Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muungano wa aina yake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Jakaya Kikwete akipunga mkono kuwasalimia wananchi wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es Salaam jana kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kushoto ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange. (Picha na Robert Okanda).RAIS Jakaya Kikwete ameongoza Watanzania kuadhimisha miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964, katika sherehe zilizofanyika jana katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na kufana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kura aina ya Muungano Agosti

 Upigaji kura kupitisha sura mbili zinazohusu Muungano katika Bunge la Katiba umesogezwa mbele hadi Agosti litakapoitishwa tena, Mwananchi limebaini.

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda: Tungejua tungeamua aina ya muungano kwanza

>Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema kama Serikali ingejua, ingeanza kwa kura za maoni ya wananchi kuamua aina ya muungano wanaoutaka, kabla ya kuendelea na mchakato wa Katiba.

 

11 years ago

Habarileo

Makundi maalum wataka kujua aina ya Muungano

WAKATI Bunge la Katiba linajiandaa kuanza kuichambua rasimu ya Katiba mpya wiki ijayo, wajumbe wanaowakilisha makundi maalumu wametaka mjadala wa kwanza, iwe sura ya kwanza na sura sita ya rasimu hiyo ili makundi hayo yaweze kujua hatma ya mambo wanayoyadai yako sehemu ipi ya Muungano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania waachwe waamue aina ya Muungano wanaoutaka

LEO ni Sikukuu ya Muungano ambapo Watanzania tunaadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, hivyo kuunda Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania. Licha ya kasoro na matatizo tuliyopitia ndani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

KATIBA MPYA: Mwafaka wa aina ya muungano ulihitajika kabla

JAMBO ambalo limekuwa likijadiliwa na wengi katika rasimu ya Katiba mpya ni hoja ya Muungano. Ingawa kwa maoni yangu ningesema yamekuwa mabishano ambayo si wengi wameyajengea hoja, lakini Watanzania wengi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Harusi ya aina yake Misri

Bwana harusi mmoja nchini Misri aamua kuifanya siku yake ya harusi ifanane na matendo nusu ya Jihad John.

 

10 years ago

Vijimambo

USIKU WA JAKAYA ULIKUWA WA AINA YAKE

Rais Jakaya Kikwete akiongozana na mama Salma Kikwete na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula walipokuwa wakiingia kwenye ukumbi wa JW Marriott uliopo Washington, DC Ijumaa usiku Sept 19, 2014 kwenye USIKU WA JAKAYA uliokua umeandaliwa maalum na CCM tawi la DMV na kuhudhuriwa na Watanzania walishio nchini Marekani.Mwenyekiti wa CCM DMV ndg George Sebo na mkuu wa vyama vya siasa CCM Marekani Bi. Loveness Mamuya wakiwakaribisha Rais Jakaya Kikwete na mkewe mama Salma...

 

10 years ago

GPL

KIM KARDASHIAN ATINGA VAZI LA AINA YAKE

Kim Kardashian akiwa katinga vazi la aina yake. Kim Kardashian akiwa na mume wake Kanye West jana wakiwa katika mtoko wa kwenda kupata chakula cha…

 

10 years ago

Mwananchi

Watengeneza printa ya aina yake Afrika Mashariki

Huenda isiwe inafahamika na Watanzania wengi, lakini mashine ya kwanza ya kuchapa vifaa vya maumbo mbalimbali, imeanza kutengenezwa nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani