SERIKALI YATOA MAELEKEZO YA ULIPAJI ADA KWA SHULE ZA PRIVATE
![](https://1.bp.blogspot.com/-oxJhsLVQpGg/XvXB1NB4bSI/AAAAAAAAW4k/z_tWpg4bEyUbTn3x-CALNSciO1nQ_9adwCLcBGAsYHQ/s72-c/ndalichako%252Bpic.jpg)
Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako
Maelekezo ya Ulipaji Ada kwa shule zisizo za Serikali baada ya Janga la Corona.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-agRf4ZvQ2Zc/XvXvZ9B-psI/AAAAAAALvjw/hHlNlQLEOA4kU1OBMkC7y-ALI1CcDPU2gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Serikali yatoa maelekezo ujio wa ndege ya Askofu Gwajima
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Serikali yashauriwa kufuta ada shule za kata
KAIMU Ofisa wa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Pwani, Dismas Chuwalo, ameishauri serikali kufuta ada ya shule za sekondari za Kata ili wahitimu wote wanaochaguliwa waweze kujiunga na shule hizo....
11 years ago
Habarileo14 Mar
Serikali kutaja bei elekezi ada shule za msingi
KILIO cha siku nyingi cha wazazi kuhusu ada za shule za msingi na sekondari, kimesikika na hivi karibuni Serikali itakuja na jibu la kudhibiti ada hizo. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, amesema hayo jana wakati alipozindua mfumo wa ada elekezi kwa vyuo vya elimu ya juu nchini. Amesema kwa sasa Serikali iko katika mchakato wa kuja na bei elekezi ya ada kwa ajili ya shule za msingi na sekondari.
5 years ago
Michuzi9 years ago
Habarileo03 Dec
Ada elekezi kwa shule binafsi Desemba 15
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imewataka wazazi na walezi wenye wanafunzi wanaotegemea kuanza masomo au kuendelea na masomo katika shule binafsi mapema Januari mwezi ujao, kuvuta subira hadi Desemba 15, mwaka huu serikali itakapotoa maelekezo mbalimbali ikiwemo suala la ada elekezi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GLDDPJXVlpk/Xs5vIx_5xWI/AAAAAAALrv4/maDgdDmF9zw9P3AG9yo1ponBdXtVikCagCLcBGAsYHQ/s72-c/213.jpg)
SMZA YAFAFANUA ILIVYOFANIKIWA KUKABILIANA KWA KIASI KIKUBWA NA CORONA,YATOA MAELEKEZO WIZARA YA ELIMU NA AFYA
10 years ago
MichuziDC Temeke aipongeza shule ya Twayyaibat kwa ada nafuu
DC Mjema aliyasema hayo alipofanya ziara katika shule...