Daudi akimueleza Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene kuhusu mikakati ya ofisi hiyo ya kuboresha mawasiliano ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZmmYeKcZu64/XtFIOe6UjgI/AAAAAAALsA0/9QaDrRhuQiUJFw9MWkSJJgCFU8pn2AHZACLcBGAsYHQ/s72-c/aa1c150c-9ae3-4e47-8e5e-ad4653b9b17a.jpg)
PROF. KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZmmYeKcZu64/XtFIOe6UjgI/AAAAAAALsA0/9QaDrRhuQiUJFw9MWkSJJgCFU8pn2AHZACLcBGAsYHQ/s640/aa1c150c-9ae3-4e47-8e5e-ad4653b9b17a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/11e0badb-52e6-494e-a2d2-2d0462575235.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wuB_deGiIDQ/Xklwc3CAvgI/AAAAAAALdmk/6k3IKIHbgvsM7Vq4L7ip603XF_CDaSvlgCLcBGAsYHQ/s72-c/C1-1.jpg)
WAZIRI KABUDI: WATUMISHI FANYENI KAZI KWA BIDII NA USHIRIKIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-wuB_deGiIDQ/Xklwc3CAvgI/AAAAAAALdmk/6k3IKIHbgvsM7Vq4L7ip603XF_CDaSvlgCLcBGAsYHQ/s640/C1-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/D1-1.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge akiongea na watumishi wa wizara wakati wa kikao kilichofanyika jijini Dodoma
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/B1-1.jpg)
Sehemu ya watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia kikao kilichofanyika jijini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1eJ82sfwCQ8/XtAJ6i2bvGI/AAAAAAALr7k/sArUNNduQ2ExUBUZlErwgI5SERAdVDNBACLcBGAsYHQ/s72-c/77AAA-768x512.jpg)
PROF. KABUDI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MABALOZI WA UFARANSA, UTURUKI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-1eJ82sfwCQ8/XtAJ6i2bvGI/AAAAAAALr7k/sArUNNduQ2ExUBUZlErwgI5SERAdVDNBACLcBGAsYHQ/s640/77AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/11AAA-1024x682.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akipokea zawadi ya kitabu cha Mwl. Nyerere kutoka kwa Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Mhe. Frederic Clavier
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/22AAA-1024x682.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Wuk1guMZHBM/XvTMUmTcY2I/AAAAAAALveQ/j05n2KSgvdAj-txBFBqSrCU2hb_67-75wCLcBGAsYHQ/s72-c/CCC-2048x1423.jpg)
PROF. KABUDI AKUTANA, KUMUAGA BALOZI WA IRELAND NCHINI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wuk1guMZHBM/XvTMUmTcY2I/AAAAAAALveQ/j05n2KSgvdAj-txBFBqSrCU2hb_67-75wCLcBGAsYHQ/s640/CCC-2048x1423.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DDD-scaled.jpg)
Balozi wa Ireland nchini, Mhe. Paul Sherlock akimuonesha moja ya picha katika kitabu alichompatia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi kama zawadi
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/dddb94de-fb91-4d66-9b7a-d184645812d9.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...
5 years ago
MichuziPROF. KABUDI AKUTANA NA VIONGOZI MBALIMBALI AKIWA GENEVA - USWISI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika kikao cha 43 cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kinachofanyika Geneva,Uswisi
5 years ago
MichuziWAZIRI PROF. KABUDI AWASILI NCHINI MADAGASCAR KUCHUKUA DAWA YA CORONA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi wa kulia akinywa dawa ya kutibu ugonjwa wa virusi vya corona
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Madagascar Mhe. Tehindrazanarivelo Djacoba As Oliva mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Antananarivo kwa ajili ya kupokea msaada wa dawa ya kutibu na kukinga ugonjwa wa COVID-19...