Bunge la Afrika Kusini kumuenzi Mandela
Bunge nchini Afrika Kusini, leo linatarajiwa kuwa na kikao maalum cha kumkumbuka Nelson Mandela, huku viongozi duniani wakijiandaa kwa misa ya wafu itakayofanyika Jumanne.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Mandela akumbukwa Afrika Kusini
Raia Nchini Afrika Kusini wanaadhimisha mwaka mmoja tangu alipofariki Rais wa Kwanza mzalendo wa Afrika hayati Kusini Nelson.
11 years ago
BBCSwahili08 Dec
Mandela:Siku ya maombi Afrika Kusini
Wananchi na viongozi wa Afrika Kusini wanashirki maombi ya kitaifa ya kumuenzi na kumkumbuka hayati Nelson Mandela
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Mandela aivuta dunia kuhamia Afrika Kusini
Johannesburg. Viongozi zaidi ya sabini wakiwamo wakuu wa nchi na Serikali wanatarajiwa kushiriki hatua mbalimbali za safari ya mwisho ya Mzee Mandela aliyefariki Alhamisi ya Desemba tano usiku.
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Mandela alileta mapinduzi ya kiuchumi Afrika ya Kusini
Jabali la ukombozi limeondoka duniani. Amefariki akiwa na umri wa miaka 95. Huyo si mwingine bali ni Nelson Mandela ambaye aliwakomboa Waafrika Kusini kutoka kwenye minyororo ya makaburu.
11 years ago
Habarileo11 Dec
Zuma: Afrika Kusini tulihitaji kiongozi aina ya Mandela
RAIS wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, amesema nchi hiyo, ilihitaji Rais wa aina ya Nelson Mandela. Amesema kama serikali ya makaburu ingeendelea madarakani, Waafrika Kusini, wangezuiwa hata kufikiria kuhusu Mandela.
11 years ago
GPLIBADA YA KITAIFA AFRIKA KUSINI KUMUAGA MANDELA LEO
Marehemu Nelson Rolihlahla Mandela enzi za uhai wake. Leo inafanyika ibada kubwa ya kitaifa Uwanja wa FNB, Johannesburg kumuaga Nelson Mandela ambapo viongozi mbalimbali watahudhuria ibada hiyo wakiwemo Rais Barrack Obama na mkewe Michelle, Rais Jakaya Kikwete, Rais Robert Mugabe na mkewe, Rais Uhuru Kenyatta na mkewe, Rais Yoweri Museveni, Rais Joyce Banda na wengineo wengi. ...
11 years ago
GPLLEO NI SIKU YA MAOMBI AFRIKA KUSINI KUMKUMBUKA MANDELA
Binti akiwa na mshumaa wakati wa ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Regina Mundi lililopo Soweto, Afrika Kusini leo. Waumini wakiwa katika ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Methodist mjini Johannesburg leo. (Picha na Reuters) Wananchi wa Afrika Kusini leo wanashirki maombi ya kitaifa ya… ...
11 years ago
MichuziUbalozi wa Afrika ya kusini na Vodacom waadhimisha siku ya Nelson Mandela
Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(Kusho)pamoja na Afisa wa Ubalozi wa Afrika ya Kusini Nkhetheleni Mphohoni na Afisa Mawasiliano wa Vodacom,Gloria Mtui wakigawa zawadi za tisheti na kofia kwa wanafunzi na wa shule ya watoto wenye mahitaji maalum ya Sinza jijini Dar es Salam wakati wa maadhimisho ya siku ya Mandela iliyoandaliwa na Ubalozi wa Afrika ya kusini nchini na kufanyika leo shuleni hapo. Mwakilishi wa shirika la Umoja wa Maifa la Kuhudumia wakimbizi...
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Wasomi: Kifo cha Nelson Mandela hakitaathiri siasa za Afrika Kusini
Kifo cha Shujaa aliyepigania Uhuru wa Afrika Kusini, Nelson Mandela kimedaiwa hakitaathiri kwa namna yoyote mwelekeo wa siasa na uchumi wa nchi hiyo kwa siku zijazo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania