Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sonko; kiongozi mwenye haiba ya aina yake machoni mwa watu

Mike Sonko siyo jina geni kwa wafuatiliaji wa siasa za taifa la Kenya katika siku za hivi karibuni, kutokana na jina hili kutawala vyombo vya habari kila kukicha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Seneta Mike Sonko kutoa Magari yake ya Bei kwa Maharusi.

Seneta wajiji la Nairobi, Mike Sonko ametangaza kutoa huduma ya bure ya usafiri kwenye harusi za wakazi wa Nairobi, Huduma hiyo aliizindua siku ya Ijumaa na Magari anayoyatoa ni pamoja na Marcedes 4 (New S Class Model),3 H2 Hummers na gari lake binafsi LandCruiser gold-plated.Seneta huyo asiyeishiwa na Vituko alisema "
Watu Wangu,
THE ESSENCE OF TRUE LEADERSHIP IS TO ADD VALUE to the lives of those you lead during your period in leadership.
I am kicking off this year by focusing more on...

 

11 years ago

Habarileo

Zuma: Afrika Kusini tulihitaji kiongozi aina ya Mandela

RAIS wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, amesema nchi hiyo, ilihitaji Rais wa aina ya Nelson Mandela. Amesema kama serikali ya makaburu ingeendelea madarakani, Waafrika Kusini, wangezuiwa hata kufikiria kuhusu Mandela.

 

5 years ago

BBCSwahili

Hosini Mubarak: Je alikuwa kiongozi wa aina gani Misri?

Hosni Mubarak alikuwa kiongozi aliyeunga mkono amani na Israel lakini akapinduliwa madarakani na raia wake.

 

10 years ago

Habarileo

‘Chagueni kiongozi mwenye hofu ya Mungu’

Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Titus Mdoe WATANZANIA wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu, huku wakihakikisha wanamchagua kiongozi atakayeweza kuzisimamia vizuri rasilimali za taifa kwa manufaa ya watu wote.

 

9 years ago

Michuzi

FAMILIA YA DK. MAGUFULI YASEMA WATANZANIA WAMEPATA KIONGOZI MCHAPA KAZI, MWENYE MSIMAMO NA MPENDA MAENDELEO

 Kiongozi wa familia hiyo, Albert Michael, alipozungumza na waandishi wa habari mjini Geita.
Na Rashid Zahor, Geita.FAMILIA ya mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli imesema Watanzania watakuwa na bahati ya kumpata kiongozi mchapakazi, mwenye msimamo na anayependa maendeleo.

Imesema iwapo Dk. Magufuli atachaguliwa kuwa rais, katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Jumapili wiki hii, atawaletea maendeleo makubwa kwa kuwa ni mtu mwenye msimamo, asiyeyumba na anayependa...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZINAZOSEMA AINA YA KIONGOZI TUNAYEMUHITAJI,PICHA HIZI ZINAZUNGUMZA MENGI SANA.

Mwigulu akisikiliza kwa makini maombi ya Bibi huyu(Hakufahamika jina) katika kijiji cha Kibaya Jimboni Iramba.Mh.Mwigulu Nchemba akimsikiliza kwa makini mmoja ya wazee katika kijiji cha Mtekente Jimboni Iramba.Mh:Mwigulu Nchemba akisikiliza kwa makini hitaji la kijana huyu mlemavu wa miguu kijiji cha Songa-Iramba.Mapenzi kwa Watoto.Mwigulu akimsikiliza Mwananchi wake Mwenye Ulemavu wa Miguu."NIsaidie Mbunge wangu,Baiskel imechoka"MBunge akimsikiliza Mwananchi wake.Mwananchi wa kijiji cha...

 

10 years ago

Habarileo

Muungano wa aina yake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Jakaya Kikwete akipunga mkono kuwasalimia wananchi wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es Salaam jana kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kushoto ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange. (Picha na Robert Okanda).RAIS Jakaya Kikwete ameongoza Watanzania kuadhimisha miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964, katika sherehe zilizofanyika jana katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na kufana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Harusi ya aina yake Misri

Bwana harusi mmoja nchini Misri aamua kuifanya siku yake ya harusi ifanane na matendo nusu ya Jihad John.

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE ACHAGULIWA KUWA KIONGOZI MWENYE MCHANGO MKUBWA ZAIDI KATIKA MAENDELEO BARANI AFRIKA KWA MWAKA 2013

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe akiongea na maafisa na wageni mbalimbali katika ubalozi wa Tanzania nchini Marekani  mjini Washington DC, Marekani, ambako atapokea tuzo ya Africa’s Most Impactful Leader of the Year kwa niaba ya Mhe. Jakaya Mrisho
Kikwete, Rais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania mjini humo leo April 9, 2014. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani