WAZIRI PROF. KABUDI AWASILI NCHINI MADAGASCAR KUCHUKUA DAWA YA CORONA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi wa kulia akinywa dawa ya kutibu ugonjwa wa virusi vya corona
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Madagascar Mhe. Tehindrazanarivelo Djacoba As Oliva mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Antananarivo kwa ajili ya kupokea msaada wa dawa ya kutibu na kukinga ugonjwa wa COVID-19...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wmHQOOIaxXs/XrZ33guAaTI/AAAAAAALpis/34kXtbihc9Qu5RbCtxuZOdFN3ifuK6gDwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-09%2Bat%2B11.17.22.jpeg)
PROF. KABUDI KATIKA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI KUZUNGUMZIA DAWA YA CORONA YA MADAGASCAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-wmHQOOIaxXs/XrZ33guAaTI/AAAAAAALpis/34kXtbihc9Qu5RbCtxuZOdFN3ifuK6gDwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-09%2Bat%2B11.17.22.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-a93KFujMV_w/XrZ33gRtfhI/AAAAAAALpiw/E8dQAiWGr38rQTcdy2pG0O5Xmdy5N-d9wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-09%2Bat%2B11.17.28.jpeg)
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya Corona: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli atuma ndege Madagascar kuchukua 'dawa ya corona'
5 years ago
CCM BlogWAZIRI WA MABOMBO YA NJE PROF. KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI
Mazungumzo hayo pia yalihudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge, ambapo walijadili masuala mbalimbali yanayohusu mahusiano baina ya Tanzania na Italia.
Aidha, walitumia mazungumzo hayo...
5 years ago
MichuziBAJETI YA FEDHA ZAIDI YA DOLA MILIONI 94 YAPITISHWA JUMUIYA YA SADC, MAWAZIRI WAWEKA MKAKATI KUKABILI CORONA...WAZIRI PROF. KABUDI ATOA NENO
JUMUIYA ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika(SADC)imepitisha bajeti ya fedha ya Dola za Marekani milioni 94,913,815 kwa mwaka 2020/ 2021.
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari baada ya kikao cha Baraza la Mawaziri wa Jumuiya hiyo Katibu Mtendaji wa Jumuiya hiyo Dk.Stergomena Tac amesema fedha hizo zitatumika kwenye masuala mbalimbali yanayohusu Jumuiya.
"Pamoja na ajenda mbalimbali ambazo zimejadiliwa ,pia Jumuiya imepitisha bajeti ya fedha kwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gWR_XKF5Ts4/XmTb1s4zibI/AAAAAAACIWg/9KjevqR09ekxM-WAQxoX5h2wfL7FcnmKwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200308-WA0008.jpg)
WAZIRI PROF. PARAMAGAMBA KABUDI AKUTANA NA KATIBU WA SIASA NA UENEZI WA TAWI LA CCM LA DMV, WASHINGTON DC SALMA MOSHI NCHINI MAREKANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gWR_XKF5Ts4/XmTb1s4zibI/AAAAAAACIWg/9KjevqR09ekxM-WAQxoX5h2wfL7FcnmKwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200308-WA0008.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZmmYeKcZu64/XtFIOe6UjgI/AAAAAAALsA0/9QaDrRhuQiUJFw9MWkSJJgCFU8pn2AHZACLcBGAsYHQ/s72-c/aa1c150c-9ae3-4e47-8e5e-ad4653b9b17a.jpg)
PROF. KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZmmYeKcZu64/XtFIOe6UjgI/AAAAAAALsA0/9QaDrRhuQiUJFw9MWkSJJgCFU8pn2AHZACLcBGAsYHQ/s640/aa1c150c-9ae3-4e47-8e5e-ad4653b9b17a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/11e0badb-52e6-494e-a2d2-2d0462575235.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1eJ82sfwCQ8/XtAJ6i2bvGI/AAAAAAALr7k/sArUNNduQ2ExUBUZlErwgI5SERAdVDNBACLcBGAsYHQ/s72-c/77AAA-768x512.jpg)
PROF. KABUDI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MABALOZI WA UFARANSA, UTURUKI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-1eJ82sfwCQ8/XtAJ6i2bvGI/AAAAAAALr7k/sArUNNduQ2ExUBUZlErwgI5SERAdVDNBACLcBGAsYHQ/s640/77AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/11AAA-1024x682.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akipokea zawadi ya kitabu cha Mwl. Nyerere kutoka kwa Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Mhe. Frederic Clavier
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/22AAA-1024x682.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Wuk1guMZHBM/XvTMUmTcY2I/AAAAAAALveQ/j05n2KSgvdAj-txBFBqSrCU2hb_67-75wCLcBGAsYHQ/s72-c/CCC-2048x1423.jpg)
PROF. KABUDI AKUTANA, KUMUAGA BALOZI WA IRELAND NCHINI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wuk1guMZHBM/XvTMUmTcY2I/AAAAAAALveQ/j05n2KSgvdAj-txBFBqSrCU2hb_67-75wCLcBGAsYHQ/s640/CCC-2048x1423.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DDD-scaled.jpg)
Balozi wa Ireland nchini, Mhe. Paul Sherlock akimuonesha moja ya picha katika kitabu alichompatia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi kama zawadi
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/dddb94de-fb91-4d66-9b7a-d184645812d9.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI WA MAMBO YA NJE PROF. KABUDI ATAKA NCHI ZA SADC KUIMARISHA USHIRIKIANO
Prof. Kabudi amesema hayo jijini Dar es salaam wakati akifungua Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC kwa njia ya Video katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa...