Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meli yazama, 13 wahofiwa kufa

Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma, Jafari Mohamed.
Watu 13 wanasadikiwa kufa maji katika Ziwa Tanganyika, baada ya meli ya Mv Mbaga kuzama katika ziwa hilo usiku wa kuamkia Jumapili.

Tukio hilo lilitokea katika kijiji cha Kala, kilichopo mkoani Rukwa wakati meli hiyo ikitokea Mpulungu, Zambia kuelekea Burundi.

Mwakilishi wa meli hiyo mkoani Kigoma, Juliana Zakenda, alisema meli hiyo ilikuwa imebeba wafanyakazi 14 na tani 437 za mahindi.

Alisema kati ya wafanyakazi hao, ni mmoja tu alieokolewa ...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Meli ya uvuvi ya Urusi yazama

Boti ya uvuvi ya Urusi imezama katika visiwa vya Kamchatka,ikiwa na mabaharia wapatao hamsini na wanne ambao wamekufa maji wote.

 

11 years ago

GPL

MELI YA MIZIGO MV MERCI II YAZAMA KILWA MASOKO

MV Merci II ikianza kuzama majini katika gati la Kilwa Masoko. Sehemu ya chini ya MV Merci II.…

 

10 years ago

Habarileo

7 wahofiwa kufa maji Kigoma

Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma, Jafari MohamedWATU saba wanahofiwa kufa maji na wengine 49 wameokolewa kutokana baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kukumbwa na dhoruba katika eneo la vijiji vya mwambao wa kusini wa Ziwa Tanganyika.

 

11 years ago

Mwananchi

Wawili wahofiwa kufa Tamasha la E. FM

Tamasha la uzinduzi wa kituo cha redio cha E.FM lililofanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga juzi lilikumbwa na vurugu kubwa na inasadikiwa watu wawili walipoteza maisha.

 

10 years ago

GPL

MELI ILIYOKUWA NA WATU ZAIDI YA 450 YAZAMA NCHINI CHINA

Meli ya Dongfangzhixing iliyozama. Shughuli za uokoaji zikifanyika. Kikosi cha Uokoaji kikiwa kazini.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Mamia wahofiwa kufa maji Libya

Zoezi la uokoaji zinaendelea katika pwani ya Libya baada ya boti mbili zilizokuwa na zaidi ya wahamiaji 500 kuzama karibu na bandari ya Zuwara

 

10 years ago

BBCSwahili

Mamia ya wahamiaji wahofiwa kufa maji

Mamia ya wahamiaji wanahofiwa kufa maji baada ya boti iliokuwa wakiabiri kuzama karibu na pwani ya Libya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima saba wahofiwa kufa maji

WAKULIMA saba wanahofiwa kufa maji baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka Utete kuelekea Mkongo kupigwa wimbi na kugonga boti kisha kupinduka. Ajali hiyo ilitokea juzi saa 11 jioni katika Kivuko...

 

10 years ago

Mtanzania

Dar yazama

mvuamvua 2Jonas Mushi na Hadia Hamisi, Dar es Salaam
MVUA kubwa iliyonyesha tangu juzi imesababisha maafa makubwa katika Jiji la Dar es Salaam, huku watu wawili wakipoteza maisha baada ya kuzidiwa na maji katika maeneo tofauti jana.
Mbali ya vifo hivyo, wakazi wengi wa jiji hilo wameachwa bila makazi kutokana na nyumba zao kujaa maji.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova alisema mvua hiyo imesababisha kifo cha mtu mmoja katika eneo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani