'Viongozi wasio waaminifu wameua ushirika'
MAKAMU wa Rais, Dk Gharib Bilal amesema ushirika unakosa mvuto kwa jamii kutokana na baadhi ya viongozi wanaochaguliwa kutokuwa waaminifu na hata kujihusisha na ubadhirifu.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania