WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI WAFANYA ZIARA TBL JIJINI DAR
Wahariri wakiwa katika picha ya pamoja a viongozi wa TBL wakati wa ziara hiyo.
Wahariri wa Vyombo vya Habari wakitembelea eneo la upikaji bia wakati wa ziara yao iliyofanyika kwenye Kiwanda cha Bia Tanzania cha Dar es Salaam
Mtalaam wa Upishi Bia wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Benjamin Budigida akitoa maelezo ya jinsi bia inavyopikwa kwa kutumia njia ya kisasa ya kompyuta wakati wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari walipotembelea Kiwanda cha Bia cha TBL Dar es Salaam.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi02 Oct
SSRA yakutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari jijini Dar
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka (kulia) akizunguma wakati wa semina ya wahariri wa vyombo vya habari, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Picolo, Kawe jijini Dar es Salaam. Kushoto ni baadhi ya wahariri hao.
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wakutana na Wahariri wa vyombo vya habari Jijini Dar
Afisa habari wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Bestina Magutu( kulia)akiwa tambulisha Wakurugenzi wa Mamlaka hiyo kwa wahariri wa vyombo vya Habari nchini katika mkutano uliofanyika katika hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam.ikiwa ni mahususi kwa wahariri vyombo mbalimbali nchini.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Fadhili Manongi akifafanua jambo kwa wahariri wa vyombo vya habari nchini (hawapo pichani) juu ya Kanuni na taratibu za Mamlaka...
11 years ago
Dewji Blog08 May
Wahariri wa vyombo vya habari wapewa semina ya kuelimisha utunzaji wa Mazingira Jijini Dar Es Salaam
Mkurugenzi Mkuu wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Julius Ningu akifungua mkutano na Wahariri wa vyombo vya habari juu ya utunzaji wa Mazingira na kuelekea maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani mapema mwezi wa Sita.
Mwendesha mada wakati wa Mkutano wa Wahariri wa vyombo mbalimbali vya Habari juu ya masuala ya mazingira Bi. Singlunda akitoa maelezo na mwongozo wa mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa.
Mmoja ya Wataalam wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_IyfdRkkRxE/VGd7Rb-HDNI/AAAAAAAGxhw/NN5uHtM_4U0/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAHARIRI VYOMBO VYA HABARI KWA MAZUNGUMZO JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-_IyfdRkkRxE/VGd7Rb-HDNI/AAAAAAAGxhw/NN5uHtM_4U0/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dZdCKLP3yLI/VGd7SO_YjXI/AAAAAAAGxh4/Mn7vXTez2A8/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-c8NtO-YUc4U/VGd7Q4R6zYI/AAAAAAAGxho/sbrtEaYLQz0/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jo4jM0iZuqM/U2tViJvSMEI/AAAAAAACgeg/fx95lpx899I/s72-c/1.jpg)
WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI WAPEWA SEMINA YA KUELIMISHA UTUNZAJI WA MAZINGIRA MAY 7-2014 JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jo4jM0iZuqM/U2tViJvSMEI/AAAAAAACgeg/fx95lpx899I/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--UDeLTjFcFI/U2tVsWbj2kI/AAAAAAACges/zW0tTrjxP0Y/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z6hpwsfZtlM/U2tV5JZO44I/AAAAAAACge4/J5dz8xVueYw/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FH20rqKyv2c/U2tWGVV7-eI/AAAAAAACgfI/0yNhu9Hv114/s1600/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Nov
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na wahariri wa vyombo vya habari kwa mazungumzo Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Baadhi ya Wahariri wa Vyombo vya Habari (hawapo pichani) wakati alipokutana nao nyumbani kwake jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo. (Picha na OMR).
Mhariri wa gazeti la Jamhuri, Jackton Manyerere, akichangia mada wakati wa mazungumzo na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, yaliyofanyika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, Novemba 14, 2014.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-7ai0hxPyc68/VGdG-qChEAI/AAAAAAACTE8/A59l1teotNc/s72-c/001.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAHARIRI VYOMBO VYA HABARI KWA MAZUNGUMZO JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-7ai0hxPyc68/VGdG-qChEAI/AAAAAAACTE8/A59l1teotNc/s640/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P9tE1BWEJIA/VGdHIYDj-II/AAAAAAACTFE/2_n2Y7k7Il4/s640/002.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kmXh41GKdyM/VGdHIpEmvKI/AAAAAAACTFI/pb2dQH4Q_Vk/s640/02..jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OzRDg3mHGgs/XmEKUmn0nHI/AAAAAAALhV4/q23L7I3r4K0rlRvrgHurdQv7cU-cG4g0gCLcBGAsYHQ/s72-c/bd5e8025-081a-477b-843c-3b4b96b96215.jpg)
MKURUGENZI MKUU TCRA MHANDISI JAMES KILABA, WAHARIRI VYOMBO VYA HABARI WAKUTANA JIJINI DAR KUWEKA MKAKATI WA KUFANIKISHA TUZO ZA TEHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OzRDg3mHGgs/XmEKUmn0nHI/AAAAAAALhV4/q23L7I3r4K0rlRvrgHurdQv7cU-cG4g0gCLcBGAsYHQ/s640/bd5e8025-081a-477b-843c-3b4b96b96215.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JxoVvq1P-jg/XmEKU1UIMRI/AAAAAAALhV8/CuAmpcubiJ8JkToOr37EsELV2MNUHmdtQCLcBGAsYHQ/s640/cba817aa-50c9-45ff-b880-294175cabcdc.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kD17UfMD7rc/XmEKVeHK1vI/AAAAAAALhWA/l6tp68X8TIAmW7sSNI-1IpETBy6LY4oOQCLcBGAsYHQ/s640/d0df008c-b4e0-4e87-bc5e-5ce36312608b.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xtVuD9tRkaA/XmELzoXaTnI/AAAAAAALhWY/AT36PgPJVW0JfZBPb6GqK6I_s41ElfbjQCLcBGAsYHQ/s640/f0f946c7-1bec-4004-9ab3-a1e8d4c2c7ec.jpg)