Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) afanya ziara kwenye vitengo vya Mawasiliano Serikalini
Katibu, Ofisi ya Rais Sekretariet ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Exavier Daudi (kushoto) akimkaribisha ofisini kwake Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene wakati alipotembelea ofisi hiyo kwa lengo la kuangalia utendaji kazi wa kitengo cha mawasiliano.
Katibu, Ofisi ya Rais Sekretariet ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Exavier Daudi akimueleza Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene kuhusu mikakati ya ofisi hiyo ya kuboresha mawasiliano ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Aug
Mkurugenzi Idara ya Habari( MAELEZO) atembelea vitengo vya Mawasiliano Serikalini
![](https://3.bp.blogspot.com/-sD8ZVd9p_Mo/U-ttQWIoc8I/AAAAAAABsQY/sDcpjk4WrhI/s1600/IMG_9656.jpg)
Afisa Habari wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Bw. Dennis Kiilu akimueleza jambo Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene (hayupo pichani) wakati wa Ziara ya Mkurugenzi huyo katika Vitengo vya Mawasiliano Serikalini yenye lengo la kuangalia utendaji kazi na ufanisi wa vitengo hivyo katika utekelezaji wa majukumu yake ya kila siku leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Habari wa Wizara hiyo Bi. Fatuma Malende
![](https://1.bp.blogspot.com/-rQwCcA4ydH8/U-ttaXvmYHI/AAAAAAABsQg/dHC8rdvO8WA/s1600/IMG_9678.jpg)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah...
11 years ago
Michuzi01 Aug
Mkurugenzi wa Idara ya Habari atembelea Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali Wizara ya Mambo ya Nje
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4zmgpJGavKk/VMYwrGbWdaI/AAAAAAAG_ik/IKfT-P9nuvU/s72-c/4.jpg)
Dkt. Fennela Afungua Kikao Kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikalini na Wahariri wa Vyombo vya Habari
![](http://1.bp.blogspot.com/-4zmgpJGavKk/VMYwrGbWdaI/AAAAAAAG_ik/IKfT-P9nuvU/s1600/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1cA6DiNpLP0/VMYwrX8t49I/AAAAAAAG_jM/vd4bKyK6l0s/s1600/5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Feb
Nape aanza ziara kwenye vyombo vya habari
Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki ( wa pili kutoka kushoto) akielezea masuala mbali mbali yanayohusu tasinia ya habari wakati wa mkutano na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye uliofanyika kwenye ofisi za Kampuni ya Magazeti ya Serikali,Tazara jijini Dar es Salaam.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2-UFjxvIGlg/VNNtSkVGElI/AAAAAAAAWr8/y4BCCaX7mXM/s1600/11.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza wakati wa kikao chake na Viongozi na waandishi wa Magazeti ya Serikali alipowatembelea ikiwa sehemu...
5 years ago
MichuziPROF. KABUDI ATEMBELEA IDARA NA VITENGO WIZARANI AZUNGUMZA NA WATUMISHI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (wa kwanza kulia) akizungumza na watumishi wa Idara ya Ulaya na Amerika wakati alipowatembelea na kujadililiana nao masuala mbalimbali ya utendaji kazi wa Idara hiyo kwenye ofisi za Wizara zilizopo Chuo Kikuu cha Dodoma, tarehe 31 Machi 2020
Mhe. Waziri Prof. Kabudi akimsikiliza mmoja wa watumishi wa Idara ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakitoa ufafanuzi kuhusiana na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2cvM3H6CuL4/VajmLXegaDI/AAAAAAAHqN8/CLlbVwW4zZ0/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
Mkurugenzi TBL afanya ziara Daily News na Mwananchi
![](http://4.bp.blogspot.com/-2cvM3H6CuL4/VajmLXegaDI/AAAAAAAHqN8/CLlbVwW4zZ0/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA VYOO MANISPAA YA SHINYANGA..AKUTANA NA VYOO VYA AJABU...KIMO CHA KULENGA KWENYE BOMBA
Hiki choo cha ajabu kiko Shinyanga maelezo yapo chini.Leo Jumatatu Novemba 30,2015 ambapo mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro ameanza kufanya ziara kutembelea kata za manispaa hiyo ili kuangalia hali ya usafi wa mazingira kubwa zaidi ni kukagua vyoo vya wananchi ilimkukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.Mkuu huyo wa wilaya ya Shinyanga alikuwa ameambatana na mkurugenzi wa manispaa ya Shinyanga Lewis Kalinjuna,mwanasheria wa manispaa hiyo Simon Jilanga,afisa afya wa manispaa hiyo...