Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Powertiller’ sasa zabeba maharusi

Kwa mara nyingine, jitihada za Serikali kuboresha sekta ya kilimo nchini zinaelekea kugonga mwamba baada ya sera na mpango wake kupitia ununuzi wa treka kubwa na ndogo(powertiller), kutumika kwa matumizi mengine ikiwamo kubebea maharusi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Maharusi waoana ndani ya bwawa la maji

Maharusi wawili nchini Polland walifanya harusi yao katika bwawa lenye lita milioni 1.5 za maji ya bahari ambalo hutumiwa kwa mafunzo ya upigaji mbizi .

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maharusi wanusurika kifo Ziwa Tanganyika

WATU zaidi ya 64 wakazi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, wamesadikiwa kufa maji Ziwa Tanganyika baada ya mitumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama majini kutokana na uzito uliosababishwa na kuzidisha abiria. Akifafanua...

 

10 years ago

Habarileo

Boti yazama, yaua 3, maharusi waokolewa

WATU watatu wamekufa na wengine zaidi ya 70 wameokolewa wakiwemo bwana na bibi harusi ambao walitoka kufunga ndoa muda mfupi kabla ya tukio hilo kufuatia boti waliyokuwa wakisafiria kugonga mwamba na kuzama ndani ya Ziwa Tanganyika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gari za kijeshi zatumika kubeba maharusi

Gari za kijeshi (Deraya ) zinatumika kubeba maharusi mjini Moscow ili kusherehesha na kuachana na Magari ya kifahari aina ya Limo

 

10 years ago

Mwananchi

MAZNAT: Mpambaji maharusi wenye shahada ya uzamili

>Tangu utoto wangu niliamini kuwa mikono yangu inaweza kufanya kazi na kuniwezesha kuendesha maisha hivyo nina kila sababu ya kuitumia kadiri Mungu anavyoniwezesha.

 

5 years ago

BBCSwahili

Maharusi wakamatwa kwa kukiuka sheria ya kutotoka nje

Polisi nchini Afrika Kusini wamemkamata bwana harusi bi harusi, kuhani, na wageni 40 ambao walivunja sheria za kutotoka nje za nchi hiyo na kufanya harusi.

 

10 years ago

Vijimambo

Seneta Mike Sonko kutoa Magari yake ya Bei kwa Maharusi.

Seneta wajiji la Nairobi, Mike Sonko ametangaza kutoa huduma ya bure ya usafiri kwenye harusi za wakazi wa Nairobi, Huduma hiyo aliizindua siku ya Ijumaa na Magari anayoyatoa ni pamoja na Marcedes 4 (New S Class Model),3 H2 Hummers na gari lake binafsi LandCruiser gold-plated.Seneta huyo asiyeishiwa na Vituko alisema "
Watu Wangu,
THE ESSENCE OF TRUE LEADERSHIP IS TO ADD VALUE to the lives of those you lead during your period in leadership.
I am kicking off this year by focusing more on...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Maharusi wafunga ndoa mtandaoni kuepuka maambukizi

Maharusi Zoe Davies na Tom Jackson ni baadhi ya wanandoa ambao harusi zao hazikufanyika kufuatia janga la corona

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZ: MAHARUSI WANUSURIKA KIFO BAADA YA MTUMBWI WALIOPANDA KUZAMA ZIWA TANGANYIKA

Waokoaji wakijindaa kwenda katika eneo ilipotokea ajali ya mitumbwi iliyobeba harusi kutoka Kigoma mjini kwenda katika kijiji cha Kigalya kutafuta miili ya marehemu ambayo bado haijapatikana

 Waokoaji toka vikosi mbalimbali wakiwemo wanajeshi wa JWTZ wakijiandaa kwenda kutafuta miili ambayo bado haijapatikana kutokana na jali ya mitumbwi katika kijiji cha kalalangabo Bibi harusi Mariamu Mduwa aliyenusurika  katika ajali ya mitumbwi katika kijiji cha kalalangabo akiwa anaendelea na matibabu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani