Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zuma: Afrika Kusini tulihitaji kiongozi aina ya Mandela

RAIS wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, amesema nchi hiyo, ilihitaji Rais wa aina ya Nelson Mandela. Amesema kama serikali ya makaburu ingeendelea madarakani, Waafrika Kusini, wangezuiwa hata kufikiria kuhusu Mandela.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mwanawe Rais Zuma hatiani Afrika Kusini

Jopo moja nchini Afrika Kusini limegundua kuwa mwanawe Jacob Zuma hakua makini hadi kusababisha ajali ya barabarani ambapo mwanamke mmoja alifariki.

 

9 years ago

Mwananchi

Zuma aanza kupoteza umaarufu Afrika Kusini

Maelfu ya wananchi wa Afrika Kusini wamejitokeza barabarani wiki hii kushiriki maandamano ya amani kuongeza shinikizo kwa Rais Jacob Zuma aachie ngazi kutokana na kukabiliwa na tuhuma mbalimbali, hasa ya utawala wake kushindwa kusimamia rasilimali za taifa.     

 

9 years ago

BBCSwahili

Zuma aahidi karo ya vyuo haitaongezwa Afrika Kusini

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ameahidi kuwa vyuo vikuu havitaongeza ada ya masomo mwaka ujao baada ya wanafunzi wa vyuo hivyo kuandamana kwa wiki moja.

 

10 years ago

StarTV

Mtoto wa Rais Zuma atiwa hatiani Afrika Kusini.

Jopokazi moja nchini Afrika Kusini limesema kua mwanawe Jacob Zuma hakua makini alipokuwa anaendesha gari hadi kusababisha ajali ya barabarani ambapo mwanamke mmoja alifariki.

Awali kiongozi wa mashitaka hakuwa tayari kumchukulia hatua zozote za kisheria mwanawe Zuma.

Sasa atakabiliwa na shinikizo za kumfungulia mashitaka.

Gari la Duduzane Zuma aina ya Porsche iligonga gari dogo la abiria mjini Johannesburg mwezi Februari, na kumuua mwanamke huyo papo hapo.

Mwandishi wa BBC Pumza Fihlani...

 

10 years ago

Michuzi

JK akutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini Ikulu, Dar es salaam

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini Jumatatu  ikulu jijini Dar es Salaam.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete asubuhi ya Jumatatu, Desemba 22, 2014, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Afrika Kusini, Mheshimiwa Jacob Zuma.

Mazungumzo hayo yaliyofanyika Ikulu, Dar Es Salaam, yalichukua kiasi cha saa moja na dakika 45 na yalihusu uhusiano kati ya Tanzania na Afrika Kusini.

Rais Zuma...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mandela akumbukwa Afrika Kusini

Raia Nchini Afrika Kusini wanaadhimisha mwaka mmoja tangu alipofariki Rais wa Kwanza mzalendo wa Afrika hayati Kusini Nelson.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bunge la Afrika Kusini kumuenzi Mandela

Bunge nchini Afrika Kusini, leo linatarajiwa kuwa na kikao maalum cha kumkumbuka Nelson Mandela, huku viongozi duniani wakijiandaa kwa misa ya wafu itakayofanyika Jumanne.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mandela:Siku ya maombi Afrika Kusini

Wananchi na viongozi wa Afrika Kusini wanashirki maombi ya kitaifa ya kumuenzi na kumkumbuka hayati Nelson Mandela

 

11 years ago

Michuzi

wengi wajitokeza kwenye hafla ya kuapishwa kwa Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini leo

Umati wa watu wa Afrika Kusini na wengine kutoka nchi mbali mbali,ukiwa nje ya Majengo ya Umoja yaliopo kwenye Mji wa Pritoria nchini humo,tayari kwa hafla ya kuapishwa kwa Rais wa nchi ya Afrika Kusini,Mh. Jacob Zuma inayoendelea kufanyika hivi sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani