Seneta Mike Sonko kutoa Magari yake ya Bei kwa Maharusi.
Seneta wajiji la Nairobi, Mike Sonko ametangaza kutoa huduma ya bure ya usafiri kwenye harusi za wakazi wa Nairobi, Huduma hiyo aliizindua siku ya Ijumaa na Magari anayoyatoa ni pamoja na Marcedes 4 (New S Class Model),3 H2 Hummers na gari lake binafsi LandCruiser gold-plated.
Seneta huyo asiyeishiwa na Vituko alisema "
Watu Wangu,
THE ESSENCE OF TRUE LEADERSHIP IS TO ADD VALUE to the lives of those you lead during your period in leadership.
I am kicking off this year by focusing more on...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Sonko; kiongozi mwenye haiba ya aina yake machoni mwa watu
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Magari haya yanauzwa kwa bei nafuu
TOYOTA AVENSIS 1.9 CC
DIESEL ENGINE
MODEL 2005 MANUAL
THE CAR IS IN DAR ES SALAAM JUST IMPORTED FROM U.K LONDON
PRICE T.SH. 7.5 MILLION
CONTACTS: +255 718 030 320
+255 774 659 895
LAND ROVER DISCOVERY TD5
MODEL 2004 PICK UP AUTOMATIC
GEAR BOX DIESEL
PRICE 17 MILLION
THE CAR IS IN ZANZIBAR BUT WE CAN ARRANGE SHIPPING IT TO ANYWHERE
CONTACTS: +255 718 030 320
+255 774 659...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ql6Z40BB754/VW0zc8JmEzI/AAAAAAAAQPs/J1h84BpMC3U/s72-c/logo%2Bewura.jpg)
WANANCHI MANISPAA YA MOSHI WAALIKWA KUTOA MAONI JUU YA OMBI LA MUWSA KUBADILI BEI YA KUTOA HUDUMA YA MAJI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ql6Z40BB754/VW0zc8JmEzI/AAAAAAAAQPs/J1h84BpMC3U/s400/logo%2Bewura.jpg)
Na Dixon Busagaga.Moshi.
MAMLAKA ya maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi(MUWSA) inakusudia kuongeza bei ya kutoa huduma za maji kwa watumiaji wake ,lengo likiwa ni kutaka kuendelea kufanya maboresho katika utolewaji wa huduma hiyo.
Kwa mujibu wa ombi Na,TR-W-15-008 kutoka Muwsa kwenda Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji(EWURA) Mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi imetaka kuongeza beo ya huduma zake kwa mwaka 2015/2016 HADI 2017/2018.
Mabadiliko ya bei hiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YRV3Lv4YkEL9wQq28rlqWAEVT*qTm10HawFbAD7nNCsrVwcpndlZnpwwA-qYrRCoJysNr5*u2NqBoEWEaOk64YCDU1YZ8KY8/baiskeli.jpg?width=650)
BAISKELI ILIYOTENGENEZWA KWA DHAHABU YAZINDULIWA UINGEREZA, BEI YAKE MILIONI 676.5
5 years ago
MichuziVIONGOZI WA DINI WILAYANI KARAGWE WAANDAMANA KUMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU IBAADA DC AWAPOKEA KWA NIABA YAKE NA KUTOA NENO.
9 years ago
Bongo504 Jan
Video: Mike Tyson alivyo pata ajali kwenye hoverboard yake
![MIKE-HOVER](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/MIKE-HOVER-300x194.jpg)
Bondia wa zamani wa ngumi za uzito wa juu, Mike Tyson amezua gumzo baada ya kutuonesha video kwamba kama huwezi kutembelea hoverboard basi we achana nazo baada ya yeye kupiga mweleka.
Mike Tyson aliipost video kwenye ukurasa wake Instagram ambapo palikuwa pembeni na sauti inasikika ya mtoto wa kike ikiwa inamuonya kwamba ataanguka, lakini Mike akaendelea zake.. sekunde chache mbele mambo yakaenda kwa kuanguka
Ilikuwa stori kubwa yenye uzito wake katika TV ya CNN waliiripoti hii angalia...
5 years ago
MichuziRC Wangabo atimiza ahadi yake ya kutoa magongo ya kutembelea kwa mlemavu
Mh. Wangabo amesema kuwa katika kongamano hilo lilihudhuriwa na walemavu zaidi ya 700 na kusema kuwa bado kuna wengine ambao wanahitaji...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA IBRALINE YATANGAZA NAULI MPYA KWA MABASI YAKE,ABIRIA SASA KULIPA NUSU BEI YA SUMATRA
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Moshi.
SIKU chache baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kutangaza punguzo la bei ya Mafuta Kampuni ya kutoa huduma ya usafirishaji wa ndani na nje ya nchi ya Ibraline imetangaza kushusha nauli kwa nusu ya bei elekezi ya SUMATRA.
Hatua hiyo inakuja wakati baadhi ya wananchi kulalamika kutokuwepo na ahueni yoyote licha ya kwamba serikali imetangaza kushusha bei ya bidhaa ya Mafuta...
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Kama hukuona ajali ya Mike Tyson kwenye hoverboard yake, basi ilikuwa hivi.. (+Video)
Bondia wa zamani mbabe aliyeweka rekodi za nguvu kwenye mchezo wa ngumi, Mike Tyson ameamua tu kutuonesha kwamba kama huwezi kutembelea hoverboard, basi wewe achana nazo tuu hata usijaribu kucheza nazo. Hii video aliipost Mike Tyson kwenye ukurasa wake Instagram ambapo kuna sauti ya mtoto wa kike inaonekana kama anamuonya hivi kwamba ataanguka, lakini Mike […]
The post Kama hukuona ajali ya Mike Tyson kwenye hoverboard yake, basi ilikuwa hivi.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.