Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video)
Hoverboard ni jina la kiingereza lakini sina uhakika kama kuna jina rasmi la kiswahili limepatikana kuviita hivi vifaa… ni kama fashion sasahivi utaona mastaa kibao wanapost video wanatembea navyo !! Lakini kama haujaviweza tafadhali mtu wangu, hata usithubutu kuvijaribu.. Ripoti ya stori kwenye mtandao wa BBC inasema waumini kadhaa wamemshutumu Paroko mmoja wa Ufilipino ambae […]
The post Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video) appeared...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-YDPOkQFC4/U3owcuNYOJI/AAAAAAAFjs0/PfpuBbRPCaQ/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-YDPOkQFC4/U3owcuNYOJI/AAAAAAAFjs0/PfpuBbRPCaQ/s1600/unnamed+(18).jpg)
TAFAKARI: Neno la leo ni mtihani mkubwa sana manake Bwana Yesu anatuamuru kuwa tuwapende maadui zetu na kuwaombea wale ambao wanatuonea. Kiubinadamu ni kawaida kutaka kulipiza mabaya kwa mabaya. Hiyo ndiyo asili yetu. Lakini sisi Wakristo tunatakiwa maisha yetu yawe ni...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pQH5_2Dlgdo/VLVI9ZjqtwI/AAAAAAAAAmU/9Uqc05JqlRA/s72-c/IYK_Kusifu_Kuabudu.jpg)
Karibuni Ibada ya Kuabudu na Kusifu - Jumapili Januari 18, 2015 Ibada itaanza saa kumi kamili 4:00pm (EST)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pQH5_2Dlgdo/VLVI9ZjqtwI/AAAAAAAAAmU/9Uqc05JqlRA/s1600/IYK_Kusifu_Kuabudu.jpg)
11 years ago
Michuzi16 May
Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga - Juni 1, 2014 Kuanzia 3:30pm
![](https://1.bp.blogspot.com/-mOass4AqaZU/U2d7Y1z3-_I/AAAAAAAAAW4/n6Llkx8IWnw/s1600/IYK_Swahili_Invitation_5yr.jpg)
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Wapora maiti baada ya kuchoshwa na ibada
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Wizi kwenye nyumba za ibada
WIZI ni tendo la tabia ya kuiba, vivyo hivyo udokozi kwa kuchukua kitu au mali ya mtu mwingine bila ridhaa yake. Ni kitendo cha kihuni kinachoendana na tabia mbaya, yaani...
9 years ago
Bongo504 Jan
Video: Mike Tyson alivyo pata ajali kwenye hoverboard yake
![MIKE-HOVER](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/MIKE-HOVER-300x194.jpg)
Bondia wa zamani wa ngumi za uzito wa juu, Mike Tyson amezua gumzo baada ya kutuonesha video kwamba kama huwezi kutembelea hoverboard basi we achana nazo baada ya yeye kupiga mweleka.
Mike Tyson aliipost video kwenye ukurasa wake Instagram ambapo palikuwa pembeni na sauti inasikika ya mtoto wa kike ikiwa inamuonya kwamba ataanguka, lakini Mike akaendelea zake.. sekunde chache mbele mambo yakaenda kwa kuanguka
Ilikuwa stori kubwa yenye uzito wake katika TV ya CNN waliiripoti hii angalia...
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Kama hukuona ajali ya Mike Tyson kwenye hoverboard yake, basi ilikuwa hivi.. (+Video)
Bondia wa zamani mbabe aliyeweka rekodi za nguvu kwenye mchezo wa ngumi, Mike Tyson ameamua tu kutuonesha kwamba kama huwezi kutembelea hoverboard, basi wewe achana nazo tuu hata usijaribu kucheza nazo. Hii video aliipost Mike Tyson kwenye ukurasa wake Instagram ambapo kuna sauti ya mtoto wa kike inaonekana kama anamuonya hivi kwamba ataanguka, lakini Mike […]
The post Kama hukuona ajali ya Mike Tyson kwenye hoverboard yake, basi ilikuwa hivi.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Picha nne za Rais Magufuli kwenye ibada ya Christmas Dar…
HappyBoxing Day Mtu WANGU !! Jana December 25 2015 ilikuwa siku ambayo wakristo sehemu mbalimbali Duniani waliungana kusherehekea sikukuu ya Christmas… lakini haikuwa sherehe tu ya kukaa nyumbani na kusherehekea, ilikuwa siku ya kukutana kwenye nyumba za ibada kwa ajili ya kusali na kumshukuru MUNGU. Rais John Magufuli aliongozana pia na Mama Janeth Magufuli kwenda […]
The post Picha nne za Rais Magufuli kwenye ibada ya Christmas Dar… appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wUoCGZq2G10/XsEcxWQZ-ZI/AAAAAAAEHPE/H8-aV0HAjAYTb2O2Hs3IyZlGg7M7ZIWgwCLcBGAsYHQ/s72-c/2-10-768x683.jpg)
Rais Magufuli atoa salamu baada ya kusali Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Chato
![](https://1.bp.blogspot.com/-wUoCGZq2G10/XsEcxWQZ-ZI/AAAAAAAEHPE/H8-aV0HAjAYTb2O2Hs3IyZlGg7M7ZIWgwCLcBGAsYHQ/s640/2-10-768x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4-7-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1-15-1024x913.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/16-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/12-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/7-2-925x1024.jpg)