Nape aanza ziara kwenye vyombo vya habari
Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki ( wa pili kutoka kushoto) akielezea masuala mbali mbali yanayohusu tasinia ya habari wakati wa mkutano na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye uliofanyika kwenye ofisi za Kampuni ya Magazeti ya Serikali,Tazara jijini Dar es Salaam.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2-UFjxvIGlg/VNNtSkVGElI/AAAAAAAAWr8/y4BCCaX7mXM/s1600/11.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza wakati wa kikao chake na Viongozi na waandishi wa Magazeti ya Serikali alipowatembelea ikiwa sehemu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Ziara ya vyombo vya habari yamkutanisha Nape na Mbowe
![](http://4.bp.blogspot.com/-14NqQC1olCA/VNTEhQSlBMI/AAAAAAAAs4M/_37ThjbwBMk/s1600/1.%2BMbowe.jpg)
![1. Mbowee](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/1.-Mbowee.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XqJsXNVm7TY/VNTEjr3HHHI/AAAAAAAAs4U/UhWUj--ojTQ/s1600/1.%2Bmboweee.jpg)
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnuye akikutana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alipofika katika Ofisi za Free Media, wachapishaji wa gazeti la Tanzania Daima, jana akiwa katika ziara katika vyombo vya habari ambayo aliianza juzi, jijini Dar es Salaam.
![](http://1.bp.blogspot.com/-HgsZW0fj7KA/VNTErbhXaLI/AAAAAAAAs4k/OtosMgFmoRE/s1600/1.mboeeee.jpg)
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana kwa furaha na Mhariri Mtendaji wa Free Media, Nevile Meena alipowasili kwenye kampuni hiyo leo akiwa katika ziara kwenye vyombo vya habari mjini Dar es Salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-JkCplq8lhhQ/VNTEu9S-JHI/AAAAAAAAs40/xii__Qi9Jy0/s1600/1.mboeeeee8.jpg)
Nape...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXeu77mtQnA/Vl7ZwESFNCI/AAAAAAAAr7A/OZksRQUCPM0/s72-c/15.jpg)
NAPE AENDELEA NA ZIARA KATIKA VYOMBO VYA HABARI ATEMBELEA GAZETI LA RAIA TANZANIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXeu77mtQnA/Vl7ZwESFNCI/AAAAAAAAr7A/OZksRQUCPM0/s640/15.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2Z7DMzHBJpM/Vl7ZyhgWsHI/AAAAAAAAr7I/VpLJvt-NJ8k/s640/14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Wy57okzK0HM/Vl7Z6HwF0iI/AAAAAAAAr7Y/MFCVZMA1gkI/s640/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GhohifxIqLI/Vl7Z7cprV9I/AAAAAAAAr7g/nI9BN-Q_lik/s640/3.jpg)
10 years ago
MichuziWASHINDI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013 WAENDELEA NA ZIARA YA MAFUNZO KATIKA VYOMBO VYA HABARI AFRIKA KUSINI
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
9 years ago
StarTV17 Dec
Nape aonya vyombo vya habari kutumia miziki ya wasanii bila idhini ya COSOTA
Serikali imetoa tamko kwa vyombo vyote vya habari nchini kuanzia january mosi mwakani kutokutumia miziki ya aina yeyote ule wa ndani au nje bila kibali kutoka Cosota.
Wakitoa tamko hilo kwa pamoja waziri wa habari michezo na utamaduni Nape Nnauye na waziri wa viwanda na biashara Charles Mwijage wamewataka wamiliki wa vyombo vya habari kutoa ushirikiano.
Nape amesema atalisimamia zoezi hilo na kutoa tahadhari kwa chombo chochote cha habari kitachokiuka tamko hilo hatakionea haya kukifungia...
9 years ago
StarTV17 Dec
Nape aonya vyombo vya habari kutumia muziki ya wasanii bila idhini ya COSOTA
Serikali imetoa tamko kwa vyombo vyote vya habari nchini kuanzia january mosi mwakani kutokutumia muziki wa aina yeyote ule wa ndani au nje bila kibali kutoka Cosota.
Wakitoa tamko hilo kwa pamoja waziri wa habari michezo na utamaduni Nape Nnauye na waziri wa viwanda na biashara Charles Mwijage wamewataka wamiliki wa vyombo vya habari kutoa ushirikiano.
Nape amesema atalisimamia zoezi hilo na kutoa tahadhari kwa chombo chochote cha habari kitachokiuka tamko hilo hatakionea haya kukifungia...
10 years ago
Dewji Blog26 May
Wamiliki wa vyombo vya Habari nchini MOAT wapinga mswada wa sheria ya Vyombo vya Habari
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.
11 years ago
MichuziWAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI WAFANYA ZIARA TBL JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZSTtdIFRLmk/VM5lyHoP6uI/AAAAAAADXBA/L2bHxkFl5CU/s72-c/uhuru%2Bna%2Bumoja.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU ZIARA YA RAIS WA UJERUMANI HAPA NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZSTtdIFRLmk/VM5lyHoP6uI/AAAAAAADXBA/L2bHxkFl5CU/s1600/uhuru%2Bna%2Bumoja.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600 20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10