Mlata awaonya watumishi wa Serikali mkoani Singida wasio waaminifu kutumbuliwa majibu!
Mbunge wa viti maalum mkoani Singida, Martha Mosses Mlata, akikabidhi msaada wa vifaa mbalimbali wenye thamani ya zaidi ya shilingi 6.3 milioni kwa uongozi wa Chuo cha wasioona cha mjini hapa. Msaada huo ni sehemu ya maadhimisho ya sherehe za Uhuru kutimiza miaka 54.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MBUNGE wa viti maalum (CCM) mkoani Singida, Martha Mosses Mlata, amewatahadharisha watumishi wa umma kuacha mara moja kujihusisha na vitendo vya ubadhirifu wa rasilimali ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Aug
'Viongozi wasio waaminifu wameua ushirika'
MAKAMU wa Rais, Dk Gharib Bilal amesema ushirika unakosa mvuto kwa jamii kutokana na baadhi ya viongozi wanaochaguliwa kutokuwa waaminifu na hata kujihusisha na ubadhirifu.
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Mlata ashiriki zoezi la usafi Manispaa ya Singida
![IMG_1124](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1124.jpg)
![IMG_1132](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1132.jpg)
![IMG_1142](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1142.jpg)
9 years ago
Michuzi20 Dec
WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAONYA WATUMISHI WA SERIKALI, AWASILI KIJIJINI KWAKE NANDAGLA RUANGWA
![f3940726-a5ba-43fe-8d8a-66bdb6a1cb19](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/f3940726-a5ba-43fe-8d8a-66bdb6a1cb19.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p-zKNS1csOA/VIf1KNi7lTI/AAAAAAAAr_U/0S5xkyw_ANA/s72-c/martha.jpg)
Mhe. MARTHA MLATA AMWAGA SOLA SEKONDARI YA MKALAMA, SINGIDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p-zKNS1csOA/VIf1KNi7lTI/AAAAAAAAr_U/0S5xkyw_ANA/s1600/martha.jpg)
Na mwandishi wetu
KERO ya maji safi na salama katika Shule ya Sekondari ya Nduguti wilayani Mkalama, mkoani Singida, imeanza kupatiwa ufumbuzi baada ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa huo Mhe. Martha Mlata, kubeba jukumu la kusaidia.
Mhe Mlata, ambaye amekuwa akishiriki kwenye kusaidia huduma za kijamii kuhususan elimu na afya, ametosa sh. Milioni tatu katika kuhakikisha kero hiyo inapatiwa ufumbuzi.Awali, wanafunzi walikuwa wakilazimika kukatisha masomo kwa saa 40 kwa mwezi ili kufuata maji...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Uhamiaji kushughulikia watumishi wasio na maadili
IDARA ya Uhamiaji, imesema itaendelea kuhamisha na kufukuza watumishi wasio waaminifu ili kuijengea heshima idara hiyo. Ofisa Uhusiano wa Uhamiaji, Tatu Burhan, alisema hayo jana alipozungumza na Tanzania Daima katika...
9 years ago
Habarileo17 Oct
Watumishi wasio walimu kulipwa bil 4/-
SERIKALI imesema inaendelea kushughulikia madai na madeni ya watumishi wake ambapo imetenga shilingi bilioni nne kwa ajili ya kulipa madai ya watumishi wa serikali za mitaa wasio walimu kuanzia mwezi huu.
9 years ago
Habarileo27 Sep
UVCCM yaonya watumishi wa umma wasio waadilifu
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umewaonya watumishi wa umma wanaojiingiza kwenye siasa na kutumia nafasi zao kuwanyanyasa, kuwabughudhi na kuwadhalilisha wananchi wakati wakienda kutafuta huduma za kijamii na kiuchumi.
10 years ago
Dewji Blog22 May
Mbunge wa viti maalumu (CCM) mkoa wa Singida, Bi Martha Mlata achangia ujenzi wa vyoo vya shule ya Kilimani
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata (aliyesimama kwenye jukwaa) akiwaongea na wananchi wa Kijiji cha Ibaga,tarafa ya Kirumi ,Mkoani Singida wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani hapa yenye lengo la kukiimarisha chama.
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata(wa pili kutoka kushoto) akikabidhi vifaa vya michezo kwa timu za soka za kata ya Ibaga.
Katibu wa CCM wilaya ya Mkalama,Bwana Amosi Shimba (wa pili kutoka kushoto)...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CJo1-N2jozc/U-NjpJT5BjI/AAAAAAABEwM/-tgyyrpjLz8/s72-c/IMG-20140807-WA0004.jpg)
MFUKO WA UTT WATOA ELIMU KWA WATUMISHI WA SERIKALI NA WAKULIMA JUU YA MIFUKO YA UWEKEZAJI MKOANI LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-CJo1-N2jozc/U-NjpJT5BjI/AAAAAAABEwM/-tgyyrpjLz8/s1600/IMG-20140807-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RKJzGwASGYE/U-Njm6XN1MI/AAAAAAABEwA/DR6_lOyy4T8/s1600/IMG-20140807-WA0001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-voBvpqgtPPI/U-NjomXu6cI/AAAAAAABEwI/OgdQ-GLUmOs/s1600/IMG-20140807-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1-ylHwrf5TU/U-Njp1ZWT9I/AAAAAAABEwY/-sNvwLpFVLQ/s1600/IMG-20140807-WA0005.jpg)