Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Mike Tyson alivyo pata ajali kwenye hoverboard yake

MIKE-HOVER

Bondia wa zamani wa ngumi za uzito wa juu, Mike Tyson amezua gumzo baada ya kutuonesha video kwamba kama huwezi kutembelea hoverboard basi we achana nazo baada ya yeye kupiga mweleka.

MIKE-HOVER

Mike Tyson aliipost video kwenye ukurasa wake Instagram ambapo palikuwa pembeni na sauti inasikika ya mtoto wa kike ikiwa inamuonya kwamba ataanguka, lakini Mike akaendelea zake.. sekunde chache mbele mambo yakaenda kwa kuanguka

Ilikuwa stori kubwa yenye uzito wake katika TV ya CNN waliiripoti hii angalia...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kama hukuona ajali ya Mike Tyson kwenye hoverboard yake, basi ilikuwa hivi.. (+Video)

Bondia wa zamani mbabe aliyeweka rekodi za nguvu kwenye mchezo wa ngumi, Mike Tyson ameamua tu kutuonesha kwamba kama huwezi kutembelea hoverboard, basi wewe achana nazo tuu hata usijaribu kucheza nazo. Hii video aliipost Mike Tyson kwenye ukurasa wake Instagram ambapo kuna sauti ya mtoto wa kike inaonekana kama anamuonya hivi kwamba ataanguka, lakini Mike […]

The post Kama hukuona ajali ya Mike Tyson kwenye hoverboard yake, basi ilikuwa hivi.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Bongo5

Mike Tyson na Nas washirikishwa kwenye albam mpya ya Madonna ‘Rebel Heart’

Madonna ametoa orodha ya nyimbo zitakazopatikana kwenye albam yake mpya ‘Rebel Heart’, ambayo nusu ya nyimbo zake zilivuja mwishoni mwa mwaka jana nakumfanya atoe nyimbo sita kwa mpigo kabla ya tarehe ya kuitoa albam hiyo. Rapper Nas Escobar, Nicki Minaj pamoja na bondia wa zamani Mike Tyson ni miongoni mwa walioshirikishwa. Bado haijafahamika ushiriki wa […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Pigano kati ya Deontay Wilder na Tyson Fury II: Mike Tyson ana muunga mkono Fury

Je Tyson Fury atampiga Deontay Wilde na kuwa bingwa wa mara mbili wa kombe la dunia?

 

9 years ago

MillardAyo

Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video)

Hoverboard ni jina la kiingereza lakini sina uhakika kama kuna jina rasmi la kiswahili limepatikana kuviita hivi vifaa… ni kama fashion sasahivi utaona mastaa kibao wanapost video wanatembea navyo !! Lakini kama haujaviweza tafadhali mtu wangu, hata usithubutu kuvijaribu.. Ripoti ya stori kwenye mtandao wa BBC inasema waumini kadhaa wamemshutumu Paroko mmoja wa Ufilipino ambae […]

The post Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video) appeared...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mike Tyson hapendi picha binafsi

Je wewe ni shabiki wa Mike Tyson? ungependa kupata 'selfie' pamoja naye? jipange, Tyson mambo ya picha binafsi hayafagilii.

 

11 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Msiba mwingine Bongo Movie “George Tyson” afariki kwenye ajali ya gari usiku huu

tyson_george

Produza maarufu wa filamu nchini George Tyson (pichani) amefariki dunia usiku huu kwenye ajali ya gari Morogoro wakitokea Dodoma na wenzake sita kujeruhiwa akiwemo Blogger maarufu DJ Choka.

Chanzo cha jali hiyo akijajulikana bado MOblog inaendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi na tutawapa taarifa hapo baadae.

Taarifa hizi zimethibitishwa na jamaa wa karibu wa marehemu.

MOblog inaungana na watanzania wote kuomboleza kifo cha marehemu George Tyson na inawaombea nafuu wote waliojeruhiwa kwenye...

 

9 years ago

Bongo5

Ray C aomba msamaha baada ya video yake akiwa mtupu kupostiwa kwenye akaunti yake ya Instagram

Ray new

Siku ya jana Nov.10 kuna video mbaya ya mwanadada Rehema Chalamila maarufu kama Ray C akiwa mtupu akikata mauno zilipostiwa kwenye akaunti yake ya Instagram (@rayc1982) na muda mfupi baadaye kufutwa.

Ray new

Akizungumza na U Heard ya Clouds Fm leo, Ray C amekiri kuwa ni kweli aliyeonekana kwenye video hiyo ni yeye.

“Ndio ni kweli video hiyo ilipostiwa kwenye akaunti yangu ila sio mimi niliyeipost.” Alisema Ray C.

Ray C aliongeza kuwa video hiyo alirekodiwa na mpenzi wake kwaajili ya matumizi...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Hawa ndio New Boyz, waliompa shavu AY kwenye video yake na Sean Kingston

Vijana wa kundi la New Boyz wa Marekani, Earl “Ben J” Benjamin na Dominic “Legacy” Thomas wataonekana kwenye video ya wimbo mpya wa AY aliomshirikisha Sean Kingston. Video hiyo itatoka mwezi ujao. “Kuna jamaa wa New BoyZ jamaa fulani wanahit huku, kuna video wamefanya na jamaa fulani ina view milioni 32, so ni jamaa wakubwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste amtumia Lisa (mama wa mwanaye) kama video model kwenye video yake mpya ‘Usiwe Bubu’

Rapper Mabeste anatarajia kuachia video mpya ya wimbo wake uitwao ‘Usiwe Bubu’ Ijumaa hii ya Oct.2, wimbo ambao audio yake ilitoka mwezi January mwaka huu, . Kwenye video hiyo safari hii Mabeste ameamua kumtumia girlfriend wake ambaye pia ni mama wa mwanaye aitwaye Lisa kama video model. “Amekuwa video queen kwasababu nimeona ana vigezo vya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani