BAJETI YA FEDHA ZAIDI YA DOLA MILIONI 94 YAPITISHWA JUMUIYA YA SADC, MAWAZIRI WAWEKA MKAKATI KUKABILI CORONA...WAZIRI PROF. KABUDI ATOA NENO
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
JUMUIYA ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika(SADC)imepitisha bajeti ya fedha ya Dola za Marekani milioni 94,913,815 kwa mwaka 2020/ 2021.
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari baada ya kikao cha Baraza la Mawaziri wa Jumuiya hiyo Katibu Mtendaji wa Jumuiya hiyo Dk.Stergomena Tac amesema fedha hizo zitatumika kwenye masuala mbalimbali yanayohusu Jumuiya.
"Pamoja na ajenda mbalimbali ambazo zimejadiliwa ,pia Jumuiya imepitisha bajeti ya fedha kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogWAZIRI WA MAMBO YA NJE PROF. KABUDI ATAKA NCHI ZA SADC KUIMARISHA USHIRIKIANO
Prof. Kabudi amesema hayo jijini Dar es salaam wakati akifungua Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC kwa njia ya Video katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FnjokKDxTkg/XtE3B-Q93VI/AAAAAAALr_o/DhbkPq6-w9oZsmtzB_xS0KFohNbTSPJVwCLcBGAsYHQ/s72-c/bc809ac7-1da2-4791-b00f-3cdb4e658935.jpg)
SADC TUIMARISHE UMOJA NA MSHIKAMANO WETU WAKATI HUU KUENEA KWA JANGA LA VIRUSI VYA CORONA-PROF.KABUDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FnjokKDxTkg/XtE3B-Q93VI/AAAAAAALr_o/DhbkPq6-w9oZsmtzB_xS0KFohNbTSPJVwCLcBGAsYHQ/s640/bc809ac7-1da2-4791-b00f-3cdb4e658935.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba kabudi (Mb) (wa kwanza kushoto) akiongea na wajumbe wa mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f39496bc-01a4-4591-a8ab-17393cc498ca.jpg)
Baadhi ya mawaziri pamoja na maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f5ccf190-c862-4551-b8ae-0477f46a625d.jpg)
Baadhi ya maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa...
5 years ago
MichuziWAZIRI PROF. KABUDI AWASILI NCHINI MADAGASCAR KUCHUKUA DAWA YA CORONA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi wa kulia akinywa dawa ya kutibu ugonjwa wa virusi vya corona
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Madagascar Mhe. Tehindrazanarivelo Djacoba As Oliva mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Antananarivo kwa ajili ya kupokea msaada wa dawa ya kutibu na kukinga ugonjwa wa COVID-19...
5 years ago
MichuziPROF KABUDI AONGEA NA VIONGOZI WA JUMUIYA NA TAASISI ZISIZOKUA ZA KISERIKALI, KUJUMUIKA KATIKA MIAKA 30 YA JUMUIYA DMV
9 years ago
Bongo523 Oct
The CEO: Filamu inayofanyika kwenye nchi zaidi ya tano Afrika, bajeti yake ni dola milioni 1
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU APOKEA SH. MILIONI 500 KUKABILI CORONA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HbWGx9o5R6s/XvIr3qI3RLI/AAAAAAAA-5I/2L_fgJIFq_kAyWLLLbM9Pb7ZqpJWF-k0wCLcBGAsYHQ/s72-c/719A0509.jpg)
Pro. Kabudi Afungua Mkutano wa Braza la Mawaziri SADC jijini Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-HbWGx9o5R6s/XvIr3qI3RLI/AAAAAAAA-5I/2L_fgJIFq_kAyWLLLbM9Pb7ZqpJWF-k0wCLcBGAsYHQ/s640/719A0509.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-E9etKYNmLnY/XvItqQynbJI/AAAAAAAA-5o/aos9Wv3xi9QCozKjeIhppBNR9nfm3SObgCLcBGAsYHQ/s640/719A0507.jpg)
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA BARRICK YAILIPA SERIKALI DOLA MILIONI 100, WAZIRI WA FEDHA AHUTUBIA HAFLA HIYO
Na Farida Ramadhani na Josephine Majura
KAMPUNI ya Barrick imeilipa Tanzania dola milioni 100, sawa na takriban sh. bilioni 250, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ya Madini ilikubali kulipa kama fidia ya kodi.
Mfano wa Hundi ya kiasi hicho cha fedha imekabidhiwa na Meneja Mkazi wa Kampuni ya Barrick, Bw. Hilaire Diarra kwa Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, kwa niaba ya Serikali, Jijini Dodoma leo Mei 26, 2020.
Akizungumza baada ya...
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Virusi vya corona: Waziri wa elimu afukuzwa kazi Madagascar kwa kuagiza pipi za dola milioni 2